saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Hizo hesabu zako umefanyafanyaje, Likizo hii waliyopo sahivi wanakaa wiki km 5 tu, hiyo ni siku km 35 tu. Mwezi wa 12 wakizidi sana ni wiki 6 ambayo ni siku 42, jumla siku 77, wiki 11 tu. Hizo siku 180 umezikokotoa vipi? Acheni upotoshaji na udanganyifu kwa maslahi yenuKupumzika kuwe na kiasi. Unafahamu kuwa mtoto akisoma siku 180 kwa mwaka maana yake anasoma nusu mwaka na nusu mwaka anapumzika? Uliona wapi mtu anapumzika nusu mwaka!!?
Mbona umepanic hivi mwalimu mwenye kujitambua kweli anaweza lalamika kwanini wanafunzi wanafunga shule wanaolalamika ni wale wanaopenda kukaaa shuleWewe huna akili unadhani Mwalimu ana mshahara ni mdogo ?? Kwa taarifa Mwalimu ana mshahara mzuri Sana kama hutaki acha
Toa mfano wa hizo nchiWatoto wa tz wanapumzika sana. Wanasoma siku chache sana kwa mwaka ukilinganisha na nchi zilizotuacha mbali kiuchumi.
AhahahMaskini mwalim hapo umekaa gheto radio huna TV huna na ulizoea kushinda shule, kula msosi wa wanafunzi wewe gheto nikulala tu haya sasa vimeumana jiko huna sufuria huna pesa ulishia kushona mashati ya vitenge na suruali na kununua viatu vizuri vizuri na kuangalia TV bar haya nenda bar sasa Acha watoto wapumzike
Vipi kuhusu issue ya kubadili mazingira kurudi kwao?
Naongea hivyo kwani mimi nlisoma shule hizi za bweni za serikali.
Na bahati mbaya hiko chakula chake mkuu.. Ziache hizo likizo tu mkuu, tena ikibidi hata ziongezwe.
Ni magereza yale
Tatizo la chakula litatuliwe la chakula. Wengine kwao hawali kabisa, afadhali shule wana uhakika wa kula.Vipi kuhusu issue ya kubadili mazingira kurudi kwao?
Naongea hivyo kwani mimi nlisoma shule hizi za bweni za serikali.
Na bahati mbaya hiko chakula chake mkuu.. Ziache hizo likizo tu mkuu, tena ikibidi hata ziongezwe.
Ni magereza yale
Angalia nchi zinazofanya vizuri kwenye elimu. Taiwan, Japan, Israeli na South Korea.Umelinganisha na nchi gani?
Unadhani hatuna ndg ambao watoto wanahitaji kuwatembelea na kujumuika kama njia ya kujenga upendo kwenye ukoo.
Hivi sister kwa akili yako ni sahihi mwanafunzi kutumka nusu mwaia kupumzika?unajua maana ya likizo we mwendawazimu? hata mfanyakazi ana likizo ya mwaka. We umesomea ualimu? km bado naomba uheshimu taaluma za watu. Mtoto anahitaji kupumzika, msiwatumie watoto wa watu kwa maslahi yenu nyie wenye roho za kishetani isiyo na huruma. We km siyo uko kwenye kundi la wenye shule binafsi basi ni mwalimu. Wamiliki wa shule binafsi Tanzania ni watu wenye roho za ubinafsi sana wasio na huruma na watoto wa wenzao wao wanachojali ni pesa tu.
Ukiangalia suala la watoto wadogo wa chini ya miaka kumi kukaa bweni ni ukatili na unyama, ni watu wasio na huruma wanajali biashara ya mabweni yao. Ni serikali tu ndio itamsaidia mwananchi wake, naomba serikali isimamie sheria, kanuni na miongozo mbalimbali ya sekta ya elimu kusaidia watu wake
Wewe kama mama mwenye watoto, unafikiri ni sawa kwa wanao kusoma siku 180 kwa mwaka na kupumzika zingine 180?Pamoja na kuwa kuna walimu wanaojitambua ila ukweli ni kwamba walimu wengi ni vichwa maji
Kweli mtu unalilia likizo ipunguzwe?? badala ya kulilia mshahara na marupurupu??
