ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Mmmh! Eeee! Una uhakika ulikula kitimoto kweli?Ngamia sijui kwa sababu sijawahi kuila, lakini kuku, hasa wa kienyeji, ni mtamu zaidi ya Mbuzi Katholiki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh! Eeee! Una uhakika ulikula kitimoto kweli?Ngamia sijui kwa sababu sijawahi kuila, lakini kuku, hasa wa kienyeji, ni mtamu zaidi ya Mbuzi Katholiki!
Ngozi ina mafuta mengi sana, itakukifu haraka!NAKAZIA!
Halafu upate kitimoto yenye vinyweleo kwa mbali😋
😅😅😅kiti hafai kuunga mchuzi tu ila mchemsho hasa utumbo wake ni mtamu mbuzi anasubiri🤣🤣🤣🤣🤣Nimecheka..
Na namna My wetu alivyo special mapishi yake hachanganywi na mapishi ya wengine.
Wenyeji wake walikuwa na nia gani kuwakaribisha ilhali wanajua si walaji wa hiyo mboga? Walitaka kuwapima imani?Upate ile fresh imetoka kuchinjwa...alafu ichome au kaanga weka na mazagazaga..hatari sana yule mnyama.
Nb; nilikua sehem sasa kuna jirani fulani ni muslim alialikwa na watoto wake..sasa wale wenyeji walikua wameleta kitimoto choma safi sana..wakakaribishwa mama mtu kumzuia mtoto akashindwa mtoto kaenda kuonja akasema " mama kitimoto tamu sijawahi ona.."
Sasa mtoto kama huyo si kashaingia kundini.
Sijawah na wala sijawah kujaribu kabisa na harufu tu ishanigomeaUmeshawahi kula My wetu wa Kuchoma lakini Dejane?
Au nikuache kwanza😄
Toka nimetoka kigoma au Burundi?Una mwaka wa ngapi hapa Tanzania?
Kuna kiti wale wachanga au walionenepa sana itakuwa alikula kati yao, sasa apatikane kiti pori aliefugwa km mbuzi kwa kufungwa kamba na kuchungwa akila nyasi maganda ya ndizi nk, arooo ni watamu nyieeee acheniMmmh! Eeee! Una uhakika ulikula kitimoto kweli?
Nje ya mada kuku wa kisasa kanishinda jamani hana ladha hata kidogo km unakula sponji
Mpaka weekend wachangiaji wa huu uzi wengi wataenda kupata kitu cha mdudu😋Kuna kiti wale wachanga au walionenepa sana itakuwa alikula kati yao, sasa apatikane kiti pori aliefugwa km mbuzi kwa kufungwa kamba na kuchungwa akila nyasi maganda ya ndizi nk, arooo ni watamu nyieeee acheni
NakaziaHalafu upate kitimoto yenye vinyweleo kwa mbali😋
Daslam kuku wa kienyeji wanapatikana wapi! nisaidie nina hamu nae sanaKula wa kienyeji mkuu! Wa kisasa ni makemikali matupu!
SokoniDaslam kuku wa kienyeji wanapatikana wapi! nisaidie nina hamu nae sana
Leo alhamisi eeh sijui km jpili itafika kwa hali hii,Mpaka weekend wachangiaji wa huu uzi wengi wataenda kupata kitu cha mdudu😋
Upo Njombe? Nafikiri huko ndiyo makao makuu ya kitimoto!Daah.... Hiyo pua na masikio ni tamu balaa.
Kesho nachinja, karibuni sana wadau wa kurekebisha afya
Soko lipi? Maana masoko mengi wanapatikana machotaraSokoni
✅✅✅Kuku tamu hata kama mpishi hajui kupika . Ila kitimoto inahitaji wajuzi,ukipikiwa na mpishi mbovu utaichukia sana
Masoko makubwa soko la buguruni rozana, mburahati na lile lililopo Manzese huwezi kukosaSoko lipi? Maana masoko mengi wanapatikana machotara