Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwasi wangu kinondoni bei itanikwamisha.
Wasiwasi wangu kinondoni bei itanikwamisha.
KweliNenda kigamboni hutajutia maamuzi yako. Changamoto kubwa ni lile panton pale ferry. Ukiachana na changamoto za panton vigezo vyako ulivyoainisha utakutana navyo huko.
Hakuna shida na ferry siku hizi. Gharama ya chumba ni cheap kwa 100k unapata vyumba viwili vizuri kwenye maeneo tulivu. Usafiri wa daladala hata kama utaishi Geza au Kibada bado ni elfu kwa siku na husubiri kituoni zaaidi ya dakika 10, hakuna foleni barabarani. Hakuna joto wala mbanano. Karibu Kigamboni hakuna vibakafuata ushauri huu ila jiandae ferry ndio kipengele
Lakini husubiri zaidi ya dakika 15. Kumbuka unachukua muda mfupi katika kipengele cha usafiri kuliko ukitokea popote Dar. Panton hazina changamoto kama daladala au mwendokasipanton kuna muda inachelewa kuvusha watu kutokana na kusubiri meli ipite na sababu nyingine za kiufundi.
🤣🤣🤣Kwa hiyo hata akiwa Msukuma ataonekana wa mjini?
Vijana wa mikoani mna shida sana. Mnapenda kuonekana wa mjini.
Mwendokasi si hovyo asubuhi hapo kimara unakuta mstari mrefu bado kuminyana na foleni kibao .Lakini husubiri zaidi ya dakika 15. Kumbuka unachukua muda mfupi katika kipengele cha usafiri kuliko ukitokea popote Dar. Panton hazina changamoto kama daladala au mwendokasi
Kigamboni,the best place to stayHakuna shida na ferry siku hizi. Gharama ya chumba ni cheap kwa 100k unapata vyumba viwili vizuri kwenye maeneo tulivu. Usafiri wa daladala hata kama utaishi Geza au Kibada bado ni elfu kwa siku na husubiri kituoni zaaidi ya dakika 10, hakuna foleni barabarani. Hakuna joto wala mbanano. Karibu Kigamboni hakuna vibaka
Mkuu unaweza kuniunganisha na dalali wa kigamboni. Hasa maeneo ya mjimwema, kisiwani, darajani.Hakuna shida na ferry siku hizi. Gharama ya chumba ni cheap kwa 100k unapata vyumba viwili vizuri kwenye maeneo tulivu. Usafiri wa daladala hata kama utaishi Geza au Kibada bado ni elfu kwa siku na husubiri kituoni zaaidi ya dakika 10, hakuna foleni barabarani. Hakuna joto wala mbanano. Karibu Kigamboni hakuna vibaka
ni mara chache zinazidi dkk 15+Lakini husubiri zaidi ya dakika 15. Kumbuka unachukua muda mfupi katika kipengele cha usafiri kuliko ukitokea popote Dar. Panton hazina changamoto kama daladala au mwendokasi
Nenda kinondoni hutajutaMkuu unaweza kuniunganisha na dalali wa kigamboni. Hasa maeneo ya mjimwema, kisiwani, darajani.
geza kule mbali at least mji mwema au kibadaHakuna shida na ferry siku hizi. Gharama ya chumba ni cheap kwa 100k unapata vyumba viwili vizuri kwenye maeneo tulivu. Usafiri wa daladala hata kama utaishi Geza au Kibada bado ni elfu kwa siku na husubiri kituoni zaaidi ya dakika 10, hakuna foleni barabarani. Hakuna joto wala mbanano. Karibu Kigamboni hakuna vibaka
hapana ila nadhani hiyo ni kibadaMikwambe unapapata mkuu.