Kassim Majaliwa, elewa Dubai siyo nchi, bali ni Mji

Kassim Majaliwa, elewa Dubai siyo nchi, bali ni Mji

Sijakuelewa unamaanisha nini na dhumuni la kuandika hivyo ni nini katika muktadha wa mazungumzo haya.

Mfano wa NY unaweza kuwa tofauti sana na mazungumzo haya, kwa sababu serikali kuu ya Marekani ina vizuizi sana kuzuia majimbo yake kuingia mikataba ya kimataifa, kwa njia ambayo serikali ya UAE haina vizuizi hivyo.

Mabilionea wengi wanakimbia NY kwenda Florida kwa tax avoidance, si tax evasion.

There is a big difference.
Kwa madai yako Dubai ni jimbo, contrary to the fact; hiyo ni sovereign state under a federal constitution yao.

So is NY it’s a state under US federation constitution na ina miji yake.

Part of devolution matters za US all states can determine personal income tax matters. Federal government inahusika kwenye corporate tax only.

So if you have a business which you receive divided income kila state ina mamlaka yake ya kuamua their taxes.

That’s the US constitution Federal matter. Lakini ukienda nchi yenye unitary constitution; sheria zozote za central government ni moja on personal and corporate taxes throughout the land.

Ndio maana nakuuliza under what rights; kila state ina uhalali wakujiamulia personal income? Kiasi kwamba matajiri waone sababu za kutafuta permanent residency states zingine wakati biashara zao zipo NY especially those who own incorporated businesses.

Where does the right of states to decide otherwise from federal government come from?
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.

Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.

Kama huo huo Ubongo mbovu ulitudanganya Watanzania kuwa Mtu muhimu Mr. 17 March, 2021 yuko Ofisini anapiga Kazi na katoka Kuongea nae wakati tayari kumbe yuko ( alikuwa ) Frijini Mochwari anaanza Kuganda na Ubongo huo huo mbovu tena ukatudanganya kuwa Majaliwa Jackson ndiyo Shujaa wa Uokozi wa Abiria wa Ndege ya Precision Air kwa Kuuvunja na Kasia Mlango mgumu wa Ndege na kwamba alizama hadi chini kwa Marubani waliokuwa wameshakufa na Kumpungia mkono ( wakiwa Wameshakufa ) ulitegemea kabisa leo hii Ubongo huo huo mbovu ujue kuwa Dubai siyo nchi bali ni Mji tu ndani ya UAE yako?

Pole sana Mkuu.
 
Kama huo huo Ubongo mbovu ulitudanganya Watanzania kuwa Mtu muhimu Mr. 17 March, 2021 yuko Ofisini anapiga Kazi na katoka Kuongea nae wakati tayari kumbe yuko ( alikuwa ) Frijini Mochwari anaanza Kuganda na Ubongo huo huo mbovu tena ukatudanganya kuwa Majaliwa Jackson ndiyo Shujaa wa Uokozi wa Abiria wa Ndege ya Precision Air kwa Kuuvunja na Kasia Mlango mgumu wa Ndege na kwamba alizama hadi chini kwa Marubani waliokuwa wameshakufa na Kumpungia mkono ( wakiwa Wameshakufa ) ulitegemea kabisa leo hii Ubongo huo huo mbovu ujue kuwa Dubai siyo nchi bali ni Mji tu ndani ya UAE yako?

Pole sana Mkuu.
Jukumu la serikali ni kutoa elimu, inafika wakati inabidi iendelee na agenda zake.

Hapo ndio tunarudi kwa kauli ya Mizengo Pinda akiwa waziri mkuu ‘ukikaidi utapigwa’.

Serikali inatakiwa kuendelea kutoa elimu, lakini hakuna sababu ya kutofanya mambo yake ya msingi kwa watu wasiotaka kuelewa.

Huko kwenye nchi zilizoendelea wangekuwa wanatishiwa nyau na makundi ya environmentalists, sijui fathers for justice na makundi mengine tena yenye hoja za msingi wasingekuwa wanafanya miradi ya maendeleo.

Kutoa somo ni muhimu, ila kuna watu kama wamesha amua kutoelewa; hata utumie miaka 100 awataelewa kwa sababu wameshaamua iwe ivyo.

