True Believer
JF-Expert Member
- Mar 6, 2019
- 586
- 886
- Thread starter
- #121
Utamu wake ni upi mkuu, fafanuka bc[emoji39][emoji39][emoji39]Ndoa tamu nyie, yoyote anaeoa apata kibali mbele za bwana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamu wake ni upi mkuu, fafanuka bc[emoji39][emoji39][emoji39]Ndoa tamu nyie, yoyote anaeoa apata kibali mbele za bwana
Kwahyo ukiwa na maokoto pekee ndiyo trigger ya ndoa mkuu?Sasa kama maokoto yapo kwa nn ukatae ndoa??
Mzee kuna mdada anakupenda sema hujui tuu, niamini mm[emoji23] dah! Huwa nawa zoom tu wakipitaga na pisi kali zao Nasema "one day yes"
We ni bwana mdogo huwezi elewa haya mambo, nyie endeleeni na kampeni kataa ndoa na kupotosha dhana nzima ya taasisi ya ndoa ni kupoteakibali gani ili tufanye mchakato wa mahali chap
hapana mimi sipingi ndoa sababu siijui kwakwel, nafanya kucomment tu ili nijifunzeWe ni bwana mdogo huwezi elewa haya mambo, nyie endeleeni na kampeni kataa ndoa na kupotosha dhana nzima ya taasisi ya ndoa ni kupotea
acha bc mkuu angefanya ata kunisalimia kama kwel yupo... Saiv nna miez 2 sijasalimiana na girl yeyote...Mzee kuna mdada anakupenda sema hujui tuu, niamini mm
acha bc mkuu angefanya ata kunisalimia kama kwel yupo... Saiv nna miez 2 sijasalimiana na girl yeyote...Mzee kuna mdada anakupenda sema hujui tuu, niamini mm
sijakuelewa mkuu ulitaka kusemaje
N kweli, **** umezoe kula ilimradi ule kwa bei ya Chini, utakua unakula jina la Chakula tu ila siyo ubora.🙂 maziwa yaliyochakachuliwa bado ni maziwa
🤣🤣 Umesema hutongozi tena? Sa itakuwaje 🤔??52R1/2B4...
Vizuri. Keep it upN kweli, **** umezoe kula ilimradi ule kwa bei ya Chini, utakua unakula jina la Chakula tu ila siyo ubora.
Arrggg mnatuchanganya na kutuconfuze sasa....☹️☹️☹️☹️Kweny unabii mwanamke huwa ana represent kanisa na sio literally kama ww unavofikiria kuwa ni mwanamke halisi.
Kwaio kama unasubiri huo unabii pole sana.
Sorry,mawazo yako yana walakini sana. So,wewe umekaa ukatafakari kwa kina na kuja na hoja hii? Eti "Ndoa ni kitu pekee kinacholeta furaha".Mwanaume unakataaje kuoa.
Ndo kitu pekee kinacholeta furaha maishani mwetu.
Unadhani ukifanya kazi sana ndo utakuwa na furaha??
Unadhani ukiwa na wanawake ishirini ndo utakuwa na furaha??
Mwanamke ndo kitu pekee kinachotupa furaha maishani, sio mwanamke tuu bali ni yule mwanamke unayeishi naye kihalali kwa ndoa, ukisema "Hela" inakupa furaha nitakuona mwongo sana kwa sababu hata hao matajiri wa dunia wameoa.
Kukataa kuoa ni weakness kwa sababu unakwepa ku-deal na mapungufu yako na mapungufu ya huyo utakae muoa.
Avoiding marriage is going against nature.
Wazo zuri, sabuni sio tba mkuu ila ni kitulizo chenye madhara.....KWA UTAMU GANI SI NTAUPATA HATA KWA SABUNI....
NakaziaOa mwanamke tajiri