Kati ya aliyempa Zawadi ya Jezi Balozi wa Uingereza yenye Jina lake na lenye Cheo chake nani ana Akili na nani hana Akili?

Kati ya aliyempa Zawadi ya Jezi Balozi wa Uingereza yenye Jina lake na lenye Cheo chake nani ana Akili na nani hana Akili?

Kwa maendeleo ya michezo nchini, je kuna chochote Balozi kahaidi kwa vilabu hivyo vikongwe mathalani mabadilishano ya wachezaji yosso au mafunzo kwenye shule za mpira?
 
Hongereni sana Uongozi wa Simba SC kwa Kumbeshimisha Mheshimiwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bw. David Concar kwa Kumzawadia Zawadi ya Jezi yenye Jina lake kwa nyuma.

Poleni sana kwa Wengine kwa kuendelea kuwa Washamba kwa Kumzawadia Mheshimiwa Balozi huyo wa Uingereza Jezi yenye Jina ( Cheo cha Balozi ) kwa nyuma.

Ni Akili ya Kawaida tu ukitaka Kumheshimisha Mtu yoyote ( na hii ni psychologically proved ) ni kwamba ukilitaja Jina lake au Kuliandika anafurahi zaidi.

Sasa unampa Zawadi ya Jezi Balozi wa Uingereza nchini Tanzania yenye Cheo chake cha BALOZI umeambiwa Balozi David Concar atakuwa Balozi wa Uingereza hapa nchini Tanzania Milele? Je, akija Balozi mpya bado Klabu yenu itakuwa imemheshimisha Balozi huyu wa sasa Bw. David Concar aliyewatembeleeni tu kwa bahati mbaya na kutoa Lawama kuwa ana Upendeleo kwani ukweli ni kwamba Klabu iliyokuwa ipo katika Schedule yake ya kuitembelea ni ya Simba SC iliyo ya 7 kwa Ubora Afrika, iliyotoka Kushiriki Michuano mikubwa Barani Afrika ( ya AFL ) na siyo ile ya 18 kwa Ubora Afrika na iliyokosa kuingia Makundi ya CAFCL kwa miaka 25 ( tokea mwaka 1998 )

Kidogo mngeandika Balozi Concar ningewaona mna Akili ila kwa Kuandika tu Cheo cha BALOZI katika Jezi ni kuonyesha kuwa hampo vizuri kwa Mambo makubwa makubwa, ya Kimataifa na yanayohitaji Akili Kubwa na Exposure ili kuweza Kuyakabili.

Hongereni sana Viongozi wa Chama langu Simba SC kwa kuonyesha Utaalam, Ubobezi na Uweledi katika Mambo ya Kimataifa ( Diplomasia ikiwemo ) na GENTAMYCINE sikushangaa nilipoona mkimkabidhi Zawadi ya Jezi Mheshimiwa Balozi yenye Jina lake Mgongoni la David Concar ALIFURAHI mno na kule Kwingineko walipomzawadia Jezi yao ( Dawa ya Mbu ) yenye Cheo chake cha BALOZI kwa nyuma aliipokea huku akiwa AMENUNA huku Mshamba Mmoja aliyekuwa pembeni yake akiwa anacheka akidhani yuko Kwao Hergeisa na Mogadishu.
Hivi kule mkoani "Musoma" kuna bangi?
 
Kwa upande wangu yanga wamewin sana,ebu fikiria msimu unapoisha jezi mpya utengenezwa,je huyo Balozi ataendelea kuvaa jezi za msimu uliopita??
Picha utundikwa ukutani,ndo maana ukiingia ofisi mbalimbali hapa Tanzania utakuta picha za maraisi wastaafu,hiyo yote ni kuonyesha heshima kwao.
Kwa walichokifanya yanga ni kikubwa zaidi ya simba,jezi imetengenezewa fremu vinzuri na ikitundikwa ofisini kila atakayeingia ataitazama na kujiuliza huyu ni nani??
Ile jezi itaendelea kudumu ofisini.
Hiyo ya simba ataivaa mwisho wa siku ataichoka,je kama apendi rangi nyekundu??
Tumeona viongozi wote waliopewa jezi za timu huwa hawazivaagi.

