Kassim Majaliwa, elewa Dubai siyo nchi, bali ni Mji

Kassim Majaliwa, elewa Dubai siyo nchi, bali ni Mji

Dubai haina status ya nchi.

Kwa hiyo hatuwezi kusema "kwa nini status ya Dubai kama nchi ni muhimu."

Nadhani ungekubali tu kwamba swali lako linakosewa tungeweza kusonga.
Kwa mantiki yako, mtu ambaye hajaoa hana marital status. Kwa sababu hajaoa.

Hujui kwamba mtu ambaye hajaoa ana marital status.

Anaweza kuwa na marital status single, hata kama hajaoa.
 
Kama Dubai si nchi, kwa nini Dubai
Tayari tunajua - dunia inajua that is - kwamba Dubai sio nchi, kwa hiyo hatuwezi kusema "kama Dubai sio nchi kwa nini..."

Kubali umekosea basi. Mbona unakuwa mgumu kukubali umekosea ?

Kwani ukikubali kwamba umekosea ili tusonge mbele utapungukiwa na nini ?

Unless hukubali kwamba Dubai sio nchi au unatuambia hujui kama ni nchi au la.
 
Kabisa, Dunai sio nchi, eti nchi ya Dubai?!

Pia ikumbukwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Waarabu wanataka kulipiza kisasi kwa Tanganyika, kwa kuwa ni watanganyika ndiyo waliwafurusha waarabu wenzao kule zanzibar.
Kwa hiyo kwa DPW, kuchukua bandari zote za Tanganyika na ardhi yote wanayoitaka ni kulipiza kisasi. Mwafaaaa
 
Kwa mantiki yako, mtu ambaye hajaoa hana marital status. Kwa sababu hajaoa.

Hujui kwamba mtu ambaye hajaoa ana marital status.

Anaweza kuwa na marital status single, hata kama hajaoa.
Irrelavant analogy
 
Kutokana na upotoshaji ambao umekuwa unaendelezwa na viongozi wetu, binafsi kama raia nimeshindwa kuvumilia.

Hii imekuja baada ya leo kumsikia tena Mh. Kassim Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu, kusema kilichopitishwa na bunge ni makubaliano kati ya nchi mbili. Nchi ya Tanzania, na nchi ya Dubai! Huu ni upotoshaji ambao hatupaswi kuufumbia macho kabisa kama raia.

Kwa hili nilichogundua ni kwamba viongozi wetu kwa sehemu kubwa hawana upeo mkubwa wa kuelewa na kubaini mambo endapo suala dogo tu la kubaini Dubai ni mji na wala siyo nchi limewashinda. Na hapa tunaongelea kiongozi Mkuu wa shughuli za serikali Bungeni!!

Kwa bahati mbaya pia, hata Mkuu wa muhimili wa Bunge; Mh. Tulia Acson, amekuwa anairejelea Dubai kama nchi na siyo Mji!! Na hapa tunamzungumzia msomi wa ngazi ya PhD!

Kwa kweli, kwa haya yanayozidi kujidhihirisha, inabidi taasisi yetu nyeti ya TISS, iwe inajiridhisha kwanza na upeo wa viongozi wetu kwanza kabla ya kuaminiwa kupewa majukumu makubwa.

Maana hii ni hatari sana kwa Taifa, kuongozwa na viongozi wenye upeo finyu wa mambo.

Nimalizie kwa kusema kuwa; Dubai ni mojawapo ya majimbo 7 yanayounda Taifa la Umoja wa Falme za Kiarabu (United Arab Emirates). Makao makuu ya UAE yapo Abu Dhabi kama ambavyo yetu yako Dodoma. Hivyo endapo viongozi wetu wakishupaza shingo, basi nchi yetu ya Tanzania itakuwa inaingia makubaliano kati yake na mji mmojawapo wa nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

Niko pale, nasubiri marekebisho kama kuna sehemu nimekosea.

Ee Mwenyezi Mungu, sisi watoto wako wa Tanzania huwa tunakosea wapi linapokuja suala la kuchagua viongozi wetu?!

