Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,160
- 5,728
Kweli mkuu mwenyewe nilishangaa kuwaona mamba ziwani.Ziwa victoria la miaka ya hivi karibuni siyo lile la miaka ya 60 hadi 70 ambapo vijana walikuwa wanaweza kuogelea karibu siku yote. Miaka ya themanini ziwa lilianza kuharibika kwa uoto fulani likawa halifai kwa kuogelea tena na maji yake yakawa machafu kwa matumizi ya binadamu. Kuanzia miaka ya tisini mamba wakazagaa sana ziwani kutokana na serikali ya Uganda kuharibu makazi yao huko mto Nile wakahamia ziwani na kusambaa Afrika ya Mashariki yote. Kuna haja ya kuwadhibiti wasiendelee kuzaliana. Makazi ya asili ya Mamba huwa ni mitoni siyo ziwani.
Mimi nimekuwekea source hapo wewe madai yako hayana support yoyote huo ndio huwa nauita ubishi.
Nimeshindwa kuatouch ushahidi pia hapa, ila alligator kwa mamba ni mdogo sana na uaggressive pia mamba ni balaa whether you like it or not.Mimi nimekuwekea source hapo wewe madai yako hayana support yoyote huo ndio huwa nauita ubishi.
Tatizo wengi humu hao wanyama wanaishia kuwaona kwenye tv basi, mtu anamlinganisha mamba na alligator seriously??wewe jamaa hivi mamba ushawahi kukutana nae uso kwa uso?
Mamba mkubwa ana uzito wa kilogram 800 hadi 1000
Huku kwetu mwaka jana alimuua jamaa yetu wakaitwa wazee kutoka Ukerewe wakamuwekea mtego(kuna ndoano mahususi kwa ajili ya mamba) akanasa, aliliwa kata nzima
Ule mdude una nguvu mno
Mimi nakuwekea picha ya Alligator aliyeuwawa huko USANimeshindwa kuatouch ushahidi pia hapa, ila alligator kwa mamba ni mdogo sana na uaggressive pia mamba ni balaa whether you like it or not.
Jaguar hawezi lingana nguvu na Simba na haijawai kitokea, Lion is more powerful than Jaguar no weightclass mbili tofauti Jaguar anachomzidi Simba ni Agility, Flexibility na Aggressive but in raw strength Simba weight class ya Tiger.Nimesema leopard sio jaguar mkuu, hata jaguar hawezi kumla mamba am sure, jaguar na simba ni kama wanalingana nguvu hivi, the quiz is mbona simba hamli mamba? Pia usichukulie poa ngozi ya mamba mkuu.
Uko Sahihi kabisa, Jaguar yuko kwenye Grupu moja na Chui japo yeye ni mkubwa kidogo lakini hawezi kumfikia Simba Jike sembuse Simba Dume.Jaguar hawezi lingana nguvu na Simba na haijawai kitokea, Lion is more powerful than Jaguar no weightclass mbili tofauti Jaguar anachomzidi Simba ni Agility, Flexibility na Aggressive but in raw strength Simba weight class ya Tiger.
Kwenye Simba kutokuweza kishambulia mamba na Jaguar kiweza ni Aggressive ya Jaguar na Agility inamsaidia Jaguar.
Mkuu kwa Chatu kukung'ata hadi kujizungusha ni chini ya dakika tano tu.Chatu akijizungusha tu kwaheri
Ngufu ya Mamba imo Mmayi kumuchanga ni ya kuibhulula...πkula chuma hicho
Kuna wakati anakosea timing, kuna jamaa alikamatwa mguu mmoja pamoja kisiki cha mti, alitumia mguu uliobakia na panga kumjeruhi, alimuachia.πHiyo Story ina walakini Chatu akikuambush anakubana hata hiyo pumzi ya kumng'ata itatoka wapi?
Ni ndani ya sekunde tano unakuwa teyari umeshabanwa.
Roba ya moto kweli kweli hiyo.Hapa angalia King Cobra Bingwa mla Nyoka uroho wake akataka kumla Mtoto wa Chatu King Cobra anasumu kali alipomng'ata Chatu Chatu nae akamnyonga wote wakafa Chatu kafa kwa sumu na King Cobra akanyongwa hadi kufa.π
View attachment 2929436
King kapigwa Kabari ya nguvu papo hapoπ
Na huyo Chatu ni mdogo sana ogopa Chatu.
King Cobra hana hamu hahaha...Roba ya moto kweli kweli hiyo.
King Cobra ujanja wote kwisha
Cjasema unene n hizo data kama unavyoona, nimegoogle. Cku nyingine uckurupuke kucounter hoja, fanya tafiti kwanzaSimba ajamzidi ng'ombe kwa urefu na upana
Mbona unene umeandika wewe, kiujumla tu Simba ajamzidi kitu chochote Ng'ombe kinachogusa Body Size iwe urefu, upana, unene, ujazo, uzito nkCjasema unene n hizo data kama unavyoona, nimegoogle. Cku nyingine uckurupuke kucounter hoja, fanya tafiti kwanza
Chatu hana mbio na ukimuona jua umeokoka Chatu hatari ni yule ambae hujamuona na wewe umeungia kwa kwenye mtego wake wa ambush.hapo umekwisha hata kama una silaha.πππ pumbavu sasa ukimuona siunaondoka ulale ili iweje