KATAVI: Walimu Zaidi ya 200 Waandamana ofisi za CCM kudai Haki yao ya kupandishwa madaraja

KATAVI: Walimu Zaidi ya 200 Waandamana ofisi za CCM kudai Haki yao ya kupandishwa madaraja

Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.

View attachment 2766682

#AzamTVUpdates
Natokana na baba ambaye ni mwalimu lakini na yeye anawashangaa wenzake hawa wa kizazi hiki! Nachelea kusema ni majinga mno! Sasa huko cccm ndo Kuna nondo au cement za kujengea hayo madaraja🥺🥺 upuuzi mtupu!
 
Takriban walimu 200 wa shule za msingi na sekondari Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameandamana mpaka Ofisi ya Mkoa ya Chama cha Mapinduzi wakiomba Serikali kuingilia kati madai yao ya upandishwaji wa madaraja ya mshahara baada ya kukaa kwa muda mrefu katika utumishi bila kupata stahiki hiyo.

View attachment 2766682

#AzamTVUpdates

Wameajiriwa na ccm au serikali?
 
Kwa ujinga kama huu na mwingine mwingi ndo maana wenye akili wanataka katiba mpya.Hao walimu wamefanya makusudi kuonyesha serikali ya ccm kua mmeshindwa.ila tatzo litakalijitokeza ni kwamba ccm nao watawatumia kupigia propaganda zakisiasa mwisho wa siku tatizo la msingi litabaki vile vile.Ila huo ni ujira wenu walimu kwasababu mnalipwa kinachostahili baada yakumtumikia kafiri kipindi cha uchaguzi.
 
Back
Top Bottom