Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Mpare wa wapi huyu mjinga mjinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwehu huyoMkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Yaani mke wangu ahamie shule? Halafu yeye ataileta yake?Usalama wa walimu umehakikishw? Huwezi kumfanyisha binadamu kazi zaidi ya masaa nane, kama inabidi afanye kazi masaa 12 haya manne ya ziada ni over time.
Atawaoa labdaTena anawashwa pabaya
UshungiMpare wa wapi huyu mjinga mjinga
Pep ungesomea ualimu sasahivi nyumbani ingekuwa ugomvi tu..maana ungehamia shuleni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masaa 24 unaandikisha tu wanafunzi?
Hii ni sahihi,wanahabar wamepoteza ubunifu badala yake wanatafuts chochote tu hata Cha makosa y kibinadamu wanakomaa nacho mfano suala la yesu na ndugai,hii inajulikana kabisa haiwezekani kufanya kazi masaa 24 kwa walimuNdg waandishi penye utata, muwe mnawahoji vzr kabl ya kukimbia kwenye keyboard na hivyo vikamera na Vitape recorder vyenu.
Nao ni binadam ukizingatia public speech zina changamoto nying kw wengi, nao ni binadam,