Kataa ndoa na kataa kuoa ni imani na msingi wa ustawi na maisha marefu kijamii. Haki ya uamuzi binafsi izingatiwe.

Kataa ndoa na kataa kuoa ni imani na msingi wa ustawi na maisha marefu kijamii. Haki ya uamuzi binafsi izingatiwe.

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Niende kwenye mada, utimamu wetu kwenye akili na maamuzi binafsi uheshimiwe na uzingatiwe na ulindwe.

Kuoa au kuolewa ni hiari na uamuzi binafsi na vinalindwa kikatiba, hivyo basi viongozi waache mikurupuko tafadhari, zingatia mipaka ya mihimili ya dola.

Serikali ijiepushe na matamko kinzani dhidi ya uhuru, demokrasia na haki za kimahakama.

Nitoe Rai kwa wote haki na Uhuru binafsi vilindwe na kuheshimiwa.

Nawasilisha kwa michango na tuisimamie hii haki kwa nguvu zote.

Kuoa na kuachana kwa hiari au kwa lazima vipo kisheria.

Utawala wa sheria uzingatiwe.

Ni mimi Wadiz.
 
Screenshot_20230513_093058_Chrome.jpg

Screenshot_20230513_093708_Chrome.jpg
 
Kuna watu wamelazimishwa kuoq qu kuolewa na sasa wako jela bila kupenda hii haki iheshimiwe
 
𝐂𝐇𝐔𝐊𝐔𝐀 𝐇𝐈𝐈 𝐕𝐈𝐃𝐄𝐎 𝐖𝐄𝐊𝐀 𝐇𝐀𝐏𝐎 𝐉𝐔𝐔 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐔𝐙𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐎 𝐈𝐓𝐀𝐊𝐔𝐒𝐀𝐈𝐃𝐈𝐀 𝐒𝐀𝐍𝐀
 
𝐂𝐇𝐔𝐊𝐔𝐀 𝐇𝐈𝐈 𝐕𝐈𝐃𝐄𝐎 𝐖𝐄𝐊𝐀 𝐇𝐀𝐏𝐎 𝐉𝐔𝐔 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐔𝐙𝐈 𝐖𝐀𝐊𝐎 𝐈𝐓𝐀𝐊𝐔𝐒𝐀𝐈𝐃𝐈𝐀 𝐒𝐀𝐍𝐀 View attachment 2624427

Huyu bwege sana ndiomana hana akili anavaa na kuongea dume
 
Back
Top Bottom