Katazo la kulala wanaume wawili Lodge

Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta
 
Sehemu nyingi wanasema hawaruhusu watu wa jinsia moja na sio wanaume. Wewe bila shaka utakuwa na lako jambo.
 
watu mmezidi tu akili chafu, m sioni tatizo la wanaume kulala kitanda kimoja wengine wanatafuta maisha wanapanga chumba kimoja godoro moja tena ukute lipo chini hata uwezo wa kununua kitanda hawana, wengine wanafunzi chuo hvyo hvyo wanashea chumba kimoja godoro moja na hakuna tatizo lolote. Hayo mambo ya kufukuana ni matatizo ya watu binafsi wanaopenda mambo hayo hizo sheria za kiboya wala hazimake sense. Lkn kuna wale wanalalaga bila nguo nao siwaelewagi aisee
 
hahahaaaaa, boarding kuna jamaa lilikuwa linalala bila nguo kabisa afu walikuwa wanashea vitanda sababu ya wingi wa wanafunzi,

alikua anaongea sana kisukuma alizidiwa na ushamba mwingi wa kisukuma, maana alikuwa msukuma og.
 
Nadhani nikwasababu za kibiashara tu.kwasababu kama ni ushoga bado wanaweza wakachukua vyumba tofauti na mmoja akamfwata mwingine.
 
SI UMEONA BALAA LA WALE WANAFUNZI WA CHUO FULANI,WAMECHUKUA ROOM
ILI WAMENGENYUANE

OVA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…