jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kwa hiyo hata akiwa Msukuma ataonekana wa mjini?
Vijana wa mikoani mna shida sana. Mnapenda kuonekana wa mjini.
Pia atangoa pisi kali za twn,sunajua watoto wazuri wapo kinondoni na sinza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hata akiwa Msukuma ataonekana wa mjini?
Vijana wa mikoani mna shida sana. Mnapenda kuonekana wa mjini.
Makahaba Kila sehemu yapo. Ni pesa Yako na Simu yakoPia atangoa pisi kali za twn,sunajua watoto wazuri wapo kinondoni na sinza.
Makahaba Kila sehemu yapo. Ni pesa Yako na Simu yako
hiyo kimara nyumba zipo mbali sana na main road alafu vilima vya kwendaKimara/ubungo ni best option, unapata nyumba mpya na bei nafuu hasa kimara
Mkuu usukuma umeingia vipi tena hapo?😁Kwa hiyo hata akiwa Msukuma ataonekana wa mjini?
Vijana wa mikoani mna shida sana. Mnapenda kuonekana wa mjini.
😂😂.... Watani zangu hao.Mkuu usukuma umeingia vipi tena hapo?😁
Maximum ni dakika ngapi hadi main roadhiyo kimara nyumba zipo mbali sana na main road alafu vilima vya kwenda
kuna road alaf kuna main road, kwa bajeti ya laki chumba atapata mbali sana na main road na itamlazimu kupanda bajaji hadi njia kuu ili apande mwendokasi lakini kama atakaa kigamboni nyumba zipo nzuri tu hasa kwa kipindi wanafunzi wa vyuo wanafunga, bajaji adi ferry akivuka anatembea kwa mguu hadi posta.Maximum ni dakika ngapi hadi main road
Ndio maana nyumba za laki matangazo ni mengi Kumbe kuna mwendokuna road alaf kuna main road, kwa bajeti ya laki chumba atapata mbali sana na main road na itamlazimu kupanda bajaji hadi njia kuu ili apande mwendokasi lakini kama atakaa kigamboni nyumba zipo nzuri tu hasa kwa kipindi wanafunzi wa vyuo wanafunga, bajaji adi ferry akivuka anatembea kwa mguu hadi posta.
jichanganye uone, nyumba za kimara nyingi ni mpya na nzuri ila changamoto kubwa n umbali. Kwenye dakika 15 alizosema dalali ongeza zako 15Ndio maana nyumba za laki matangazo ni mengi Kumbe kuna mwendo
🤣🤣🤣Inabid afanye survey kwanzajichanganye uone, nyumba za kimara nyingi ni mpya na nzuri ila changamoto kubwa n umbali. Kwenye dakika 15 alizosema dalali ongeza zako 15
na kwa bahati mbaya siku ya kwanza njia huwa ni fupi ila ukishahamia inakuwa umbali mrefu.🤣🤣🤣Inabid afanye survey kwanza
Why, wanakupumbaza akili au nini??na kwa bahati mbaya siku ya kwanza njia huwa ni fupi ila ukishahamia inakuwa umbali mrefu.
sielewi huwa ni nn hasa kwa nyumba za mbali na barabaraWhy, wanakupumbaza akili au nini??
Hii siyo bure labda Aposto anaweza kujua zaidsielewi huwa ni nn hasa kwa nyumba za mbali na barabara
aposto aliishi kimara?Hii siyo bure labda Aposto anaweza kujua zaid
Hapana sifahama, ila experience yake kwenye haya mambo inaweza saidiaaposto aliishi kimara?
mkuu Analyse tusaidie hukuHapana sifahama, ila experience yake kwenye haya mambo inaweza saidia
Kimara