LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Shida moja mbowe anakitumia siasa kama sehemu ya platform kwenye mambo yake hata hizo biashara zake, muda utasema.Huwezi kung'ang'ana miaka 20+ bure tu kwenye siasa.Hadi leo najiuliza, kwanini Mbowe amejitakia aibu hii? Kwanini asingestaafu kwa heshima?
Na akileta uhuni katika sanduku la kura ndio ataiua CDM kabisa!
Heshima kwenu wajumbe wa Katavi na wote mnaomuunga Lissu mkono, mabadiliko ni sasa.
Ndo maana Jana mbowe analalamikia tu kuona lissu anagombea uwenyekiti badala ya umakamu mwenyekitiWakina mbowe na matapeli wenzake ndani ya chadema walitaka kuget rid ya ile timu yote cream ya wakina Lema, Msigwa, na Heche wote wasipate uenyekiti wa Kanda. Hilo likafanikiwa. Mission ikawa tunamtoaje Lissu. Wakaona ingiza Wenje ambae muda wote ni "Yes Sir". Lissu nae akachapa "ambush" ya maana. Nakufuata hukohuko juu 😅😅😅
Tatizo Mbowe na wapambe wake wachache walitaka kupindua meza kibabe Kwa kuwaondoa kwenye nafasi zao Msigwa,Lema,Heche na Lissu ili wapate maingizo mapya watakao kuwa machawa kama SUGU na WENJE...Lissu chap kwa haraka akamoandilia huko huko juu basi imekuwa taflani Kwa sababu Mbowe na machawa wake hawakutegemea hii manoeuvre ya Lissu...Vyoyote itakayokua chadema watahitaji maridhiano ikiwa dhamila ya kuendelea kubaki ndani ya chama wote wanayoImekuwaje Mbowe ameshindwa kusoma alama za nyakati?
Wanachadema wengi hawapigi Kura...Ukiwa mjinga unaweza kuficha uso na kuacha makalio waziKura ndizo zitakazoamua sio matamko koko yeyote popote
Kura ni siri ya mtu
Katiba izingatiwe
Kuziba magep ya wizikuna ulazima gani kuja public?
Nilisema juzi hapa jf na naludia kama umekula pesa za upande ule na upo chadema jiandae kuzitapikaView attachment 3191984
Katika historia ya CHADEMA na katika kipindi chote cha miaka 20 ya chaguzi na uwepo wa Mbowe madarakani ni kwa mara ya kwanza Watanzania tunashuhudia Freeman Mbowe akipingwa karibu kila Kona ya Tanzània kwamba imepotesha,
Ni swala la Mbowe mwenyewe na Wafuasi wake kuamua kunyoa au kusuka ila kama ni Uchaguzi umeshakwisha 90%
Soma pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
VOX POPULI, VOX DEI
Usiwaa.ini sana wanadamu.View attachment 3191984
Katika historia ya CHADEMA na katika kipindi chote cha miaka 20 ya chaguzi na uwepo wa Mbowe madarakani ni kwa mara ya kwanza Watanzania tunashuhudia Freeman Mbowe akipingwa karibu kila Kona ya Tanzània kwamba imepotesha,
Ni swala la Mbowe mwenyewe na Wafuasi wake kuamua kunyoa au kusuka ila kama ni Uchaguzi umeshakwisha 90%
Soma pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
VOX POPULI, VOX DEI
Hivyo vijamaa viwili vilivyojaa njaa - 21st siyo mbali, tusikimbiane tu baada ya uchaguzi na visingizio kibao.
Hii ni siasa! Ili ushinde lazima upeleke sauti masikioni mwa watu...kuna ulazima gani kuja public?
kivipi?Kuziba magep ya wizi
uchaguzi wa ndani unahitaji public??Hii ni siasa! Ili ushinde lazima upeleke sauti masikioni mwa watu...
Nashangaa kampeni ya timu Lisu ohhh Mbowe kakaa muda mrefu sanaWanachadema wengi hawapigi Kura...Ukiwa mjinga unaweza kuficha uso na kuacha makalio wazi
Hali ni mbaya kwa bwana Mbowe hiyo ni KweliView attachment 3191984
Katika historia ya CHADEMA na katika kipindi chote cha miaka 20 ya chaguzi na uwepo wa Mbowe madarakani ni kwa mara ya kwanza Watanzania tunashuhudia Freeman Mbowe akipingwa karibu kila Kona ya Tanzània kwamba imepotesha,
Ni swala la Mbowe mwenyewe na Wafuasi wake kuamua kunyoa au kusuka ila kama ni Uchaguzi umeshakwisha 90%
Soma pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
VOX POPULI, VOX DEI