Kataa katakata mkeo kutoa jina la mtoto wenu wa kiume

Kataa katakata mkeo kutoa jina la mtoto wenu wa kiume

Mimi watoto wangu hua natafuta majina na maana zake mwenyewe, baba yao namshirikisha anachagua kwenye list ya majina yangu.

Nyie wanaume wa wapi wenye hayo masharti[emoji854] watoto wenyewe siku hizi wakikua wanakana majina ya zamani wanajipa majina mapya
 
uko sahihi sana, kuna watoto kadhaa wanaitwa "Nangu Nyau" lakini hawa sio wangu ni kumbukumbu tu ya utu wangu dhidi ya mama zao tulipokuwa tunabanjuana...
 
Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.
thats very true; ngoja niwape story

Tumesafiri na co worker wangu kwenda Mkoa X kwa shughuli za kikazi, safari yetu ilihusisha co workers wengine kama 3,
tumefika mkoa X, mm na mshikaji tumefikia lodge moja wengine wamefikia kila mmoja anavyojua.

Siku 3 baada ya kazi iliyotupeleka kule kukakutana kwa Lunch pamoja, Mdada mmoja ambaye tulikuwa wote kwenye hiyo safari nadhani vile tulikuwa tunakutana na watu wa taaisisi zingine katika kujitambulisha akasema yy anatokea taasisi yetu (tuiite P) basi ile tunakutana akaja akamweleza mshkaji yule ambaye nipo nae mm Lodge moja kwamba amekutana na Mdada (akamtaja jina) na kwamba amesema akiwa awe anaomba aje... jamaa hakusita akamwambia mwite.... aisee dak 6 nyingi amepigiwa simu akaja...ni mtu hasa!

kufika pale yule mdada like kama alikuwa excited yaani ameshindwa hata kula anataka kulia kwa furaha, anamwangalia mshikaji anamkumbatia hivi kwa hisia san, yaani yupo na shauku ya ajabu kwamba hajaonana na jamaa kama 9 years walipotezana kwa sababu jamaa ameoa na yule dada ameolewa.

basi baadae jioni yake tukawa mahala tunashusha wine kidogo, jamaa akaanza kutiririka kwamba walikuwa na very close relationship dada akaolewaga mtoto wake huyo akampa jina la mshikaji kwa namna alikuwa anampenda..... and bad sijui nimese good enuf jamaa walifanya baby come back wakafanya yao na until leo mdada anafungaga safari kumfuata jamaa popote anapokuwepo!!

to conclude i second mleta mada, majina yanayotolewa na akina mama kwa watoto wao wa kiume mara nyingi yana historia fulani hasa ya kimahusiano!
 
Mwisho wa siku watoto wanaishia kuimba nani kama Mama. Mna upuuzi kiwango cha SGR ,mtu ahangaike mimba miezi tisa uchungu juu kunyonyesha miaka miwili kisha unamnyima haki ya kutoa jina kisa your own inferiority
Mpaka anafikia kuimba kala Sana sembe lililotafutwa na baba kwa jasho na damu
 
Hata nyiee mnatoaga majina ya maex zenu...hii nimeishuudia kwa workmate mwenzanguu..Ameshindwa kumsahau kabisaa mtto wake wa kwanza wa kike kampa jina la x wake...
 
Hata nyiee mnatoaga majina ya maex zenu...hii nimeishuudia kwa workmate mwenzanguu..Ameshindwa kumsahau kabisaa mtto wake wa kwanza wa kike kampa jina la x wake...
Hii ni hatari sana. Huyo mtoto anapewa jina lililotokana na uzinzi wa mzazi wake na mtu mwingine. Baadae mtoto wa kike au hata wa kiume akiwa hashikiki na akaanza mahusiano na wamama au wababa watu wazima kwa sabbu ya foundation ya jina nani atasema nini. Very absurd stuff tunafanya wanadamu. Majina yana nguvu, majina yanamtambulisha mtu. Kama alimpenda sana kwanini hakumuoa au hakuolewa nae??...so sad
 
Unahangaika bure hitobadili kitu, jina la kwanza ndio litasimama huwezi kulifuta.
Siku zote mkeo atamwita mwanao baba.
Mama ana muunganiko mkubwa sana na mtoto kuliko sisi wanaume, kumbuka wamefahamiana mieziv9 kabla wewe na mtoto hamjafahamiana
Yaani nitie goli lililotoka kiunoni mwangu halafu Hilo goli lisinifahamu limfahamu zaidi golikipa niliyemfunga?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.

Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.

Chukua tahadhari.
Haipingwi hiyo sheeriiiiiiaaaa!!!
 
Hii post tumeangalia kwa wake zetu tu…je sisi hatuwapi majina ya ma ex zetu…? Kila mtu ana haki ya kutoa jina but ni venye vile mmeafikiana kama wazazi…Kujua chimbuko la jina hilo na maana…!! Kwanza siku izi watoto wengi wanapewa majina ya KITURUKI na WAHINDI….
 
Sio kila kitu usubiri kufundishwa mkuu, changamka. Yaani hata Kama mna watoto 100 wa kiume, majina yote yatolewe na baba. Sio mbaya mara mojamoja hapa na pale mke kutoa majina kwa watoto wa kike.

Nimeona mara kadhaa ugomvi wa kuvunja ndoa baada ya Kina baba kugundua asili ya majina ya watoto wao wa kiume waliopewa na mama zao.

Chukua tahadhari.
Ni wajibu wa Baba kutoa jina, Nje ya hapo ni mauzauza tu.
 
Mke wangu kampa mwanagu jina la baba ake mzazi ila yule baba mkwe ni mswahili sana nafikiri kumbadili jina mwanangu asije kupata tabia za huyu babu wake.
Hahahaha kurithi jina sio sababu ya kurithi tabia za watu. Mbona mimi ninajina la babu alikuwa mlevi sana but mimi sio mlevi
 
Hii ni hatari sana. Huyo mtoto anapewa jina lililotokana na uzinzi wa mzazi wake na mtu mwingine. Baadae mtoto wa kike au hata wa kiume akiwa hashikiki na akaanza mahusiano na wamama au wababa watu wazima kwa sabbu ya foundation ya jina nani atasema nini. Very absurd stuff tunafanya wanadamu. Majina yana nguvu, majina yanamtambulisha mtu. Kama alimpenda sana kwanini hakumuoa au hakuolewa nae??...so sad
Tulishangaaa mnoo yaaan..
 
Baba ndio mwenye haki ya kutoa majina ya watoto. Nashangaa baadhi ya jamii hasa upande ulee wa wakwe huchukia pindi wanapo mtoto wa binti yao amepewa jina la babu upande wa mwanaume
 
Vijana watachanganyikiwa nakwambia.

Hofu ya Kuchapiwa
Hofu ya kubambikiziwa
Hofu ya jina la X
Hofu ya single mama
Hofu ya mali mkiachana
Hofu ya mirathi
Hofu ya kushindwa kuhudumia
Hofu ya size ya uume
Hofu ya kumwaga haraka

HALAFU UNAKUTA ANA GARI BOVU ILIMRADI NA YEYE AWE NA GARI.

Wazazi tukeshe tukisali.
 
Back
Top Bottom