Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimara shida ni Usafiri, Kigamboni shida ni Uhalifu na Kinondoni utaambukizwa Uvivu na kupenda Starehe.Habari za mida hii wakuu
Poleni na Majukumu,
Poleni pia na maswaibu ya DPworld
Nimepata kibarua maeneo ya Posta.
Kwa sasa ninaishi Kibaha.
Hivyo nataka nihamie sehemu ambayo nitapunguza gharama ya usafiri na muda wa kusafiri.
Maeneo ambayo nashawishiwa ni Kimara, Kigamboni na Kinondoni.
Kati ya sehemu hizi ni wapi patakuwa bora zaidi.
Ukizingatia
Gharama ya chumba( <100K/month)
Usalama.
Urahisi wa kufika eneo la kazi(posta)
Hali ya hewa(joto).
Asanteni.
AbaMukulu Accumen Mo adden Aelknes Africa Yangu Aaliyyah Half american
Mabula Msirikale Mwachiluwi Saint Anne @Mwifa National Anthem Mzee wa kupambania mzabzab rikiboy
mshamba_hachekwi @
tafuta visiwani au mji mwema ila kama utaweza maisha ya kiswazi tafuta na tungi& vijibweniNimepacheki ni mbali
Omba usichelewe kuamka afu unatakiw uwahi kazin utaomba poo tulize tulisoma ifm afu una pepa ndo utajua kigambon ya wanafunz panton inajaa kama tenga la nyanyaNimepacheki ni mbali
Duuh, kwhy mkuu kimara vyumba bei nafuu kuliko kigamboni.Omba usichelewe kuamka afu unatakiw uwahi kazin utaomba poo tulize tulisoma ifm afu una pepa ndo utajua kigambon ya wanafunz panton inajaa kama tenga la nyanya
Kinondoni-kuna mwendokasi zisipokuwepo kuna daladala
Kimara bei rahisi lakini usafiri asubuhi na jioni ni tabu
bajaji huwa zipo saa 5 mbona n mapema sanaHivi huku daladala mwisho saa ngp? Maana kuna muda natoka kazini saa tano usiku.
Kuna mashoga wa kumwaga na madada poa poa, halafu joto kali, na pamebanana sana.Nisaidie kwa nn kinondoni.
Tatizo kinondoni bei yao iko juu ya bajeti yangu.Njoo kinondoni mkuu.huku akili yako itafunguka mkuu.huko kwengine akili yako italemaa.pia kinondoni ni rahisi kufika hapo poster mzee yaani usafiri bwelele ukitaka boda ukitaka mwendokasi ukitaka daladala wewe tu.halafu utaepukana na kuamka saa kumi na moja kuwahi usafiri...kinondoni ndio daslamaa ipo centa ya kotee
Fursa imewekwa mezani waitumiege🤣Niko single mkuu.
Sumewaambia upo single mzee au 🤣Fursa ya nn tena.
Tatizo kinondoni bei yao iko juu ya bajeti yangu.
Master room ndogo 150K.
Hujaongea vzr na madalali mkuu.mimi hiyo pesa yako nalipa chumba na sebure..full tiles n gypsam.madalali wa huku wakiona wakujaa wanakutafuna kwelikweliiTatizo kinondoni bei yao iko juu ya bajeti yangu.
Master room ndogo 150K.