Amina.
Unamshanga nini Majaliwa ? Huyu mkuu wangu ni muhongo ,alisema mwendazake yupo busy na majukum , na Majaliwa yampasa elewa nimembeba kama sio kubebana kwenye baiskeli akiwa mwalim mimi nikiwa wa kawaida mpaka leo , ajue pale ukweni kwetu Songea ni majirani sana karibu na Halmashauri , ila hawezi kuwa rais wa nchi hii hataki basi aje ni mbebe kwenye baiskel yetu ile ipo sijauza
 
Unamshanga nini Majaliwa ? Huyu mkuu wangu ni muhongo ,alisema mwendazake yupo busy na majukum
Tena akiwa msikitini kayasema hayo ya Magufuli yuko chimbo anapiga kazi kwa nguvu kumbe Rais kanyooka siku tatu

Na juzi Arusha Jumapili siku ya Bwana karudia uongo wa mkataba Arusha Kanisani.

Jana Ijumaa siku ya Mun Nyazi Mngu kayarudia ya Dubai ni nchi msikitini. Uongo wake ni misikitini. Kufuru.

Astakafullulilah ladhim
Na Usbillilah midhalika
Ma adha la
 
Irrelavant analogy
Kwa nini ni irrelevant? Hujaeleza.

Inawezekana wewe ndiye hujaelewa.

Naweza kuwa na Excel spreadsheet.

Column A Jina la sehemu. Column B Status as Country.

Dubai No
Tanzania Yes

What is so hard to understand?

Moreover, hujajibu, kwa nini hii status ni muhimu katika mazungumzo haya?

Mimi naona hii status ndiyo irrelevant.

Kwa sababu Dubai does not need to be a country to sign an IGA with Tanzania.

It could be a village for all we care, but as long as it has a government, and the UAE approves this village to sign an IGA with Tanzania, it will have the power to sign an IGA with Tanzania.

So why is the question of Dubai being or not being a country important?

This question is totally irrelevant and wholly superficial.
 
Tayari tunajua - dunia inajua that is - kwamba Dubai sio nchi, kwa hiyo hatuwezi kusema "kama Dubai sio nchi kwa nini..."

Kubali umekosea basi. Mbona unakuwa mgumu kukubali umekosea ?

Kwani ukikubali kwamba umekosea ili tusonge mbele utapungukiwa na nini ?

Unless hukubali kwamba Dubai sio nchi au unatuambia hujui kama ni nchi au la.
Wewe huelewi hata abstract thinking ni nini.

Yani ku solve equation kwa kusema "let x be...", hata kama unajua x ni nini, for the sake of seeing the thought process play, kwako ni tatizo.

You can't think in the abstract.

Neno nchi linaweza kuwa na tafsiri tofauti.

Land, country, state, nation, emirate.

Dubai is an emirate.

Haya.Dubai si nchi.

Why is this important in the context of this deal?

Hujajibu.
 
Bila shaka ???? Kwa hiyo huna hakika, hujui. Mjadala wa bandari ni nyeti, mkataba umeleta shida kubwa, na umeligawa Taifa, kama huna hakina kaa kimya.
Don't be too harsh and aggressive.

Na kwenye maelezo yangu sikuwa na conclusion ya moja kwa moja whether Dubai ni nchi huru au iko chini ya mamlaka ya nchi nyingine..

Rudi Tena kwenye bandiko langu ulilokwoti, lisome lote tena mwanzo mwisho, utaelewa...
Dubai sio nchi.
Hebu twende taratibu...

Kama siyo nchi ni nini basi?

Maana umeniparamia nikafikiri labda wewe unayejua ungekuja na ufafanuzi wa uthibitisho kuwa "sio nchi" ila ni mkoa fulani ktk nchi nyingine fulani, instead you ended making loud empty noises..
Kama ambavyo Zanzibar sio nchi. Zanzibar haina kiti UN.
Is that only evidence that justifies that Dubai is not a "country?"
Zanzibar haina Rais wa nchi, ndo maana Rais wa Zanzibar anaitwa "RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR," kama alivyo Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa UDOM, Rais wa Chama cha Walimu wa Chekechea na Rais wa Ruvu Shooting Football Club.
Dubai ni nini sasa? Ni nini mamlaka ya Dubai?

