De Capri Don
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 481
- 947
Bold and italicized hiiKama hujazaliwa na kulelewa kwenye ndoa huwezi kuikubali ndoa, kama umezaliwa na kulelewa kwenye ndoa iliyokua na maelewano mazuri lazima uikubali ndoa,
Wakataa ndoa wote ni matokeo ya malezi mabovu tangu utotoni mwao.
Mkuu ipo hivi;Kweli ndoa hazitabiriki ila unaweza aamua ndoa yako iwe ya furaha au iwe ya kuzimu.
Sikuzote oa mwanamke anayekupenda basi, utaenjoy. Ila ukioa mwanamke asiyekupenda , kakupenda kisa hela zako au status, siku status na hela zitakapoondoka, na yeye anasepa. Njia rahisi kujua hili, ni kumjaribu mpenzi wako kuacha kuwa provider alafu mwambie una matatizo uone, akikughost unampiga chini.
They are busy for money[emoji23][emoji23]Viuno feni pia hupati Kwa tajiri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ivo ivo tu wa kunihurumia ntamhurumia pia... Acjali atakua pekee yake 52R1/2B4...
Malezi mabovu yana pelekeaje KATAA NDOA??Kama hujazaliwa na kulelewa kwenye ndoa huwezi kuikubali ndoa, kama umezaliwa na kulelewa kwenye ndoa iliyokua na maelewano mazuri lazima uikubali ndoa,
Wakataa ndoa wote ni matokeo ya malezi mabovu tangu utotoni mwao.
Aya bidada tupe NONDO, kwann KATAA NDOA??NAUNGANA NA KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI UMASKINI
NDOA NI UFISADI
NDOA NI BIASHARA
Huu ni mkusti wa kuku auView attachment 2760804
Hujaskia Mstaafu katelekezwa na mkewe. Kaukiwa hela ujue ulioa mwili au roho.
Unafikiri n kwann mkuu??Mambo n meng Sana dunia ya sasa
Kwa mazingira yetu tunavyoishi kuhalisia ndoa ndio mwisho wa wapenz...
Asaiv tunaishi tu wenyewe kwa kukataa ndoa coz ndio Kaburi la mapenz Wengi wao kwa sasa wanaishi wenyewe ili mapenz yadumu
Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
Unafikiri n kwann mkuu??Mambo n meng Sana dunia ya sasa
Kwa mazingira yetu tunavyoishi kuhalisia ndoa ndio mwisho wa wapenz...
Asaiv tunaishi tu wenyewe kwa kukataa ndoa coz ndio Kaburi la mapenz Wengi wao kwa sasa wanaishi wenyewe ili mapenz yadumu
Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
Unafikiri n kwann mkuu??Mambo n meng Sana dunia ya sasa
Kwa mazingira yetu tunavyoishi kuhalisia ndoa ndio mwisho wa wapenz...
Asaiv tunaishi tu wenyewe kwa kukataa ndoa coz ndio Kaburi la mapenz Wengi wao kwa sasa wanaishi wenyewe ili mapenz yadumu
Sent from my TECNO CK6 using JamiiForums mobile app
Vijana Wengi asaiv hawana mafunzo ya ndoa hasa Sisi wanaumeUnafikiri n kwann mkuu??
NDOA ni UTAPELIAya bidada tupe NONDO, kwann KATAA NDOA??
Nakubaliana na Wew kwa Asilimia zoteKama hujazaliwa na kulelewa kwenye ndoa huwezi kuikubali ndoa, kama umezaliwa na kulelewa kwenye ndoa iliyokua na maelewano mazuri lazima uikubali ndoa,
Wakataa ndoa wote ni matokeo ya malezi mabovu tangu utotoni mwao.
Wanaoishi maisha ya upweke ni wasiomjua Mungu. Ukimjua huishi mpweke, usidanganye umma.
Mtume Paulo na Mtume Yohana hawakuishi wapweke na hawakuoa.
Well, but ulijiulza kwanini hawaoi mapema??
Kwasababu wanawake wote ni sawa.Habarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.
Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727