Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole umeamua uhamie wapiAise vyumba kupatikana ni kazi sana.
Karbu KIgambon Dear[emoji8][emoji8][emoji8]Niko single mkuu.
Hapanaaa Kigambonii ndio kuko poaa mzee, sema changamoto kubwa ya Kigamboni ni gharama za usafiri, kukosa baadhi ya mahitaji , lakini ukiamua kukaa kama ndio unaanza maisha ni sehemu iko poa sanaaMkuu ishi kinondoni
[emoji16][emoji16][emoji16] Aposto dah..! halafu ule uzi sikuumaliza sijui iliisha vipi ile storiHii siyo bure labda Aposto anaweza kujua zaid
Ushauri wa kijinga Sana huuHata Kigogo Mburahati au Luhanga au Mabibo kwa hela hiyo unapata nyumba nzuri ya kupanga. Usafiri ni mwingi hauna shida maeneo hayo.
Hata siku ukiamua kwenda Posta kwa miguu unaweza, ni mwendo wa lisaa limoja tu kwa mwendo wa kijana usiokuwa wa kiuvivu.
Sawa, asante mjinga mwenzangu nimekusikia.Ushauri wa kijinga Sana huu
😅😅😅Kwa hiyo hata akiwa Msukuma ataonekana wa mjini?
Vijana wa mikoani mna shida sana. Mnapenda kuonekana wa mjini.