Big up uongozi wa yanga umeonyesha akili sana.
 
Kwenye klabu bora ya mwaka simba umeiona hapo??
20231101_111104.jpg
 
Hongereni sana Uongozi wa Simba SC kwa Kumbeshimisha Mheshimiwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bw. David Concar kwa Kumzawadia Zawadi ya Jezi yenye Jina lake kwa nyuma.

Poleni sana kwa Wengine kwa kuendelea kuwa Washamba kwa Kumzawadia Mheshimiwa Balozi huyo wa Uingereza Jezi yenye Jina ( Cheo cha Balozi ) kwa nyuma.

Ni Akili ya Kawaida tu ukitaka Kumheshimisha Mtu yoyote ( na hii ni psychologically proved ) ni kwamba ukilitaja Jina lake au Kuliandika anafurahi zaidi.

Sasa unampa Zawadi ya Jezi Balozi wa Uingereza nchini Tanzania yenye Cheo chake cha BALOZI umeambiwa Balozi David Concar atakuwa Balozi wa Uingereza hapa nchini Tanzania Milele? Je, akija Balozi mpya bado Klabu yenu itakuwa imemheshimisha Balozi huyu wa sasa Bw. David Concar aliyewatembeleeni tu kwa bahati mbaya na kutoa Lawama kuwa ana Upendeleo kwani ukweli ni kwamba Klabu iliyokuwa ipo katika Schedule yake ya kuitembelea ni ya Simba SC iliyo ya 7 kwa Ubora Afrika, iliyotoka Kushiriki Michuano mikubwa Barani Afrika ( ya AFL ) na siyo ile ya 18 kwa Ubora Afrika na iliyokosa kuingia Makundi ya CAFCL kwa miaka 25 ( tokea mwaka 1998 )

Kidogo mngeandika Balozi Concar ningewaona mna Akili ila kwa Kuandika tu Cheo cha BALOZI katika Jezi ni kuonyesha kuwa hampo vizuri kwa Mambo makubwa makubwa, ya Kimataifa na yanayohitaji Akili Kubwa na Exposure ili kuweza Kuyakabili.

Hongereni sana Viongozi wa Chama langu Simba SC kwa kuonyesha Utaalam, Ubobezi na Uweledi katika Mambo ya Kimataifa ( Diplomasia ikiwemo ) na GENTAMYCINE sikushangaa nilipoona mkimkabidhi Zawadi ya Jezi Mheshimiwa Balozi yenye Jina lake Mgongoni la David Concar ALIFURAHI mno na kule Kwingineko walipomzawadia Jezi yao ( Dawa ya Mbu ) yenye Cheo chake cha BALOZI kwa nyuma aliipokea huku akiwa AMENUNA huku Mshamba Mmoja aliyekuwa pembeni yake akiwa anacheka akidhani yuko Kwao Hergeisa na Mogadishu.
 
Kwa ujio huu wa Balozi Naiona simba inaenda kupata fungu zito la kumalizia uwanja wa Mo simba Arena.. ni muda tu
Kwani ile michango yetu ambayo ilianza baada ya babra kuzuiwa kuingia uwanjani iliishia wapi mpaka tumtegemee balozi?
 
Kimbembe pale balozi alipoomba aone na kushika makombe, kati ya hizi timu mbili Kuna moja kiliumana!
 
Hongereni sana Uongozi wa Simba SC kwa Kumbeshimisha Mheshimiwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bw. David Concar kwa Kumzawadia Zawadi ya Jezi yenye Jina lake kwa nyuma.

Poleni sana kwa Wengine kwa kuendelea kuwa Washamba kwa Kumzawadia Mheshimiwa Balozi huyo wa Uingereza Jezi yenye Jina ( Cheo cha Balozi ) kwa nyuma.

