🤣🤣🤣🤣Mpwayungu Village mwenye shirt la blue
CCM ndio waajili waoSasa ofisi ya ccm inahusikaje?
Hao ndiyo wenye nchi, huko mikoani sisiem ndiyo wenyewe wakikugomea kitu hutoboi kabisa.Sasa ofisi ya ccm inahusikaje?
Ndio yenye serikali na ndio kimbilio la wanyonge kutokana na usikivu wake na hapo kilio chao kimesikika na watapata Tabasamu muda siyo mrefuSasa ofisi ya ccm inahusikaje?
Walimu wamekuwa smart these days.Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama Cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.
View attachment 2766682
#AzamTVUpdates
Yeah wanatuona nyaniHao ndiyo wenye nchi, huko mikoani sisiem ndiyo wenyewe wakikugomea kitu hutoboi kabisa.
Huko mikoani hawana pakwenda pa kupata msaada.Ndo waende ofisi za ccm
HeheheMpwayungu Village njoo huku kaka
Ndiyo hivyo, mujini ndiyo tunawapotezea lakini huko weeYeah wanatuona nyani
Ndiyo maana yake, m/kiti mkoa ana nguvu huyoHuko mikoani hawana pakwenda pa kupata msaada.