Ifike wakati serikali iweke mipaka kwenye hili sakata, kuna watu awataki kuelewa na hilo ni jambo la kawaida kwenye siasa.

Binafsi simkubali kabisa ‘Bi Tozo’ ila kwenye hili la bandari provided nchi inaingia terms nzuri za project agreements; its gonna be a game changer kwa uchumi wa Tanzania.
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.

Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Kiongozi: Ziwa Tanganyika liko Zimbabwe
 
Kwahiyo United Arab Emirates ni bara au
Ni Muungano wa Falme za Kiarabu. Dubai ni moja ya hizo Falme.

Ukishaona kwenye nchi kuna neno United, uelewe ni muungano, muungani si lazima uwe bara bapwani.

Hizo ndiyo shule za kusomeshwa na kina Shivji, ujinga mtupu.
 
Kwa madai yako Dubai ni jimbo, contrary to the fact; hiyo ni sovereign state under a federal constitution yao.

So is NY it’s a state under US federation constitution na ina miji yake.

Part of devolution matters za US all states can determine personal income tax matters. Federal government inahusika kwenye corporate tax only.

So if you have a business which you receive divided income kila state ina mamlaka yake ya kuamua their taxes.

That’s the US constitution Federal matter. Lakini ukienda nchi yenye unitary constitution; sheria zozote za central government ni moja on personal and corporate taxes throughout the land.

Ndio maana nakuuliza under what rights; kila state ina uhalali wakujiamulia personal income? Kiasi kwamba matajiri waone sababu za kutafuta permanent residency states zingine wakati biashara zao zipo NY especially those who own incorporated businesses.

Where does the right of states to decide otherwise from federal government come from?
Kwanza kabisa, unapoandika Dubai si jimbo ni sovereign state una maana gani?

State ni nini? Mbona hata Zanzibar ninstate lakini mikataba ya kimataifa Zanzibar inahitaji ruhusa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Muungano, haina sovereignty hapo.

Sovereignty ni nini? Huelewi kwamba kusema Dubai si jimbo ni sovereign state ni false dichotomy?

Unaelewa NY ni jimbo la Marekani, na pia ni sovereign state within the context of US satehood? Unaelewa kwamba there is no contradiction hapo if you put the right perspective na boundaries za sovereignty ya NY state?

Dubai haiwezi kusaini mkataba wa kimataifa bila idhini ya UAE. Dubai haina nguvu hiyo, mambo ya kimataifa ni lazima yabarikiwe na UAE. So much for sovereignty.

Dubai haina hata kiti UN. Kiti cha UN ni cha UAE.

Ni kama Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hapa Tanzania. Haiwezi kusaini mkataba na nchi ya kigeni bila kupata go ahead ya Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muungano.

Unaelewa hayo?

NY state ina limited soveregnty, inatakiwa kukubali federal laws, ina limitation kwenye mikataba ya kimataifa, so much for sovereignty!

Hizo taxes hata serikali ya mtaa/kijiji inaweza kupanga, so what is your point?

Maswali ya personal income mimi sijayaleta hapa, tena nimekwambia mifano ya Marekani ni mibaya kwa scenario ya Dubai/UAE kwa sababu you are not comparing apples to apples, Marekani wana sheria (federal) tofauti sana na UAE hususan kwenye kuruhusu states kuwa na mikataba ya kimataifa.

When making comparison, compare comparables.
 
Kwa madai yako Dubai ni jimbo, contrary to the fact; hiyo ni sovereign state under a federal constitution yao.

So is NY it’s a state under US federation constitution na ina miji yake.

Part of devolution matters za US all states can determine personal income tax matters. Federal government inahusika kwenye corporate tax only.

So if you have a business which you receive divided income kila state ina mamlaka yake ya kuamua their taxes.

That’s the US constitution Federal matter. Lakini ukienda nchi yenye unitary constitution; sheria zozote za central government ni moja on personal and corporate taxes throughout the land.

Ndio maana nakuuliza under what rights; kila state ina uhalali wakujiamulia personal income? Kiasi kwamba matajiri waone sababu za kutafuta permanent residency states zingine wakati biashara zao zipo NY especially those who own incorporated businesses.

