T1 haiboi kama imesimama dedeππ zile T3 kama yule jamaa anavyosemaga hazitaondoka kwako basi.
Mwezi tu sitoboi bila kitimoto ijekuwa mwaka sema ile ladha ya wale wa bush ndo sijawahi kuipata huku mjiniUsifanye hivyo mkuu! Kitimoto kipo tu. Uzima ukiwepo, utaila hata mwakani.
Samaki ni watamu sana hasa sato ,kibua na sangara ila papa sijajuaga kama analiwa ,binafsi naonaga samaki kwa ujumla wake ni watamu sana kuliko nyama nyingine.Ni ile papa dogo, ile inaliwa ila haitafuniki, 8le unaitolea udenda ila haiingii kwa mdomo.
Aisee! Na mimi nitajaribu nione!Waliwadanganya, utumbo wake mzuri kinoma hata wa ng'ombe haufikii na sio mchafu kiivyo huwezi amini,
Ilikuwa tukichinja nahakikisha nimekula kila sehemu, nyama, ngozi, utumbo, kongoro, nikishiba nilikuwa nachoma masikio sasa natafuna taratiiiibu km jojoπ
Acha ubaguziNaamini karibia kila aliyewahi kula kitimoto, alishakula pia na nyama ya kuku wa kienyeji!
Kati ya hivyo vitoweo viwili: kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?
Utanipa mrejeshoAisee! Na mimi nitajaribu nione!
π€£π€£π€£Ngoja tu niagize nusu sa ntafanyaje
Kuna samaki anaitwa Jodari ni mtamu kuliko samaki wote niliokulaSamaki ni watamu sana hasa sato ,kibua na sangara ila papa sijajuaga kama analiwa ,binafsi naonaga samaki kwa ujulma wake ni watamu sana kuliko nyama nyingine.
Ni wapi huko mkuu?Kuna pori flani huko ndo nilimfaidi mahi kula mpaka kumtizama, bei kg 1 2015-2017 ilikuwa 2000-3000 saiv sijui bei ikoje, kule hawamjui mdudu
Watu fulani wanadai eti hiyo mboga si salama kwa afya!Mwezi tu sitoboi bila kitimoto ijekuwa mwaka sema ile ladha ya wale wa bush ndo sijawahi kuipata huku mjini
Nachagua only kwa kufunga macho, siwezi sema ipi ni nzuri zaidi maana zote ni tamuNaamini karibia kila aliyewahi kula kitimoto, alishakula pia na nyama ya kuku wa kienyeji!
Kati ya hivyo vitoweo viwili: kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?
Nilizaliwa na kukulia Kaskazini, lakini nilipofika Njombe niliwavulia kofia. Inawezekana ndiyo kitoweo kinacholiwa kwa wingi zaidi.Ila yote kwa yote kaskazini nawapa maua yenu mdudu mnajua kumuenzi jamaa mnakula hii kitu ni noma nchi hii mnaongoza
Karagwe/kyerwa vijiji vya mipakani, naamini mambo hayajabadilika, wanawafuga na kuwachunga km mbuzi, nyama yake inakuwa km ngiri(nguruwe pori),Ni wapi huko mkuu?
Haya mambo si ya kufichana ujue!
Kibua sioKuna samaki anaitwa Jodari ni mtamu kuliko samaki wote niliokula
Sawa mkuu, ila usije ukaniomba ya assessment!Utanipa mrejesho
Weeeee kumbee njombe sijaishi napitaga tu,Nilizaliwa na kukulia Kaskazini, lakini nilipofika Njombe niliwavulia kofia. Inawezekana ndiyo kitoweo kinacholiwa kwa wingi zaidi.
πππKaragwe/kyerwa vijiji vya mipakani, naamini mambo hayajabadilika, wanawafuga na kuwachunga km mbuzi, nyama yake inakuwa km ngiri(nguruwe pori),
Uhutu na tutsi upo si kwa kiwango cha Rwanda ila upo, inaaminika wahutu ni wakulima na wafuga nguruwe na watutsi ni wafugaji wa ng'ombe na mbuzi kwahiyo soko la kitimoto sio kubwa kihiivyo,
Hiyo lazima nitakuombaSawa mkuu, ila usije ukaniomba ya assessment!
Sio kibua! Ulizia jodari utapewa samaki nyama yake ya ndani ni kijivu iliyokolea utamu mpaka kichogoni ukimuunga mchuzi upate na ugali na pilipiliKibua sio