Kataa ndoa vs kubali ndoa (online poll)

UNAUNGA MKONO VIJANA WAENDELEE KUOA?


  • Total voters
    140
Hilo ni hallucinations tu za vijana wafuata mkumbo katika umri huu walionao ambao hawawezi kuwa handle vema mabinti ambao tayari wameshakuwa mafundi
Wanashindwa kusimama katika nafasi zao kama wanaume matokeo yake ndio hizi kampeni

Kwa mfano huyu alivyodhalilishwa ukumbini
Your browser is not able to display this video.
 
Inaonesha ni namna gani hawa vijana walivyo wachache, Nguvu iongezwe kwenye huduma za kisaikolojia maana hawajafanikiwa kuathiri sehemu kubwa ya jamii.
 
Kijana alitaka iPhone 14 awe ProMax😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…