Where does the right of states to decide otherwise from federal government come from?
Kijana tatizo lako unataka kujifanya unajuwa kila kitu. nchi, jimbo ni mambo ya nje ya Dubai hayo. kwa Dubai wao wanaita Emirate of Dubai, maana yake ni utawala wa Amir (Ufalme) wa Dubai. Ambao upo kwenye Muungano wa Falme kadhaa. Ambazo hao Ma Amir wamechaguwa mmoja wao ndiyo akawa Rais, mwengine makamo wa Rais, wengine wana vyeo vingine, wengine wameamuwa kula bata tu, hawataki kabisa mambo ya utawala.

Ukiw Dubai hata polisi wana sheria zao tofauti na Sharja,na ni kama Ilala na temeke.

Kama hiyo haitoshi, hapo hapo ndani ya UAE kuna kipande cha nchi nyingine ambayo siyo UAE kabisa, ni kipande cha Oman lakini huwezi kufika kwa gari mpaka upite USAE, kimezungukwa na UAE lakini siyo UAE. Panaitwa Madha au Nahwa. Haipo kwenye Tawala ya UAE lakini ipo ndani ya UAE. Maelewano tu.
 
Kwanza kabisa, unapoandika Dubai ni sovereign state una maana gani?

Dubai haiwezi kusaini mkataba wa kimataifa bola idhini ya UAE. Dubai haina nguvu hiyo, mambo ya kimataifa ni lazima yabarikiwe na UAE. So much for sovereignty.

Dubai haina hata kiti UN. Kiti cha UN ni cha UAE.

Ni kama Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar hapa Tanzania. Haiwezi kusaini mkataba na nchi ya kigeni bila kupata go ahead ya Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muungano.

Unaelewa hayo?

NY state ina limited soveregnty, inatakiwa kukubali federal laws, ina limitation kwenye mikataba ya kimataifa, so much for sovereignty!

Hizo taxes hata serikali ya mtaa/kijiji inaweza kupanga, so what is your point?

Maswali ya personal income mimi sijayaleta hapa, tena nimekwambia mifano ya Marekani ni mibaya kwa scenario ya Dubai/UAE kwa sababu you are not comparing apples to apples, Marekani wana sheria (federal) tofauti sana na UAE hususan kwenye kuruhusu states kuwa na mikataba ya kimataifa.

When making comparison, compare comparables.
Hapo ndio shida ilipo kudhani UAE na USA ni tofauti.

Dubai is a sovereign state maana yake ni nchi iliyo na mamlaka kamili; federal constitution ni willingness ya nchi kuingia kwenye supranational Union.

The common denominating factor ya katiba za US na UAE, wote hao wanaongozwa na ‘federal government constitution’ (supranationalism) wanatofautiana kwenye states devolved matters.

Dubai awawezi kuwa na kiti UN kwa sababu ni sehemu ‘nation of nations’ kuna mamlaka wameachia UAE ila kutokuwa na seat UN aina maana awawezi ingia mikataba ya kimataifa kwa mujibu wa katiba yao. It’s their Federal constitution which determines what they can and can’t do. Kwa hivyo kusema hawana mamlaka ya kuingia mkataba wa IGA inabidi ulete ushahidi wa article ya federal constitution yao inayowazuia kufanya hivyo.

Popote unapoona unapoona kuna ‘federal government’ basi huo ni muungano wa nchi na katiba husika ndio inatoa mipaka.

What states can bargain internationally and decide locally depends on devolved matters from their constitution.
 
Hapo ndio shida ilipo kudhani UAE na USA ni tofauti.

Dubai is a sovereign state maana yake ni nchi iliyo na mamlaka kamili; federal constitution ni willingness ya nchi kuingia kwenye supranational Union.

The common denominating factor ya katiba za US na UAE, wote hao wanaongozwa na ‘federal government constitution’ (supranationalism) wanatofautiana kwenye states devolved matters.

Dubai awawezi kuwa na kiti UN kwa sababu ni sehemu ‘nation of nations’ kuna mamlaka wameachia UAE ila kutokuwa na seat UN aina maana awawezi ingia mikataba ya kimataifa kwa mujibu wa katiba yao. It’s their Federal constitution which determines what they can and can’t do. Kwa hivyo kusema hawana mamlaka ya kuingia mkataba wa IGA inabidi ulete ushahidi wa article ya federal constitution yao inayowazuia kufanya hivyo.

