Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Kati mamba, simba na chatu yupi mrahisi kuokoka tukikutana naye?

Ziwa victoria la miaka ya hivi karibuni siyo lile la miaka ya 60 hadi 70 ambapo vijana walikuwa wanaweza kuogelea karibu siku yote. Miaka ya themanini ziwa lilianza kuharibika kwa uoto fulani likawa halifai kwa kuogelea tena na maji yake yakawa machafu kwa matumizi ya binadamu. Kuanzia miaka ya tisini mamba wakazagaa sana ziwani kutokana na serikali ya Uganda kuharibu makazi yao huko mto Nile wakahamia ziwani na kusambaa Afrika ya Mashariki yote. Kuna haja ya kuwadhibiti wasiendelee kuzaliana. Makazi ya asili ya Mamba huwa ni mitoni siyo ziwani.
Kweli mkuu mwenyewe nilishangaa kuwaona mamba ziwani.
 
Huyu Chatu wa Kongo anaweza kummeza Mamba Nile Crocodile bila wasiwasi.
mqdefault.jpg
 
Mimi nimekuwekea source hapo wewe madai yako hayana support yoyote huo ndio huwa nauita ubishi.

Mimi nimekuwekea source hapo wewe madai yako hayana support yoyote huo ndio huwa nauita ubishi.
Nimeshindwa kuatouch ushahidi pia hapa, ila alligator kwa mamba ni mdogo sana na uaggressive pia mamba ni balaa whether you like it or not.
 
wewe jamaa hivi mamba ushawahi kukutana nae uso kwa uso?

Mamba mkubwa ana uzito wa kilogram 800 hadi 1000

Huku kwetu mwaka jana alimuua jamaa yetu wakaitwa wazee kutoka Ukerewe wakamuwekea mtego(kuna ndoano mahususi kwa ajili ya mamba) akanasa, aliliwa kata nzima

Ule mdude una nguvu mno
Tatizo wengi humu hao wanyama wanaishia kuwaona kwenye tv basi, mtu anamlinganisha mamba na alligator seriously??
 
Nimesema leopard sio jaguar mkuu, hata jaguar hawezi kumla mamba am sure, jaguar na simba ni kama wanalingana nguvu hivi, the quiz is mbona simba hamli mamba? Pia usichukulie poa ngozi ya mamba mkuu.
Jaguar hawezi lingana nguvu na Simba na haijawai kitokea, Lion is more powerful than Jaguar no weightclass mbili tofauti Jaguar anachomzidi Simba ni Agility, Flexibility na Aggressive but in raw strength Simba weight class ya Tiger.

Kwenye Simba kutokuweza kishambulia mamba na Jaguar kiweza ni Aggressive ya Jaguar na Agility inamsaidia Jaguar.
 
Jaguar hawezi lingana nguvu na Simba na haijawai kitokea, Lion is more powerful than Jaguar no weightclass mbili tofauti Jaguar anachomzidi Simba ni Agility, Flexibility na Aggressive but in raw strength Simba weight class ya Tiger.

Kwenye Simba kutokuweza kishambulia mamba na Jaguar kiweza ni Aggressive ya Jaguar na Agility inamsaidia Jaguar.
Uko Sahihi kabisa, Jaguar yuko kwenye Grupu moja na Chui japo yeye ni mkubwa kidogo lakini hawezi kumfikia Simba Jike sembuse Simba Dume.
 
😁Hiyo Story ina walakini Chatu akikuambush anakubana hata hiyo pumzi ya kumng'ata itatoka wapi?

Ni ndani ya sekunde tano unakuwa teyari umeshabanwa.
Kuna wakati anakosea timing, kuna jamaa alikamatwa mguu mmoja pamoja kisiki cha mti, alitumia mguu uliobakia na panga kumjeruhi, alimuachia.
 
Hapa angalia King Cobra Bingwa mla Nyoka uroho wake akataka kumla Mtoto wa Chatu King Cobra anasumu kali alipomng'ata Chatu Chatu nae akamnyonga wote wakafa Chatu kafa kwa sumu na King Cobra akanyongwa hadi kufa.👇
View attachment 2929436
King kapigwa Kabari ya nguvu papo hapo😁

Na huyo Chatu ni mdogo sana ogopa Chatu.
Roba ya moto kweli kweli hiyo.
King Cobra ujanja wote kwisha
 
Cjasema unene n hizo data kama unavyoona, nimegoogle. Cku nyingine uckurupuke kucounter hoja, fanya tafiti kwanza
Mbona unene umeandika wewe, kiujumla tu Simba ajamzidi kitu chochote Ng'ombe kinachogusa Body Size iwe urefu, upana, unene, ujazo, uzito nk
 
CHATU halafu wa pili Simba na Mamba ni wa mwisho.
 
😂😂😂 pumbavu sasa ukimuona siunaondoka ulale ili iweje
Chatu hana mbio na ukimuona jua umeokoka Chatu hatari ni yule ambae hujamuona na wewe umeungia kwa kwenye mtego wake wa ambush.hapo umekwisha hata kama una silaha.
 
Back
Top Bottom