Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa ukute muda wenyewe ni miaka ya 2150[emoji23][emoji23][emoji23] Muhimu ni kutunza uanaume wako, mpaka mda huo ufike.
Acha tu, sometimes hiwa ANGELS ila wakibadulika ni bora ya DEVIL [emoji28][emoji28][emoji28]mwanamke anaweza kukuzid akili darasani lakin kwenye real life ni bogus... Mungu alijua kama hawa viumbe atawapa akili zaidi yetu watatutesa
Mwanaume unakataaje kuoa.Habarini wakuu,
Hivi karibuni kumeibuka mjadala wa baadhi ya wanaume kukataa NDOA, (dronedrake ) muda huohuo pia kua baadhi ya wanaume wanakimbilia NDOA.
Jambo hili linaibua hisia za wanaume na wanawake wengi pia, na vilevile linapelekea wengine kubaki kwenye kitendawili cha kufuata NDOA au kukataa NDOA. Wenye uzoefu wa NDOA tunaomba msaada wenu wa kwanini mliweza kuikimbilia NDOA. Na wale pia KATAA NDOA, mtueleze pia sababu zipi zinapelekea MKATAE NDOA.
Lengo tushare EXPERIENCE kwa sisi ambao hatujaoa tujue ambayo tusiyoyajua juu ya FAIDA/HASARA za KATAA na KUBALI NDOA. View attachment 2760726View attachment 2760727
[emoji23][emoji23][emoji23] kvp mkuu, ebu uje na hoja. Kuna mitume haikuoa na wala haikuolewa.USIPOOA UTAOLEWA.
Duuh, hapa tutakuwa tayr makabrn kaka[emoji28][emoji28]sasa ukute muda wenyewe ni miaka ya 2150
Kuna ukweli na mengi ya kujifunza katika ujumbe wako, binafsi sikupingi. Je ni zipi faida zake katika hilo, pia hasara.Mwanaume unakataaje kuoa.
Ndo kitu pekee kinacholeta furaha maishani mwetu.
Unadhani ukifanya kazi sana ndo utakuwa na furaha??
Unadhani ukiwa na wanawake ishirini ndo utakuwa na furaha??
Mwanamke ndo kitu pekee kinachotupa furaha maishani, sio mwanamke tuu bali ni yule mwanamke unayeishi naye kihalali kwa ndoa, ukisema "Hela" inakupa furaha nitakuona mwongo sana kwa sababu hata hao matajiri wa dunia wameoa.
Kukataa kuoa ni weakness kwa sababu unakwepa ku-deal na mapungufu yako na mapungufu ya huyo utakae muoa.
Avoiding marriage is going against nature.
Kunywa maziwa kila siku ni hatari kwa afya yako mkuuWell, ila sio siku zote utakuwa una ela ya kununua maziwa, Je vp ukikosa ela??
Kwanini usifuge ng'ombe kupunguza gharama??
Kweny unabii mwanamke huwa ana represent kanisa na sio literally kama ww unavofikiria kuwa ni mwanamke halisi.Sie wengine tunasubiria unabii ambapo wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja na kumuomba awafichie aibu yao.
Faida za kuoa- furahaKuna ukweli na mengi ya kujifunza katika ujumbe wako, binafsi sikupingi. Je ni zipi faida zake katika hilo, pia hasara.
yeah! Me naona tusisubirie unabii anza keshoDuuh, hapa tutakuwa tayr makabrn kaka[emoji28][emoji28]
ntajuaje kama ananipenda, me nampenda coz najijuaFaida za kuoa- furaha
Hasara za kuoa-............(hamna)
Kama unaamini kuna hasara za kuoa pole mzee.
Hakuna hasara za kuoa but kuna hasara za kuoa mwanamke usiye endana nae.
Oa mwanamke unayempenda na ww anakupenda.
Ukiona mwanamke anayekupenda na ww humpendi basi tuu labda katoka familia tajiri, aisee hutokuwa na furaha kweny maisha yako ya ndoa.
Ukioa mwanamke unayempenda ila yeye hakupendi, hapo ndo utafahamu stress ni nn.
Oa mwanamke mnayependana, regardless hali ya familia yake ili mradi mnapendana.
Huu ni ushauri tuu unaweza fanya unavojua ww.
Maelezo yako yna nijenga pia mkuu, nasi tunajifunza kupitia uyanenayo. Barikiwa sana.Faida za kuoa- furaha
Hasara za kuoa-............(hamna)
Kama unaamini kuna hasara za kuoa pole mzee.
Hakuna hasara za kuoa but kuna hasara za kuoa mwanamke usiye endana nae.
Oa mwanamke unayempenda na ww anakupenda.
Ukiona mwanamke anayekupenda na ww humpendi basi tuu labda katoka familia tajiri, aisee hutokuwa na furaha kweny maisha yako ya ndoa.
Ukioa mwanamke unayempenda ila yeye hakupendi, hapo ndo utafahamu stress ni nn.
Oa mwanamke mnayependana, regardless hali ya familia yake ili mradi mnapendana.
Huu ni ushauri tuu unaweza fanya unavojua ww.
ntajuaje kama ananipenda au kapenda my money?Faida za kuoa- furaha
Hasara za kuoa-............(hamna)
Kama unaamini kuna hasara za kuoa pole mzee.
Hakuna hasara za kuoa but kuna hasara za kuoa mwanamke usiye endana nae.
Oa mwanamke unayempenda na ww anakupenda.
Ukiona mwanamke anayekupenda na ww humpendi basi tuu labda katoka familia tajiri, aisee hutokuwa na furaha kweny maisha yako ya ndoa.
Ukioa mwanamke unayempenda ila yeye hakupendi, hapo ndo utafahamu stress ni nn.
Oa mwanamke mnayependana, regardless hali ya familia yake ili mradi mnapendana.
Huu ni ushauri tuu unaweza fanya unavojua ww.
Hilo swali ni gumu kaka, kila mtu anajinsi yake anavoonyesha upendo, ila mzee sisi wanaume tuna namna yetu tunajua, tuna instincts za kiume zinazotuongoza.ntajuaje kama ananipenda, me nampenda coz najijua
Muombe sana MUNGU, ufilisike mkuu [emoji23][emoji23]ntajuaje kama ananipenda au kapenda my money?
Mwanamke aliyekupendea hela utamjua tuu, ww ni mwanaume utajua tuu broo, mambo mengine ntatumia muda mwingi kuelezea wakati unayajua.ntajuaje kama ananipenda au kapenda my money?
Dhiki, maradhi, upovu, ulemavuntajuaje kama ananipenda au kapenda my money?
hvo vitu ulivotaja hapo utakua tayar umeshaoa au bado? Kama ni tayar basi ndoa zitaendelea kuvunjikaDhiki, maradhi, upovu, ulemavu
Hvyo ni vichache katika vipimo vng kwa kumjua mtu kakupendea nn.
shida kumwacha umpendae Afu na yeye anaonesha upendo bandiaMwanamke aliyekupendea hela utamjua tuu, ww ni mwanaume utajua tuu broo, mambo mengine ntatumia muda mwingi kuelezea wakati unayajua.