Kati ya Burhani na Hemeti nani ashinde Sudan

Sudan ipo toka lini na hao janjaweed wapo toka lini?

Hio zone inaubaguzi sio kwa wasudan pekee mpaka south Sudan ubaguz ni mkubwa, somalia,mpka kenya ubaguz wa kikabila ni mkubwa.

Okay wametengana ni kitu gan south sudan wamepata zaid ya migogoro ya wao kwa wao. DIVIDE AND RULE

Akuna sehem sudan ilipendelewa zote ni za hovyo. Khartoum imeizid mwanza barabara na mpangilio wa mitaa tu zaid ya hapo haina Kifua mbele ya mwanza.

Nchi za kiarabu zinaujinga mwingi nimeishi kule najua. Sishangai kwanin mitume weng walitoka nchi za kiarabu.
 
Unaushahid waarabu walikua madalali
 
Sio madalali tu, walikuwa wanachukua watumwa wenyewe kwa kuanzia na kitovu cha biashara yao kwa Africa Mashariki kilikuwa Bagamoyo na Zanzibar.
Warabu wamekuja karne ya 17 wazungu karne ya 18 ila zao la mtu mweusi linaonekan nchi za ulaya kuliko arab,unasema warab ndo walibeba watumwa. Em tuelewesh kwa ushahid.
 
UISLAM USIKUTIE UZEZETA HATUPO HAPA KUSIFIA MTU

The Indian Ocean slave trade, sometimes known as the East African slave trade or Arab slave trade, was multi-directional slave trade and has changed over time. Africans were sent as slaves to the Middle East, to Indian Ocean islands (including Madagascar), to the Indian subcontinent, and later to the Americas.[1][2]
 
Warabu wamekuja karne ya 17 wazungu karne ya 18 ila zao la mtu mweusi linaonekan nchi za ulaya kuliko arab,unasema warab ndo walibeba watumwa. Em tuelewesh kwa ushahid.
kwahiyo walikuwa wanawalipa ela wale vibarua wa mashamba ya karafuu kule zenji ? au unahisi wale wazenji weusi walikiwepo pale tangu awali ?

The East African slave trade flourished greatly from the second half of the nineteenth century when Said bin Sultan, an Oman Sultan, made Zanzibar his capital and expanded international commercial activities and plantation economy in cloves and coconuts. During this period demands for slaves grew drastically. The slaves were needed for local use mainly to work in plantations in Zanzibar and for export. Sultan Seyyid (seyyid is an Arabic title for Lord) Said made deliberate efforts to "revive old Arab-caravan trade" with mainland Africa which became major source of slaves.[
 
Unaushahid waarabu walikua madalali
MIAFRIKA NI MIJINGA SANA DAMU ZA BABU ZENU ZINAWAANGALIA TUMESLIMISHWA SASA HV MNAWATETA MADHARIMU

The East African slave trade flourished greatly from the second half of the nineteenth century when Said bin Sultan, an Oman Sultan, made Zanzibar his capital and expanded international commercial activities and plantation economy in cloves and coconuts. During this period demands for slaves grew drastically. The slaves were needed for local use mainly to work in plantations in Zanzibar and for export. Sultan Seyyid (seyyid is an Arabic title for Lord) Said made deliberate efforts to "revive old Arab-caravan trade" with mainland Africa which became major source of slaves.[
 
Ukosefu wa madini ya fedha hupelekea hasira za mara kwa mara
 
Sayyid Said kama ulivyosema hapo alikuwa mfanyabiashara na mkulima,Watu wa wakati ule walikuwa wanafanya kazi na kulipwa ujira wao kwa hali za wakati ule.Ni kama ilivyo sasa wafanyakazi wa serikalini na makampuni wanalipwa shilingi za kitanzania na kila siku wanasema hazitoshi.Jee wote ni watumwa hawa. Kutumia neno utumwa huwa ni uchafuzi wa historia na umeanza kwa wazungu kuwapakazia wengine kwa uovu walioufanya wao.
Kama tungezungumzia utumwa Kati ya dalali na tajiri katika biashara nani wa kulaumiwa.Tajiri wa biashara ya utumwa walikuwa akina John na wazungu wengine tena kwa jina la ukristo.Kama waarabu walishiriki hatua yoyote ile ilikuwa ni wale wa njaa jaa na hawakufanya kwa kuitaja dini yao ya uislamu kwa Uislamu unapinga utumwa.
Uchochezi na fitna za wazungu zimefanikiwa sana kutia watu mawazo na uadui mpaka wanapigana na kutengana kama walivyofanya huko Sudan.
 
Akina Marehemu Garang walikuwa hawajui wanachokipigania, sio ndio unachotaka kuaminisha watu hapa!?
 
hiyo nchi inatakiwa imegwe. kwanza ni kubwa mno na wamewaonea sana wabantu kwa njia ya janjaweed.
 
Hiki kitu umeandika hata mim naweza andika baada ya miaka history ikasema wazungu ndo walikua watumwa. Nimekuuliza Europe kuna france full of blacks. North America kuna USA full of black walifikaje kule? Nchi gani ya kiarabu inablack nifahamishe
 
Watu ni wajinga hii nchi sishangai unachosema. You can't even reasoning a bit.Waarab walikuja kuishi sio kuvuna rasilimimali look zanzibar, tabora, singida na mikoa yote waarabu ni weng ushawai ona jamii ya wazungu Tanzania?

Africa mkijitia kutomjua adui yenu sahih ni nan mafanikio mtayaona kweny TV.Nioneshe Arab country yenye full of blacks kama France na nchi nyingine za ulaya.Ushaona blacks urusi ama ni pabaya. Nchi zote zeny resource angalia kama kuna blacks weng. Arab na asia countries zinafull of resources kaangalie kama kuna blacks weng kule zaid ya wahamiaji. Look at Europe countries blacks walivyojaa,waarabu wapo toka karne ya 17 na karne ya 17 mwishon 18 mwanzon yalipotokea mapinduz ya viwanda ndo ilipoanza sabab ya utumwa. Europe hakuna more resources waliamua kuja Africa for resources na labour. Eti prince henry Portugal navigator kweny 15th century ndo aligundua Africa [emoji23] mansa mussa died at 13th century na alikua tajir na elimu kubwa by then Africa kulikua na utajir na elimu kwa waafrica.

Karne ya 18 kweny mapinduz ya viwanda ulaya ndo kipind utumwa ulishika kasi WHY?

KASOMEN TRANSATLANTIC SLAVE TRADE ALAF MJE NA MAJIBU YA EUROPE KWANIN MANIGA NI WENGI KULIKO BAADHI YA NCHI ZA AFRICA KAMA TUNISIA, LIBYA NA MOROCCO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…