Popote unapoona unapoona kuna ‘federal government’ basi huo ni muungano wa nchi na katiba husika ndio inatoa mipaka.

What states can bargain internationally and decide locally depends on devolved matters from their constitution.
Mpaka sasa sijaelewa point yako ya msingi ni ipi, sijaelewa objection yako ya msingi ni nini.

Mfumo wa federal government wa Marekani umepunguza sana uwezo wa US states kuingia mikataba na makubaliano ya kimataifa.

Unlike UAE. Tumeona Dubai imeingia IGA na serikali ya Tanzania. Presumably with the consent of the UAE.

Hii ni tofauti kubwa inayonifanya niseme kwamba kutumia mifano ya Marekani federal na state system kwenye mazungumzo ya Dubai/UAE ni kulinganisha vitu visivyo sawa.

It's basically a logical non sequitur fallacy.
 
Kijana tatizo lako unataka kujifanya unajuwa kila kitu. nchi, jimbo ni mambo ya nje ya Dubai hayo. kwa Dubai wao wanaita Emirate of Dubai, maana yake ni utawala wa Amir (Ufalme) wa Dubai. Ambao upo kwenye Muungano wa Falme kadhaa. Ambazo hao Ma Amir wamechaguwa mmoja wao ndiyo akawa Rais, mwengine makamo wa Rais, wengine wana vyeo vingine, wengine wameamuwa kula bata tu, hawataki kabisa mambo ya utawala.

Ukiw Dubai hata polisi wana sheria zao tofauti na Sharja,na ni kama Ilala na temeke.

Kama hiyo haitoshi, hapo hapo ndani ya UAE kuna kipande cha nchi nyingine ambayo siyo UAE kabisa, ni kipande cha Oman lakini huwezi kufika kwa gari mpaka upite USAE, kimezungukwa na UAE lakini siyo UAE. Panaitwa Madha au Nahwa. Haipo kwenye Tawala ya UAE lakini ipo ndani ya UAE. Maelewano tu.
Una mada yako which is trending kwa sasa ukiingia JF umeanzisha mwenyewe unatafuta bwana na umeweka vigezo vyako vya king’asti unayemtaka; goodluck.

My advice is stick to that mambo yanayohitaji kusoma vitabu ili uyaelewe sio size yako na huo muda huna.

18672A20-E83F-4037-849E-003E0A7C7C50.jpeg


Nina uhakika ujawahi kusoma kitabu chochote at foundation level kuhusu siasa za US.

Acha kuchosha watu na upuuzi kutoka kuchwani kako.
 
Kiswahili kina changamoto sana.

Majaliwa anaposema "nchi" ana maana gani?

Country, state, land, emirate etc?

Kama tushawahi juwa na mjadalanmrefu sana kuhusu Zanzibar, kama ni nchi au si nchi, na definition ya neno nchi tu ni tata, tunawezaje kuelewana kwenye mazungumzo mengine mengi na yenye utata zaidi?
 
Mpaka sasa sijaelewa point yako ya msingi ni ipi, sijaelewa objection yako ya msingi ni nini.

Mfumo wa federal government wa Marekani umepunguza sana uwezo wa US states kuingia mikataba na makubaliano ya kimataifa.

Unlike UAE. Tumeona Dubai imeingia IGA na serikali ya Tanzania. Presumably with the consent of the UAE.

Hii ni tofauti kubwa inayonifanya niseme kwamba kutumia mifano ya Marekani federal na state system kwenye mazungumzo ya Dubai/UAE ni kulinganisha vitu visivyo sawa.

It's basically a logical non sequitur fallacy.
The point you are missing

Federal members are sovereign states in their own right.

Federal constitution determines what states can’t and can do independently.

Kwa ivyo, ili usiseme Dubai can’t sign intergovernmental agreement inabidi ulete huo ushahidi wa federal constitution yao inayozuia independent states au kampuni zao kuingia mikataba ya kibiashara ya nchi zao independently nje ya federal government.
 
The point you are missing

Federal members are sovereign states in their own right.

Federal constitution determines what states can’t and can do independently.

