King smoker
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,002
- 675
Na yeye eti ni mkuu wa mkoa fulani! Duuuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo RC mbona mrembo hivo, au wanaundugu na samiah,Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Yaani huko Katavi kuna mzazi aliwahi kupeleka mwanae shule SAA 7 usiku? Hivi CCM huwa inawatoa wapi Mburula kama hawa?Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Yaani huko Katavi kuna mzazi aliwahi kupeleka mwanae shule SAA 7 usiku? Hivi CCM huwa inawatoa wapi Mburula kama hawa?Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
Masaa 24 siku 7 za wiki hahahaMkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amewataka walimu kuwapo shuleni saa 24 kwa ajili ya kupokea wanafunzi watoto wanaoandikishwa kuanza darasa la kwanza na awali ili mzazi akifika asirudi na mtoto nyumbani kwa kukosa huduma.View attachment 2077845View attachment 2077845
🤣🤣🤣🤣Yaani nikose morning glory? nisingekubali 🙁
Ndg waandishi penye utata, muwe mnawahoji vzr kabl ya kukimbia kwenye keyboard na hivyo vikamera na Vitape recorder vyenu.
Nao ni binadam ukizingatia public speech zina changamoto nying kw wengi, nao ni binadam,