Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

Nina mwanamke mwaka wa saba huu nakaa nae na sijamuoa, kila mtu anaenijua physically anajua ni mke wangu. Kuna kipindi alileta kelele lkn akaja kugundua mimi ni mafia, ametulia anakula ugali na samaki.
Mimi nilimwambia sihitaji ndoa ya Makaratasi ndoa ni Mapenzi Moyoni hata Bibilia haijasema tuandikishane makaratasi.

Mpaka sasa tumetulia nyumbani kwa amani na Utulivu sana
 
Hahaha sasa hiyo ndoa gani inaanza na vita?
 
Akumbukwe shujaa Ashraf Hakim.
 
Msioe msioe msioe. Kwani nini kigumu kukaa na mwanamke ndani bila kumuoa? Kama utalazimika kuoa mpe mwanamke prenup asije kugusa mali zako
Haya ndio maisha ambayo mm nimeyachagua. Hakuna anayeweza kubadili mindset yangu, hata ndugu wameshindwa, najaribu sana kuepuka huo utumwa kwa badae
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kaa kwenu, nikae kwetu. Ila sio kama hivyo ulivyosema. Utamaduni wa kitanzania hauruhusu,,
Unaongea tu wewe, ukimpenda mwanaume utakubali kuishi nae kiroho safi tu. Na anagonga ngozi miaka dahari tu mpaka atapojiskia kuja kwenu. Huwezi force ndoa kwa style hio utazeekea kwenu tu.
 
Nina mwanamke mwaka wa saba huu nakaa nae na sijamuoa, kila mtu anaenijua physically anajua ni mke wangu. Kuna kipindi alileta kelele lkn akaja kugundua mimi ni mafia, ametulia anakula ugali na samaki.
Naijua hio, hata mimi nimeishi na huo mfumo for 6 years.. Mwanamke akikupenda anatulia zake tu.
 
Kosa kubwa kinoma yani
 
Mjomba Six kumbe alikuwa mjanja toka akiwa chuo. Dawa ni kuchagua mwanamke ambaye mnaendana malezi yenu. Huyo ndio anaweza kufaa kuishi nae. Ila ukikurupukia mwanamke ilimradi mrembo sana jua disaster ni jambo haliepukiki.
 
Mwanamke wa kibongo akiwa kwenye zone ya uhawara au uchumba huwa anakuwa on her best behaviours akitarajia ndoa. Its time to make the most of it ukiwa nae. Siku ukishamuidhinisha kwa makaratasi tu ndio mambo ya ajabu ajabu yanaanza kuchipukia. Utapangiwa muda wa kurudi home, ratiba za kugonga zinaanza na migogoro kibao.
 
Nami naomba nichangie jinsi ndoa ilivyomtoa kwenye reli rafiki yangu wa karibu nimuite bro.
Ni wa kitaa, nazionq hustle zake from scratch. Akapata kazi ya maana. Akaoa. Shem mpole tu kwakweli tena mama wa nyumbani.
Myaka ikakatika wakapata one kid maisha yakasonga akajitafuta akamalizia mjengo wake wakahamia na ndio balaa lilipoanzia.
Mume akitoka shem anampigia mpenzi wake wanakuja kufanya yao ndani ya nyumba, majirani wakamtonya bro. Akaweka mtego haukunasa koz alichelewa kurudi akakosa ushahidi eye witness koz jamaa alikua ashasepa.
Akaamua amrudishe shem kwao akajisikilizie (mistake).
Mwanamke akaenda ustawi kuwa katekelezwa na bro na mtoto .
Bro alikamatwa aliwekwa lockup sababu shem alistate mambo mengi ikiwamo kutishiwa uhai.
Kesi ilifunguliwa wakati bro yuko busy na kufollow up mambo ya kesi na upatanisho kazini walimtema!
Nyumba iliamriwa iuzwe wagawane.
Bro alirudi tena to scratch.
Maisha yamemnyoosha. Mentali hayuko sawa tena! Kazi imekua ngumu kupata. Anaishi kwa kujihifadhi kwa pagale.
Shem yupo town anaishi na ile njemba gawio lilimpush akaanza na biashara.
 
Inasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…