Kwa ivyo, ili useme Dubai can’t sign intergovernmental agreement inabidi ulete huo ushahidi wa federal constitution yao inayozuia independent states za kampuni zao kuingia mikataba ya kibiashara ya nchi zao independently nje ya federal government.

Hayo mambo ya federal members are sovereign states mbona nishayataja hapo juu, nikatoa mfano wa NY. Unasoma au unaruka tu?

Hayo mambo ya federal constitution determines what states can and can't do mbona niliyataja niliposema kwamba Dubai inaweza kusaini IGA na Tanzania kwa consent ya UAE?

Mbona unarudia mambo ambayo niishayaandika hapa, tena katika kujibizana nawe, halafu unaandika kama unanifundisha kitu kipya ambacho sikijui?

Unasoma ninachoandika au una idea yako ya kutaka kupinga mambo tu ambayo mimi hata sijayasema, unanipachika tu positions ambazo hata si zangu?

Kwani wapi nimesema Dubai can't sign intergovernmental agreement? Si nimeandika kuwa Dubai can sign IGA with the blessings of the UAE?

Unaweza kunionesha hiyo sehemu?

Article 116 ya katiba ya UAE imeeleza kuwa Emirates zita exercise all powers not assigned to the union

Article 120 ina mention mambo ya union, Foreign Affairs ni ya kwanza.

Unabisha kwamba international affairs za member emirates za UAE zinakuwa handled na UAE na si individual emirates?

From ChatGPT.

Can the government of Dubai sign an inter government agreement without permission from the government of the UAE?

ChatGPT

Dubai is one of the seven emirates that make up the United Arab Emirates (UAE). As an emirate within the UAE, Dubai operates within the framework of the UAE's federal government. While Dubai has a degree of autonomy in certain areas, it is still subject to the overall authority of the UAE federal government.

Inter-governmental agreements involving Dubai would typically require coordination and approval from the UAE federal government. The UAE federal government is responsible for matters of national importance, such as foreign relations, defense, and other key areas. Therefore, it is unlikely that Dubai could independently sign an inter-government agreement without the permission or involvement of the UAE federal government.

Dubai and other emirates within the UAE often work together on various projects and initiatives, and agreements involving Dubai would typically be negotiated and approved through the appropriate channels within the UAE's federal government structure.


Bado unabisha?
 
Hayo mambo ya federal members are sovereign states mbona nishayataja hapo juu, nikatoa mfano wa NY. Unasoma au unaruka tu?

Hayo mambo ya federal constitution determines what states can and can't do mbona niliyataja niliposema kwamba Dubai inaweza kusaini IGA na Tanzania kwa consent ya UAE?

Mbona unarudia mambo ambayo niishayaandika hapa, tena katika kujibizana nawe, halafu unaandika kama unanifundisha kitu kipya ambacho sikijui?

Unasoma ninachoandika au una idea yako ya kutaka kupinga mambo tu ambayo mimi hata sijayasema, unanipachika tu positions ambazo hata si zangu?

Kwani wapi nimesema Dubai can't sign intergovernmental agreement? Si nimeandika kuwa Dubai can sign IGA with the blessings of tje UAE?

Unaweza kunionesha hiyo sehemu?

Article 116 ya katiba ya UAE imeeleza kuwa Emirates zita exercise all powers not assigned to the union

Article 120 ina mention mambo ya Union, Foreign Affairs ni ya kwanza.

Unabisha kwamba international affairs za member emirates za UAE zinakuwa handled na UAE na si individual emirates?

From ChatGPT.

Can the government of Dubai sign an inter government agreement without permission from the government of the UAE?

ChatGPT

Dubai is one of the seven emirates that make up the United Arab Emirates (UAE). As an emirate within the UAE, Dubai operates within the framework of the UAE's federal government. While Dubai has a degree of autonomy in certain areas, it is still subject to the overall authority of the UAE federal government.

Inter-governmental agreements involving Dubai would typically require coordination and approval from the UAE federal government. The UAE federal government is responsible for matters of national importance, such as foreign relations, defense, and other key areas. Therefore, it is unlikely that Dubai could independently sign an inter-government agreement without the permission or involvement of the UAE federal government.

Dubai and other emirates within the UAE often work together on various projects and initiatives, and agreements involving Dubai would typically be negotiated and approved through the appropriate channels within the UAE's federal government structure.


