- Thread starter
- #221
Ajira za umma kunaSijaelewa...Magereza sio taasisi ya Umma au
1. Wizara
2. Halmashauri
3. Jeshi, polisi, magereza, uhamiaji
4. Wakala
5. Mamlaka
7. Taasisi
8. Shirika
9. Tume
Nakadhalika
Magereza sio taasisi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajira za umma kunaSijaelewa...Magereza sio taasisi ya Umma au
taasis gn mkuuKuna taasisi ya serikali degree anaanza na 2,340,000/-
Name it tukajaribu bahati zetu mkuuKuna taasisi ya serikali degree anaanza na 2,340,000/-
Comment yako ndio imemaliza haya yote.Mwamba ni mfanyabiashara mplipa kodi tu, ndiye anayewalisha hao wote 6.
NEC hii ya Mahera au NEMC ya mazingira?Nimeona hata NEC na NBS Nao wako vizuri
Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.
4. TPA
Tanzania Port Authority.
5. TRA
Tanzania Revenue Authority.
6. TANAPA
Tanzania National Park
Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
TFS wana mishaara kama wafanyakazi wa hamshauri ila sasa mna magap hatari. Watu mnajigawia plot za miti na magap mengine kibao. Vilevile mko kwenye mchakato wa kuwa shirika la umma kama hao wengine tajwa hapo juu hivyo mishaara itakuwa mikubwa hapo ndo mtawapoteza kabisa.Endeleeni kudharau tfs kuna watu wanapiga mipunga balaa
Hiyo hiyo NEC ya Mahera na Kaijage mkuuNEC hii ya Mahera au NEMC ya mazingira?
Hao mpaka waende kulinda amani ndo wanakuja na mkwanja wa maana ndo maana hadi wanaenda hadi kwa waganga kupata hizo gap.Jwtz umewasahau
Ni magap ya wizi wa miti na rushwa ila mishaara yao ni TGTS kama wa halmashauri lakini wako kwenye mchakato wa kuwa shirika la umma hivyo salary scale zitabadilika kuwa kama hao wengine.Hahahaa! Wazee wa misitu.
Hawa wako vizuri au ni kwamba tu wana safari nyingi?
CWT nao ni noma aisee.CWT? [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umenichekesha kishenziShida wengi wanaojadili hawajawahi kupitia hizi taasisi. Hali ni Mbaya. Kama TANAPA ndio usiseme, watu wa hazina wanacheka tu wakiona hii mada.
Ondoa namba 2 & 3 hazitakiwi kuwa hapo1. STATE HOUSE
2. TISS
3. TPDF
4. BOT
5. TRA
6. PCCB
7. TPA
Asubuhi njema Ndugu.
Kuuza miti pamoja na safari za researchTFS wana mishaara kama wafanyakazi wa hamshauri ila sasa mna magap hatari. Watu mnajigawia plot za miti na magap mengine kibao. Vilevile mko kwenye mchakato wa kuwa shirika la umma kama hao wengine tajwa hapo juu hivyo mishaara itakuwa mikubwa hapo ndo mtawapoteza kabisa.
Dah....nasikia kuna maHG wanapiga hadi 15m per month ....nimesikia tu [emoji2960]Hapana, mi ni housegirl tyuuh
Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.
2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.
3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.
4. TPA
Tanzania Port Authority.
5. TRA
Tanzania Revenue Authority.
6. TANAPA
Tanzania National Park
Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.