sasa kidogo nmekuelew asanteM/ke hatumii logic Bali hisia zinatoka ktk gut.
Ukiulizwa Unanipenda maana yake,je likitokea kama mimba ,utaweza kulea mtoto?
So jibu lako lijenge assurance Kwamba wewe ni baba material yaani protector na provider.
Jibu,mwambie una mpango wa kugombea uraisi 2030 ,vipi hatopenda kuwa first lady au jibu linalofanana na hilo
Ndani ya ile comment yke, nafkir kuna ujumbe mzto uliofichka mkuu,ngoja aje tumckie[emoji3166][emoji3166]baya gan mkuu [emoji23]
Ndani ya ile comment yke, nafkir kuna ujumbe mzto uliofichka mkuu,ngoja aje tumckie[emoji3166][emoji3166]baya gan mkuu [emoji23]
Hii mbinu kisomi inaitwa Attack from beginning[emoji16][emoji16]M/ke hatumii logic Bali hisia zinatoka ktk gut.
Ukiulizwa Unanipenda maana yake,je likitokea kama mimba ,utaweza kulea mtoto?
So jibu lako lijenge assurance Kwamba wewe ni baba material yaani protector na provider.
Jibu,mwambie una mpango wa kugombea uraisi 2030 ,vipi hatopenda kuwa first lady au jibu linalofanana na hilo
Hata nisingekuwa na mfano ningeingia tu, lakini kwa mie ambae nina mfano hai basi sina budi kutekeleza tu, hivyo ni suala la muda tu ila soon mtanikuta chamani.Kwahyo mpka uone kwanza mkuu, ndipo uelekee??
Nitafunga na kusali kuhusu hilo mkuu [emoji38][emoji38][emoji38]Hata nisingekuwa na mfano ningeingia tu, lakini kwa mie ambae nina mfano hai basi sina budi kutekeleza tu, hivyo ni suala la muda tu ila soon mtanikuta chamani.
Dah kweli we zuzu😀🤣🤣, usikute huyo mwandishi ni team kataa ndoa.kuna kitabu nilisoma kinasema mwanaume aliyeoa akizeeka anakua na furaha kuliko ambae hajaoa
ni tafiti hizo zilifanywa na huyo mwanasaikolojiaDah kweli we zuzu😀🤣🤣, usikute huyo mwandishi ni team kataa ndoa.
👉So ana wajaza kwenye mtego🤣😀😂
Alifanya tafiti dunia nzima???, Au alikuwa ame base ka eneo fulani??ni tafiti hizo zilifanywa na huyo mwanasaikolojia
marekani, lakini inabeba uhalisia fulaniAlifanya tafiti dunia nzima???, Au alikuwa ame base ka eneo fulani??
👉So akachukulia Kama kote hali ni Safi🤔
Uhalisia upi???, Hiyo ni research at a very limited place .marekani, lakini inabeba uhalisia fulani
marekani napo kuna matatizo ya ndoa, lakini haimaanishi kwamba ndoa ni kitu kibayaUhalisia upi???, Hiyo ni research at a very limited place .
👉Haina uhalisia na maeneo mengine, USI shangae tz Kuna malalamiko ya ndoa🤔. Akati kitabu kina sema furaha IPO😀🤣
Usio. Don't marryMbona unanitisha mkuu??
Ingia ndo utajuaKwanini n UTAPELI ??
Why [emoji23][emoji23][emoji23]Usio. Don't marry
Wewe usioeWhy [emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh, kwann ncjue ndo niingie[emoji44][emoji44]Ingia ndo utajua
Duuh, kwann ncjue ndo niingie[emoji44][emoji44]Ingia ndo utajua