Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Laana ya waalimu imekutandika vibaya ulipoangukia utakua hucheki wala kuruka mtaro.
Ukithubutu tu kufanya hivyo vitu vya kucheka ama kuruka mtaro yanatoka kama umekula mayai ya samaki..
 
hata msimshangae maana kama anatamani angekuwa mwanamke ili apigwe pipe kusifia vifua vya wanaume ni jambo dogo sana kwake.
 
Mkuu hivi wewe ni shoga?, Mbona kama nyuzi zako huwa sikuelewi, unaanzaje kutamani kifua cha mwanaume mwenzako. Aaakhrrrr unakera bana
 
Mkuu hivi wewe ni shoga?, Mbona kama nyuzi zako huwa sikuelewi, unaanzaje kutamani kifua cha mwanaume mwenzako. Aaakhrrrr unakera bana
Wapi nimetamani kaka umesoma uzi wote au umekuja mazima kunipa majungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…