Kataa ndoa vs kubali ndoa (online poll)

Kataa ndoa vs kubali ndoa (online poll)

UNAUNGA MKONO VIJANA WAENDELEE KUOA?


  • Total voters
    140
Eti shukrani, shukrani tangulini ikapangwa
Unajua mkuu tukisema zawadi yoyote wazazi wengine unawza wapelekea zawadi wakaona kama umewadunisha

Sasa kwa heshima yao ndiyo maana tunaacha wapange ili wafurahi kwa kukuzalia kilicho chema mkuu
 
Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa Bwana.

Mithali 18:22


NDOA NI TAASISI ILIYOASISIWA NA MUNGU MWENYEWE.

vijana nawasihi msimjaribu Mungu.
Ombeni Mungu Awape Wanawake sahihi.
 
shapiga mapema najua hii tuna shinda
Real men hawezi kataa ndoa maana ndiyo msingi wa familia bora,hili jambo linashadadiwa sana na watoto wadogo kama wewe hapo nilipo bold uandishi huu siyo wa mwanaume anayeweza kukaa na watu wazima akawa-challenge kwenye ishu kama hii,wala kupewa mtoto wa mtu aishi nae maana kwanza yeye mwenyewe huyo mwanaume hajielewi.

Mwanaume unaandikaje "SHAPIGA" dada yako nae aandikeje?always nawasisitiza acheni mawenge mkue kwanza mwisho mtajiona kumbe hamkuwa na akili mlikuwa mnajazana ujinga (japo hamtarudi hapa kusema)
 
Mkuu Count Capone nna jambo la kushare kulingana na mfumo tulionao na tunaendelea kuishi nao.

Kwa wenye imani dini hasa ya kikirisito wanajua kuwa NDOA ni jambo jema na nimipango ya mola kufanya iwe hivyo.

Baada ya uumbaji mzee Adam alipewa jiko (bihawa) na kumwambia enendeni mkaitunze dunia na kuzaa pia huku mkiwa na Upendo kati yenu.

Baada ya hapo hadi leo kumekuwa na mparaganyiko, vikao vya kimataifa ikazaliwa (Beijing women conference) ikaja na agenda motomoto ambazo leo zinataka 50/50 na hiyo fifty-fifty imezaa wajukuu wanaolelewa kwa kuambiwa wanawake tunaweza tukiwezeshwa bila chenga.

Leo kitukuu kina nguvu na uwezo kinaamua sitaki kuishi na mke/mume hata mimi naweza kujimudu, isipokuwa Mwanamme hawezi kubeba mimba ila huyu wa 50/50 anaweza kubeba tena siyo lazima mimba iwe na baba.


Kwa nini NDIYO au HAPANA kwa Ndoa, matatizo yaliyopo ndani ya Ndoa yanapelekea vijana wengi hasa sa kike kuichukia ikiwemo uvumilivu na kusamehe, vifo na majanga yatokanayo na ndoa imewafanya wengi kuepa kuoa na kuolewa, taasisi za gizani, hidden societies zinazosimamiwa na NGO's zinasimama kuharibu mahusiano mazuri yaonekane ni ya ovyo.

Baadhi, ndugu, taasisi na wazazi nao wanasimama kuharibu mahusiano ya wanandoa, wanasahau NDOA ni one the biggest Institution inayoweza kuharibu na kuijenga dunia.
 
Real men hawezi kataa ndoa maana ndiyo msingi wa familia bora,hili jambo linashadadiwa sana na watoto wadogo kama wewe hapo nilipo bold uandishi huu siyo wa mwanaume anayeweza kukaa na watu wazima akawa-challenge kwenye ishu kama hii,wala kupewa mtoto wa mtu aishi nae maana kwanza yeye mwenyewe huyo mwanaume hajielewi.

Mwanaume unaandikaje "SHAPIGA" dada yako nae aandikeje?always nawasisitiza acheni mawenge mkue kwanza mwisho mtajiona kumbe hamkuwa na akili mlikuwa mnajazana ujinga (japo hamtarudi hapa kusema)
kwani unajua nimemaanisha nini?
 
Back
Top Bottom