Kumbuka kama ambavyo Muungano wa Tanganyika & Zanzibar ulivyo wa kipekee, bila shaka hata muungano wa UNITED ARABS EMIRATES [UAE] nao ni wa kipekee..

Sasa nenda kwenye makabrasha yako, tafuta ujue "upekee" wa muungano wa UAE ni upi? Mamlaka ya ndani (internal affairs) na ya nje (international affairs) yanaanzia na kuishia wapi..
PM Majaliwa anajua Dubai ni nini lakini anadanganya. Kasim Majaliwa is the most brazen liar in the world. Anadanganyia misikitini.
Even you, sometimes you lie, right..?

Don't judge others before you get apprehended for your own sins..!
 
Issa Shivji ambaye watu wanamponda humu alishaelezea kuhusu Zanzibar kuwa nchi ama si nchi miaka kadhaa iliyopita. Alieza kisheria kuwa Zanzibar ni nchi (country) pia ni taifa ( nation) lakini siyo dola (state).
Dhana ya nchi kwa kiswahili inabeba vitu vingi na watu wengi wakisema nchi kwa kiswahili huchanganya hayo maneno matatu yote kwa pamoja.
✔️Endelea mbele zaidi kuelimisha wasiojua ili wajue. So, tell us;

1. What is a country?

2. What is a nation?

3. What is a state?

✔️What is the differece between those terms? And, is Dubai a nation, country or state? You can also say, Dubai is all............a country, state and nation...

✔️Mwisho sema kitu kuhusu position ya Dubai katika context ya IGA kati DP World na Tanzania au sovereign state yoyote...
 
[emoji3581]Endelea mbele zaidi kuelimisha wasiojua ili wajue. So, tell us;

1. What is a country?

2. What is a nation?

3. What is a state?

[emoji3581]What is the differece between those terms? And, is Dubai a nation, country or state? You can also say, Dubai is all............a country, state and nation...

[emoji3581]Mwisho sema kitu kuhusu position ya Dubai katika context ya IGA kati DP World na Tanzania au sovereign state yoyote...
Country - ardhi yenye mipaka

Nation - taifa linaweza kuwa popote pale bila ardhi bila dola. Mf palestina ni taifa halina country.

State- dola kuna mipaka, kuna jeshi kulinda mipaka na kuna centralized gvt yenye sovereignty. Nafkiri kwa haraka haraka hivi ndiyo ninavyoelewa.

Znz siyo state kwa kuwa amri jeshi mkuu ni rais wa JMT. Znz haina jeshi.

Kuhusu mkataba, ukitaka kuulewa usome na soma chambuzi za kisheria.
Kwanini mpaka hapa nauona una longolongo sana. Jambo lililo straight haliitaji maelezo mengi kulielezea au nguvu kubwa kulikingia kifua. Tazama uharaka wake. Tazama nia yake. Pia soma premises zake na angalia historia yake au prospective yake.
 
Tena akiwa msikitini kayasema hayo ya Magufuli yuko chimbo anapiga kazi kwa nguvu kumbe Rais kanyooka siku tatu

Na juzi Arusha Jumapili siku ya Bwana karudia uongo wa mkataba Arusha Kanisani.

Jana Ijumaa siku ya Mun Nyazi Mngu kayarudia ya Dubai ni nchi msikitini. Uongo wake ni misikitini. Kufuru.

Astakafullulilah ladhim
Na Usbillilah midhalika
Ma adha la
Nakushukuru sana mkuu wangu
 
Kabisa, Dunai sio nchi, eti nchi ya Dubai?!

Pia ikumbukwe...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Duuh... Mzee, kama uliyoyasema yote ndivyo yalivyo, si bure. Tutakuwa tumepigwa na kitu kizito tena kisichoonekana kabla ya kuukubali. Inauma lakini hadi nacheka
 
Ni zaidi ya Akina Chief Mangungu tunaowasoma na kuwaponda huko mashuleni kwa mikataba ya ajahu enzi zao.
 
Back
Top Bottom