Maisha hayaanzi ukishapata mahusiano, maisha huanza unapozaliwa hahaha. Usiishi kwakukariri my friend, don't judge until you know the whole book. Psychology is another thing na awa minds are very much different boss.Kwanza kabisa, I didn't shame anybody, sio tabia yangu labda umenielewa vibaya.
Chingine vitu ulivoongea vyote ni sawa kulingana na mtazamo wako na ndo maana tunajadili hapa, unaposema "Watu wamepitia mengi, ukiona mtu kafika hatua ya kuikataa ndoa" unamaanisha watu gani hapa, walio divorce au single people?
Hvyo n after mkuu[emoji23][emoji23]hvo vitu ulivotaja hapo utakua tayar umeshaoa au bado? Kama ni tayar basi ndoa zitaendelea kuvunjika
Ipo siku mkuu utapata, ila ukpta mdo ujue hlo.[emoji23] hata hzo magazeti sina mkuu pesa teez
Nakuelewa sana broo wala usijali, ila Kama hizo twisted minds utazungumzia wale watu wamezaliwa na macho mawili yote yanafanya kazi akaanza kusema anatamani kuwa kipofu ndo atakuwa na furaha kamili broo tuishie hapo maana sidhani kama hio ni furaha, kama ww unaona hio ndo furaha bac sawa kila mtu ana amini what's convenient for himItafsiri hiyo furaha ya kujilazimisha na hiyo furaha halisi, hahaha. Unaongelea hisia rafiki, you never know when they come and when they evaporate. Ila jua ubongo wako ndio hutengeneza hisia ila no one knows whats the true meaniing of happiness maana hisia haziwezi kuwa proved scientifically. Tambua, binadamu hatufanani, starting from the genes hivyo maishani usifikiri intelligence both emotional and logical zitafanana. Life is never black and white. Nitaweza kukupa mifano ya twisted minds hutaamini, ila ndio maisha hayo.
Unatoka nje ya mada bossMaisha hayaanzi ukishapata mahusiano, maisha huanza unapozaliwa hahaha. Usiishi kwakukariri my friend, don't judge until you know the whole book. Psychology is another thing na awa minds are very much different boss.
Vyema na hapo ndio tumefikia hatua yakupatana. Hapo ndio science imefika nyanja ya kuiachia dini itoe maelezo. The power of free will and ability ya kila mmoja kuconceptualize nani akipendacho na kinachompa furaha. Science imefeli hapo kabisa. Conveniences zinatofautiana sana, kibaya ni kwamba watu waache kulazimishana his/her own convenience ziwe za mwingine ila mtu awe clearly aware of consequences of his/her decisions and actions.Nakuelewa sana broo wala usijali, ila Kama hizo twisted minds utazungumzia wale watu wamezaliwa na macho mawili yote yanafanya kazi akaanza kusema anatamani kuwa kipofu ndo atakuwa na furaha kamili broo tuishie hapo maana sidhani kama hio ni furaha, kama ww unaona hio ndo furaha bac sawa kila mtu ana amini what's convenient for him
Hahahahahahaha, kazi ipoKataa ndoa wanasema kama mwanamke Tajiri oa...
Wao hawataki mwanamke masikini tu...
Waweza kudhani hivyo chief ila hapa nilikuwa napanua concept yako yakuongelea singles and divorces kama the first stage ya mtu anaanza kutambua maisha yake na kujua uzuri au ubaya wa ndoa ila huanza mapema sana more earlier than those statuses.Unatoka nje ya mada boss
Daaah kabaki na unyoya tu πHabarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.
Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727
ndio tunajifunza hivi mdogo mdogo changanya na matani ya humu... kama akili zinazunguka vizur tunanukuu pointIpo siku mkuu utapata, ila ukpta mdo ujue hlo.
kama ni after kuoa basi ukishagundua hupendwi nafkiri mr.TALAKA Anatake placeHvyo n after mkuu[emoji23][emoji23]
sawa kabisa mm naongea kwa upande wa imani, sijaamua kuongea kisayansi kama ww, science haijawahi nijibu maswali yangu inaongeza tuu maswali kichwani mwanguVyema na hapo ndio tumefikia hatua yakupatana. Hapo ndio science imefika nyanja ya kuiachia dini itoe maelezo. The power of free will and ability ya kila mmoja kuconceptualize nani akipendacho na kinachompa furaha. Science imefeli hapo kabisa. Conveniences zinatofautiana sana, kibaya ni kwamba watu waache kulazimishana his/her own convenience ziwe za mwingine ila mtu awe clearly aware of consequences of his/her decisions and actions.
Do u Miss yourself[emoji848], I mean the PERSON you were before pain[emoji174] changed YOU [emoji1784]Habarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.
Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727
Ndoa ni mkataba na mkataba huwa una malengo mahsusiHabarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.
Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727
Hapana boss una weka tasfiri kweny maneno yangu ambayo hayapo, sijasema kwamba kuwa single or divorce ndio first stage ya mtu kutambua uzuri na ubaya wa ndoa, lilikuwa ni swali tuu plain as that.Waweza kudhani hivyo chief ila hapa nilikuwa napanua concept yako yakuongelea singles and divorces kama the first stage ya mtu anaanza kutambua maisha yake na kujua uzuri au ubaya wa ndoa ila huanza mapema sana more earlier than those statuses.
mimi nilishakula kiapo... Sitongozi tena mwanamke... Mimi nilitongoza kwa nia njema kabisa... Akasema "wewe ni kaka yangu, na tutaendelea kuwa kama kaka na dada" asee niliona aibu sijui ata ilitoka wapi... Lakin yule msichana anajiheshimu kwa kwel... Ila na mimi nimeapa sitanyanyua midomo yangu kutamka neno "fulani nakupenda" badala yake nikipenda nitajitahd kumfanya yeye ndio atamke... Kujipendekeza sio kuzuri kwakwel... amna kabisa aah...True
Hiyo ni kwenye maziwa tu, lakiniKununua maziwa ni nafui zaidi kuliko kufuga ng'ombe
Ni kweli, ingawa mwenye ng'ombe hanywi maziwa yaliyochakachuliwa.Kununua maziwa ni nafui zaidi kuliko kufuga ng'ombe
Habarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.
Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za
π€£π€£π€£π€£π€na KUBALI NDOA. View attachment 2760726
π€£π€£π€£π€£π₯΄mimi nilishakula kiapo... Sitongozi tena mwanamke... Mimi nilitongoza kwa nia njema kabisa... Akasema "wewe ni kaka yangu, na tutaendelea kuwa kama kaka na dada" asee niliona aibu sijui ata ilitoka wapi... Lakin yule msichana anajiheshimu kwa kwel... Ila na mimi nimeapa sitanyanyua midomo yangu kutamka neno "fulani nakupenda" badala yake nikipenda nitajitahd kumfanya yeye ndio atamke... Kujipendekeza sio kuzuri kwakwel... amna kabisa aah...
Duh hiyo kumvizia mwanamke atamke yeye anakupenda, ili umudu uwe na miaka, kuanzia 60+, tena uwe unasumbuliwa na maradhi, ndipo utamudu, ila chini ya umri huo, unaweza jikuta sabani ni mpenzi wako, wa kumaliza hsja zako.mimi nilishakula kiapo... Sitongozi tena mwanamke... Mimi nilitongoza kwa nia njema kabisa... Akasema "wewe ni kaka yangu, na tutaendelea kuwa kama kaka na dada" asee niliona aibu sijui ata ilitoka wapi... Lakin yule msichana anajiheshimu kwa kwel... Ila na mimi nimeapa sitanyanyua midomo yangu kutamka neno "fulani nakupenda" badala yake nikipenda nitajitahd kumfanya yeye ndio atamke... Kujipendekeza sio kuzuri kwakwel... amna kabisa aah...