Bado unabisha?
I can’t argue with that, kama unakubali Dubai is a state.

It’s entitled to sign IGA’s from their Federal constitution.

Cha muhimu kwenye hiyo post yako ni kukiri Dubai ni nchi with evidence zako; sio jimbo. Na ina mamlaka ya kikatiba kuingia mikataba ya kimataifa that was crucial point of difference. Provided you have establish that evidence on your own I have no quarries.

You don’t educate a clever person, you just lead him to the right conclusion if he is open minded.

Alamsiki
 
I can’t argue with that, kama unakubali Dubai is a state.

It’s entitled to sign IGA’s from their Federal constitution.

Cha muhimu kwenye hiyo post yako ni kukiri Dubai ni nchi with evidence zako; sio jimbo. Na ina mamlaka ya kikatiba kuingia mikataba ya kimataifa that was crucial point of difference. Provided you have establish that evidence on your own I have no quarries.

You don’t educate a clever person, you just lead him to the right conclusion if he is open minded.

Alamsiki
Dubai haina mamlaka ya kuingia mikataba ya kimataifa, isipokuwa kama UAE itabariki Dubai kuingia katika mikataba hiyo.

Hii ni point muhimu ambayo umeiruka.

Haya mazungumzo tulishayafanya awali na wengine, hata jana, kuna thread hapa, so, you neither educated me nor pointed me in any direction I was not oriented at before.

Tena mimi ndiye nimekuonesha wewe kwamba Dubai haiwezi kufanya IGA bila idhini ya UAE. Kwa kutaja mpaka vifungu vya katiba ya UAE.

Baada ya ubishi mwingi sana kutoka kwako kwenye suala hili.
 
Laba wewe ndiye hujaelewa..

Ni kweli Dubai ni moja ya Emirate (ufalme mdogo au ki - dola kidogo) zinazounda dola kuu ya kifalme inayoitwa United Arabs Emirates [UAE]..

Kama ilivyo ktk muungano wetu wa Tanganyika. & Zanzibar na kuunda kuunda dola kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) bila kujali kasoro zilizo ktk muungano wetu..

Katika JMT, bado ndani yake Kuna nchi mbili; ya Tanzania na Zanzibar na Kila nchi Ina mamlaka yake i.e mamlaka ya JMT na ile ya Zanzibar..

Vivyo hivyo huko UAE, iko mamlaka kuu ya muungano na vivyo hivyo hizi Emirates ndogo ndogo obviously ikiwemo ya Dubai zina mamlaka zao kamili.

Na bila shaka, hizi Emirates ndogo ndogo ikiwemo ya Dubai nazo zina mamlaka yake Kamili ikiwemo ya kuingia mikataba ya kimataifa kama huu dhidi ya Tanzania...

Ni ngumu mkoa usio na sovereignty as a state kuingia mkataba na sovereign State kama Tanzania...

Kama hii imefanyika, obvious itakuwa ni utapeli na uhuni wa kimataifa unaostahili kuchukuliwa hatua Kali za kinidhamu...

Na si hili tu, bali kama kweli ktk mkataba huu nchi yetu itakuwa imetiliana saini ya muhusiano ya kimataifa na nchi isiyo na sovereignty status halafu wanasheria wetu wakawa hawana ufahamu huu, basi si kosa kusema twaweza kusema kwa ujasiri kabisa kuwa, kumbe tuna wanasheria wajinga na wasio na uelewa wa mambo..!!
Nimeishia kusoma aya ya nne mstari wa kwanza.
 
Dubai haina mamlaka ya kuingia mikataba ya kimataifa, isipokuwa kama UAE itabariki Dubai kuingia katika mikataba hiyo.

Hii ni point muhimu ambayo umeiruka.

Haya mazungumzo tulishayafanya awali na wengine, hata jana, kuna thread hapa, so, you neither educated me nor pointed me in any direction I was not oriented at before.
What we have established so far Dubai sio jimbo ni state (nchi) that’s point A.

Point B as a state their ‘Federal Constitution’ determines what Dubai can and can’t do; hayo ndio ya msingi. Na kwa katiba yao wanaweza ingia IGA na nchi yeyote on devolved matters,

Mengine yote ni akili zako (logically) it has nothing to do with me.
 
Back
Top Bottom