Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Wengi ni chokest tu labda apate dili la kwenda mission za UN ama awe senior officer.
Nadhani hata kwao kuna vitengo.
Mfano luteni mwalimu Makongo na luteni aliye kikosi cha anga au muhasibu sidhani kwenye posho kama watakuwa sawa
 
Wengi ni chokest tu labda apate dili la kwenda mission za UN ama awe senior officer.
Mkuu usilolijua ni usiku wa giza, tofauti hata na misheni kuna NCO's na wateule wanapiga 3mil had i 4mil pia maafisa wadogo wanapiga mpunga mrefu tu, koplo wanapiga hadi 2mil, narudia tena jambo usilolijua ni usiku wa giza
 
Nadhani hata kwao kuna vitengo.
Mfano luteni mwalimu Makongo na luteni aliye kikosi cha anga au muhasibu sidhani kwenye posho kama watakuwa sawa
kuna allowance tofauti kulingana na vikosi na command, vikosi vya mizinga au komando trade yao ni tofauti na jkt, navy ni tofauti na air force watu wengi wanadhani askari wakiwa na cheo kimoja wanalingana mshahara, kuna trade tofauti kulingana na vikosi, pia kuna professionals,
 
kuna allowance tofauti kulingana na vikosi na command, vikosi vya mizinga au komando trade yao ni tofauti na jkt, navy ni tofauti na air force watu wengi wanadhani askari wakiwa na cheo kimoja wanalingana mshahara, kuna trade tofauti kulingana na vikosi, pia kuna professionals,
Pamoja sana.
Kaka yangu mkubwa/first born ni major sio haba
 
Umri kazini na elimu pia inaangaliwa
Mkuu usilolijua ni usiku wa giza, tofauti hata na misheni kuna NCO's na wateule wanapiga 3mil had i 4mil pia maafisa wadogo wanapiga mpunga mrefu tu, koplo wanapiga hadi 2mil, narudia tena jambo usilolijua ni usiku wa giza
 
Wadanganye wasio fahamu wewe.

Sasa unazungumzia wateule(warrant officers) ambao wengi ni wazee waliofanya kazi si chini ya 25 yrs? Hujui kwamba hao maofisa wateule wako wachache na nieatumishi wa muda mrefu?

Narudia jwtz wanaokula bata ni officers tu, hao wengine pay ya kawaidatu ukiondoa marupurupu ya waliopata bahati ya kwenda UN missions na ndio maana wengi tunabanana kwenye ist tu.

Achana na mziki wa TCRA, TRA, TPDC and the like.

Mkuu usilolijua ni usiku wa giza, tofauti hata na misheni kuna NCO's na wateule wanapiga 3mil had i 4mil pia maafisa wadogo wanapiga mpunga mrefu tu, koplo wanapiga hadi 2mil, narudia tena jambo usilolijua ni usiku wa giza
 
kuna allowance tofauti kulingana na vikosi na command, vikosi vya mizinga au komando trade yao ni tofauti na jkt, navy ni tofauti na air force watu wengi wanadhani askari wakiwa na cheo kimoja wanalingana mshahara, kuna trade tofauti kulingana na vikosi, pia kuna professionals,
Mshahara ni mmoja posho ni tofauti weka hivyo.
 
Hii ni kweli kabisa 100% yaani umeandika exactly hadi chenchi
Kuna jamaa alikuwa askari magereza akapata kazi kwenye taasisi moja ya umma kama security officer. Siku anapewa mkataba salary yake ilikuwa 2.2 millions. Believe me or not jamaa anatetemeka kwa furaha.
Tena nafikiri wakati anarudi njia nzima alikuwa anamsifu Mungu kwa ukuu wake.
 
Kuna jamaa alikuwa askari magereza akapata kazi kwenye taasisi moja ya umma kama security officer. Siku anapewa mkataba salary yake ilikuwa 2.2 millions. Believe me or not jamaa anatetemeka kwa furaha.
Tena nafikiri wakati anarudi njia nzima alikuwa anamsifu Mungu kwa ukuu wake.
Sijaelewa...Magereza sio taasisi ya Umma au
 
Back
Top Bottom