Mkuu kuna wanafunzi wa shule za bweni pia. Hzo siku zote wanakuwa shuleni tu.Kupumzika kuwe na kiasi. Unafahamu kuwa mtoto akisoma siku 180 kwa mwaka maana yake anasoma nusu mwaka na nusu mwaka anapumzika? Uliona wapi mtu anapumzika nusu mwaka!!?
Wanafunzi wanasoma kwa siku 180-190 kwa mwaka. Mwaka un asiku 365. Maana yake kama siku 180 zingine wanatumia kupumzika. Nusu mwaka wanapumzika. Hizi ni siku nyingi sana za kupumzika. Zinatakiwa kupunguzwa.Mkuu,
Nakupinga katika hili. Kila kitu kina wakati wake.
Wanafunzi lazima wapate muda wa kupumzika, wapate muda pia wa kukaa na wazazi wao, likizo ya siku 60 hadi 74 kwa mwaka wenye siku 365 unaona kama ni vibaya?
Mimi nikadhani hata tuongeze muda wa likizo.
Psychology ya wanafunzi tutaiharibu.
Tuwaache wapumzikee
Anakuwa shuleni lakini hizo jumamosi na jumapili, siku 104 kwa mwaka anapumzika.Mkuu kuna wanafunzi wa shule za bweni pia. Hzo siku zote wanakuwa shuleni tu.
Ni siki zisizozidi 80 na hazipungui 60 tu ndo wanakuwa nyumbani out of 365 kwa mwaka.
Je unadhan wanafunzi wa bweni huwa hawamiss nyumbani kwao??
Labda kama elimu inataka iwe vita.
Shule itakuwa gereza
Vipi kuhusu issue ya kubadili mazingira kurudi kwao?Anakuwa shuleni lakini hizo jumamosi na jumapili, siku 104 kwa mwaka anapumzika.
watoto wapumzike hapa duniani? nakataa labda wapumzike kaburini.Nafikiri huu Ujinga wa kutoruhusu watoto kupumzika wakati wa Likizo uko hapa hapa Tanzania!
Wasome bila mapumziko!!!Pongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza. Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi. Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
SawasawaVipi kuhusu issue ya kubadili mazingira kurudi kwao?
Naongea hivyo kwani mimi nlisoma shule hizi za bweni za serikali.
Na bahati mbaya hiko chakula chake mkuu.. Ziache hizo likizo tu mkuu, tena ikibidi hata ziongezwe.
Ni magereza yale
Mpwayungu Village unaitwa huku.Pongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza. Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi. Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
Kila mtu kuna wakati anahitaji mapumziko...watoto wapumzike hapa duniani? nakataa labda wapumzike kaburini.
walimu chapeni kazi kugawa elimu hadi kipindi cha likizo mada ni nyingi na ndefu muda hautoshi tukiendekeza usingizi
Ni ajabu sana hizi shule.Wasome bila mapumziko!!!
kwani akuna mapumziko huko shuleKila mtu kuna wakati anahitaji mapumziko...
mwalimu anamchango asilimia ngapi kwa ufaulu wa mwanafunziNi ajabu sana hizi shule.
Ndo tatizo la watu waliokosa alama za kutosha kukimbilia ualimu. Hawajiamini
Ni ajabu sana hizi shule.Wasome bila mapumziko!!!
unajua maana ya likizo we mwendawazimu? hata mfanyakazi ana likizo ya mwaka. We umesomea ualimu? km bado naomba uheshimu taaluma za watu. Mtoto anahitaji kupumzika, msiwatumie watoto wa watu kwa maslahi yenu nyie wenye roho za kishetani isiyo na huruma. We km siyo uko kwenye kundi la wenye shule binafsi basi ni mwalimu. Wamiliki wa shule binafsi Tanzania ni watu wenye roho za ubinafsi sana wasio na huruma na watoto wa wenzao wao wanachojali ni pesa tu.Pongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza. Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi. Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
mwalimu analilia likizo ipunguzwe kwani anaona madhara yake...aina ya wanafunzi tulionao ni wakukumbushwa marakwamara wachache sana wanauwezo wa kusoma mara moja bila kurudia kwa muda mrefuPamoja na kuwa kuna walimu wanaojitambua ila ukweli ni kwamba walimu wengi ni vichwa maji
Kweli mtu unalilia likizo ipunguzwe?? badala ya kulilia mshahara na marupurupu??
Alie kuambua elimu ni kusoma.siku 366 kwa mwaka ni nani?Pongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza. Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi. Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
Wazazi wanao penda hili ni wale wanao kwepa.majukumuPongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza. Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi. Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
majukumu gani?,likizo ikiwa wiki mbili kunashida ganiWazazi wanao penda hili ni wale wanao kwepa.majukumu