Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wenye Nchi na hapo iko kimkakati ili ccm ijione ndio baba lao.Kwann hawakuelekea kwa DEO wakaamua kwenda ccm? Ccm na madaraja ya walimu wapi na wapi?
Sisiem wataenda kusukuma kwa DEO maana hao ndiyo wasimamizi wao wa kura tena zile za wizi hao ndiyo huwafichia [emoji23][emoji23]Kwann hawakuelekea kwa DEO wakaamua kwenda ccm? Ccm na madaraja ya walimu wapi na wapi?
Na ndio maana polisi hawajapiga mabomu hayo maandamano maana yako kichama zaidi.Sisiem wataenda kusukuma kwa DEO maana hao ndiyo wasimamizi wao wa kura tena zile za wizi hao ndiyo huwafichia [emoji23][emoji23]
Ndio ushangae watu tunaowaachia wawafundishe watoto wetu ndio wanaoongoza kwa ujingaSasa ofisi ya ccm inahusikaje?
Kwenye kura huwa wapo wote hawa wanabadilisha kura, hawa wanafanya ulinzi, kwahiyo wanafahamiana vizuri.Na ndio maana polisi hawajapiga mabomu hayo maandamano maana yako kichama zaidi.
Ni ndugu hao jamaa wanajuana.Kwenye kura huwa wapo wote hawa wanabadilisha kura, hawa wanafanya ulinzi, kwahiyo wanafahamiana vizuri.
Ndiyo maana yake.Ni ndugu hao jamaa wanajuana.
Labda walienda kupumzika, hujaona waliandaliwa tents! Waziri amesema Jumapili hii anawapromote, kuna jambo limetengenezwaSasa ofisi ya ccm inahusikaje?
Mahakama ipi 🤣🤣🤣🤣NILIDHANI wameenda MAHAKAMANI
Kwani huko ccm ndio wanapandisha madaraja ?Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.
View attachment 2766682
#AzamTVUpdates
Anatuliaje bila majibu ?We tulia
Una uhakika na jinsia yake?Mpwayungu Village njoo huku kaka