Kati ya Kimara, Kigamboni na Kinondoni wapi ni bora zaidi kuishi?

Kimara shida ni Usafiri, Kigamboni shida ni Uhalifu na Kinondoni utaambukizwa Uvivu na kupenda Starehe.

Chagua kwenye Unafuu Kwako Mkuu.
 
Duuh, kwhy mkuu kimara vyumba bei nafuu kuliko kigamboni.
 
Njoo kinondoni mkuu.huku akili yako itafunguka mkuu.huko kwengine akili yako italemaa.pia kinondoni ni rahisi kufika hapo poster mzee yaani usafiri bwelele ukitaka boda ukitaka mwendokasi ukitaka daladala wewe tu.halafu utaepukana na kuamka saa kumi na moja kuwahi usafiri...kinondoni ndio daslamaa ipo centa ya kotee
 
Kama una familia Kigamboni ni unapata nyumba kubwa na cheap kama kigetogeto kino is the best chumba master na sebule unakua karibu na mjini
 
Tatizo kinondoni bei yao iko juu ya bajeti yangu.
Master room ndogo 150K.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…