Ni Akili ya Kawaida tu ukitaka Kumheshimisha Mtu yoyote ( na hii ni psychologically proved ) ni kwamba ukilitaja Jina lake au Kuliandika anafurahi zaidi.

Sasa unampa Zawadi ya Jezi Balozi wa Uingereza nchini Tanzania yenye Cheo chake cha BALOZI umeambiwa Balozi David Concar atakuwa Balozi wa Uingereza hapa nchini Tanzania Milele? Je, akija Balozi mpya bado Klabu yenu itakuwa imemheshimisha Balozi huyu wa sasa Bw. David Concar aliyewatembeleeni tu kwa bahati mbaya na kutoa Lawama kuwa ana Upendeleo kwani ukweli ni kwamba Klabu iliyokuwa ipo katika Schedule yake ya kuitembelea ni ya Simba SC iliyo ya 7 kwa Ubora Afrika, iliyotoka Kushiriki Michuano mikubwa Barani Afrika ( ya AFL ) na siyo ile ya 18 kwa Ubora Afrika na iliyokosa kuingia Makundi ya CAFCL kwa miaka 25 ( tokea mwaka 1998 )

Kidogo mngeandika Balozi Concar ningewaona mna Akili ila kwa Kuandika tu Cheo cha BALOZI katika Jezi ni kuonyesha kuwa hampo vizuri kwa Mambo makubwa makubwa, ya Kimataifa na yanayohitaji Akili Kubwa na Exposure ili kuweza Kuyakabili.

Hongereni sana Viongozi wa Chama langu Simba SC kwa kuonyesha Utaalam, Ubobezi na Uweledi katika Mambo ya Kimataifa ( Diplomasia ikiwemo ) na GENTAMYCINE sikushangaa nilipoona mkimkabidhi Zawadi ya Jezi Mheshimiwa Balozi yenye Jina lake Mgongoni la David Concar ALIFURAHI mno na kule Kwingineko walipomzawadia Jezi yao ( Dawa ya Mbu ) yenye Cheo chake cha BALOZI kwa nyuma aliipokea huku akiwa AMENUNA huku Mshamba Mmoja aliyekuwa pembeni yake akiwa anacheka akidhani yuko Kwao Hergeisa na Mogadishu.
Yote ni sawa tu.

Wacha unazi wa kijinga.

January Makamba na mama Samia Suluhu wapewe mauwa yao kwa hii diplomasia.

Binafsi Waingereza siwaamini kwa unafiki wao.

Lazima tujiulize, kuna kheri au shari nyuma ya pazia mpaka leo Waingereza wafanye hivyo?
 
Yote ni sawa tu.

Wacha unazi wa kijinga.

January Makamba na mama Samia Suluhu wapewe mauwa yao kwa hii diplomasia.

Binafsi Waingereza siwaamini kwa unafiki wao.

Lazima tujiulize, kuna kheri au shari nyuma ya pazia mpaka leo Waingereza wafanye hivyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yote ni sawa tu.

Wacha unazi wa kijinga.

January Makamba na mama Samia Suluhu wapewe mauwa yao kwa hii diplomasia.

Binafsi Waingereza siwaamini kwa unafiki wao.

Lazima tujiulize, kuna kheri au shari nyuma ya pazia mpaka leo Waingereza wafanye hivyo?
Ume anza udini wako wewe mzee
 
Genta saa zingine akili yako hua inaamia tumboni au ma.kalioni? Mbona hua unakuja na threads za kipumbavu sana we mzee? Hao askari huko kawe afadhari wangekuua tuu mana hujielewi.
 
Nasikia bado upo hospitali tangu mjeda akupe mitama
 
Genta saa zingine akili yako hua inaamia tumboni au ma.kalioni? Mbona hua unakuja na threads za kipumbavu sana we mzee? Hao askari huko kawe afadhari wangekuua tuu mana hujielewi.
Ilibaki kidogo tu si alilazwa huyu
 
Back
Top Bottom