KATAVI: Walimu Zaidi ya 200 Waandamana ofisi za CCM kudai Haki yao ya kupandishwa madaraja

KATAVI: Walimu Zaidi ya 200 Waandamana ofisi za CCM kudai Haki yao ya kupandishwa madaraja

  1. Tarehe 1 mwezi wa 10 watapata promotion amesikika Waziri akisema, je hili ni igizo limeandaliwa kwa lengo maalumu? Yaani promotion inakuja siku mbili baadaye, walimu wanakodi matenti na kuandamana kwa kujiamini bila kusulubiwa na polisi.
 
Wameniamsha.

Eti wamerudisha Kadi 😲👀, ?

'ah' kumbe ya mpwayungugu.

Rudisha Kadi, sio kwenda kuandamana tu, by ze way kurudisha kadi ni kuandamana-its a form of Protest.

chagua kwa umakini na uangalfu 2025.



Heko Walimu 🤝 wa Mpwayugungu
 
Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.

View attachment 2766682

#AzamTVUpdates
Kwani huko ccm ndio wanapandisha madaraja ?
 
Back
Top Bottom