Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Pongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza.
Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi.
Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi.
Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.