Juma mosi na jumapili siku 104 kwa mwaka. Bado likizo za mwezi wa tisa na tatu. Siku zote hizi mwanafunzi kapumzika.Hizo hesabu zako umefanyafanyaje, Likizo hii waliyopo sahivi wanakaa wiki km 5 tu, hiyo ni siku km 35 tu. Mwezi wa 12 wakizidi sana ni wiki 6 ambayo ni siku 42, jumla siku 77, wiki 11 tu. Hizo siku 180 umezikokotoa vipi? Acheni upotoshaji na udanganyifu kwa maslahi yenu
Kichwa cha familia hiki [emoji1787]
Si bure! Una matatizo katika uwezo wako wa kuchanganua mambo.Pongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza. Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi. Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
Ni kweli,Tatizo la chakula litatuliwe la chakula. Wengine kwao hawali kabisa, afadhali shule wana uhakika wa kula.
Nimemuelewa jamaa anajumlisha na weekendi zote, maana weekend hazisomwi pia.Hizo hesabu zako umefanyafanyaje, Likizo hii waliyopo sahivi wanakaa wiki km 5 tu, hiyo ni siku km 35 tu. Mwezi wa 12 wakizidi sana ni wiki 6 ambayo ni siku 42, jumla siku 77, wiki 11 tu. Hizo siku 180 umezikokotoa vipi? Acheni upotoshaji na udanganyifu kwa maslahi yenu
Ndugu sikubaliani nawe, naomba ufanye uchunguzi zaidi.Pongezi kwa shule zote zinazobakiza watoto kusoma wakati wa likizo. Kama nchi tunatakiwa kufurahia watoto wakisoma sana, wasome kadri wanavyoweza.
Tangazo la kuzuia watoto kubaki shuleni kusoma wakati wa likizo lina lengo gani hasa? Maana ukiangalia siku wanazosoma watoto wa Tanzania kwa mwaka ni chache sana ukilinganisha na nchi nyingi zilizoendelea.
Kwa nchi yetu ilivyo tulitakiwa kuongeza siku kama arobaini zingine kwenye mwaka wa masomo. Kuna faida nyingi sana za kusoma kwa siku nyingi.
Mwalimu hawi na mchecheto wa kumaliza silabasi na anafundisha kwa kasi ambayo hata wale watoto ambao ni wazito kuelewa wanapata muda mrefu wa kujifunza na kuelewa.
Kukataza hilo ni la kitoto na tufute likizo moja ndefu ili tuongeze siku za kusoma.
Points nyingi umeweka zina maana sana hapa. Lakini huoni kuwa kupumzika kwa miezi sita katika mwaka ni muda mrefu sana? Maana tafiti zimeonyesha kuwa kunauhusiano mkubwa wa kusoma muda mrefu na "Uelewa" na hata kufanikiwa kimasomo, kama kufika chuo.Ndugu sikubaliani nawe, naomba ufanye uchunguzi zaidi.
Nikupe taarifa:-
1. Education (learning) and schooling are two different things.
2. Kusoma muda mrefu au kuwa na vipindi vingi au masomo mengi au kukaa shule muda mrefu SIO ELIMU.
3. Kupumzika na kucheza kwa mwanafunzi ni muhimu kama ilivyo kusoma.
Likizo ni muhimu kwa wanafunzi na walimu pia.
4. Mitihani sio kigezo cha kupima Elimu wala ubora wa elimu. Kwa sasa watoto wanafundishwa kukariri na kujibu mitihani; hawapewi elimu wala kujenga ubunifu, maarifa na nidhamu.
5. Tanzania ni moja ya nchi zenye masomo mengi, vipindi vingi, mitihani mingi na kiwango cha chini cha elimu.
Kuna Rasimu Mpya ya Mitaala ya elimu itakayoanza mwakani, hiyo itajaribu kupunguza baadhi ya hizi kero.
Utafute huo mtaala uupitie zaidi.