Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
umeeleza vizuri sanaa.so altezza ipi ina horsepower kubwa?Ukiambiwa gari ina horsepower 200, ni sawa na hio gari yako imefungwa farasi 200 halafu waivute. Sasa hapo inategemea hao farasi 200 ulokuwa nao wanavuta mzigo gani. unaweza ukawa na farasi 200 lakini wanavuta container ukapitwa na kuachwa mbali na mwenye farasi 80 ambae wanavuta kibox
2000hp sio kitotoHakuna 3sge yenye cc3000. Wewe unazungumzia 2jzge ndio yenye cc3000 na unaikuta kwenye Lexus is300/AS300.
Maajabu ya hio engine, ni pale utakapokuwa upo tayari kuwekeza kwenye perfomance. vile vile ilivyo, ukiweka turbo, unaweza kupata 400hp bila kubadilisha kitu chochote ndani. Watu wana 2000HP na hio engine.
240 kwa altezza sio?Hahahaaa watu 200-240 usiku wanazifikisha we 120 hio ya mjini kabisa??[emoji16][emoji16][emoji16]
SIkumoja Panda gari za magazeti wale ndo standard ni 180
#mwendokasiUNAUA
Unapanga kufanya shughuli gani unazotaka kuwashinda polisi mbio? Kumbuka kuwa gari zao zikishindwa, wao huwahisha shaba.Ivi! nilikuwa nataka kufahamu kwa details za kiufundi kuhusu hizi gari mbili kati ya Toyota Land Cruiser zinazoitwa Hardtop na hizi vigari vidogo vinavyoitwa AltezzaView attachment 673290 ni gari gani hapa inayoweza kumshinda mwenzie kwa speed, yaani ninapozungunzia speed namaanisha ile ya distance covered by time. Maana yake hizi Land cruiser naona zinasifiwa sana utasikia ''mkonga huo baba usifuate" nilipofanya utafiti nikagundua huwa zinatunika katika wizara mbali mbali mfano maliasili ndio gari zao sana na ukija kwa polisi dah! si mchezo yaani zipo tele tena wanazitembeza si mchezo, kuna siku nilijaribu kuifuata Hardtop moja hivi ilikuwa imebeba mafuta ya minara, aisee sikuiona kabisa.View attachment 673287
Kuna vibishoo flan mjini vinajiita team alteza.Sasa altezza nalo ni Gari unakimbia nalo kwenda wapi?
Zama za kukimbizana zimepita kila mtu anayapenda maisha. Mimi Ni mtu wa adventure Sana naweza kuwa naenda Arusha kutokea Dar nikaendesha kwa 12 hours with several stops(Msata, Korogwe na Njia panda ya Himo stops) in between.Ukiambiwa gari ina horsepower 200, ni sawa na hio gari yako imefungwa farasi 200 halafu waivute. Sasa hapo inategemea hao farasi 200 ulokuwa nao wanavuta mzigo gani. unaweza ukawa na farasi 200 lakini wanavuta container ukapitwa na kuachwa mbali na mwenye farasi 80 ambae wanavuta kibox
Kama huna plan za modification, basi yenye 3sge beams bora. ni nyepesi kuliko yenye 2jzge. 2JZ imeizidi 3s kama kwa horspower 20 ivi. Lakini usishangae mwenye 3s akawa mbele yakokwa sababu yenye 2jz inakilo nyingi zaid ya 3sumeeleza vizuri sanaa.so altezza ipi ina horsepower kubwa?
mpk kufikia hapo usishangae ukiona mtu anauza kwa milioni 602000hp sio kitoto
Bado zipo mkuu, Arusha wanakutana wakenya kupimishana vifua 😀 uku kuna wengine wanaenda mikoani usiku kuepuka tochiZama za kukimbizana zimepita kila mtu anayapenda maisha. Mimi Ni mtu wa adventure Sana naweza kuwa naenda Arusha kutokea Dar nikaendesha kwa 12 hours with several stops(Msata, Korogwe na Njia panda ya Himo stops) in between.
Gari za masharobaro hizooKuna vibishoo flan mjini vinajiita team alteza.
nimekupata.hivi ukitoa kufunga turbo modifications gani nyingine watu wanafanya?nina plan na modificationsKama huna plan za modification, basi yenye 3sge beams bora. ni nyepesi kuliko yenye 2jzge. 2JZ imeizidi 3s kama kwa horspower 20 ivi. Lakini usishangae mwenye 3s akawa mbele yakokwa sababu yenye 2jz inakilo nyingi zaid ya 3s
huwa unatumia gari ipi kwa safari ndefu kama hizo?Zama za kukimbizana zimepita kila mtu anayapenda maisha. Mimi Ni mtu wa adventure Sana naweza kuwa naenda Arusha kutokea Dar nikaendesha kwa 12 hours with several stops(Msata, Korogwe na Njia panda ya Himo stops) in between.
mpaka anakuwa na horse power 2000 hapo modifications anakuwa amefunga turbo charger nyingi/zenye uwezo mkubwa sio?mpk kufikia hapo usishangae ukiona mtu anauza kwa milioni 60
Modification ndogo ambazo athari zake huwezi kuzifeel ni kuweka Cold air intake na straight exhaust pipe (haina vi baffler) Ila ukitaka perfomance ya kuona athari yake ni kuweka turbo ama supercharger. Sio rahisi kupata supercharger lakini ni rahisi kupata turbo kits kwa gari husika.nimekupata.hivi ukitoa kufunga turbo modifications gani nyingine watu wanafanya?nina plan na modifications
Inategemea, nimeona wengine wameweka turbo 4 kwenye gari, lakini pia unaweza kuweka turbo moja iliokuwa kubwa na ukafikia malengo. Ila ujue tu, ukifika maeneo hayo ya 2000hp maanake mafuta nayo sio shida kwakompaka anakuwa na horse power 2000 hapo modifications anakuwa amefunga turbo charger nyingi/zenye uwezo mkubwa sio?
kwanini supercharger ni ngumu kupatikana?Modification ndogo ambazo athari zake huwezi kuzifeel ni kuweka Cold air intake na straight exhaust pipe (haina vi baffler) Ila ukitaka perfomance ya kuona athari yake ni kuweka turbo ama supercharger. Sio rahisi kupata supercharger lakini ni rahisi kupata turbo kits kwa gari husika.
una maoni gani kuhusu Supra.hii nimeona engine code wameweka ni 2JZ nadhani ndo ile ile 2JZ GE.(nirekebishe kama nimekosea hapo).cc ni 2990 ila wheel drive wameweka dash sijaelewa wamemaanisha nini.cheki hapo chiniKama huna plan za modification, basi yenye 3sge beams bora. ni nyepesi kuliko yenye 2jzge. 2JZ imeizidi 3s kama kwa horspower 20 ivi. Lakini usishangae mwenye 3s akawa mbele yakokwa sababu yenye 2jz inakilo nyingi zaid ya 3s
Watengezaji wenyewe tu. Superchargers huwa mara nyingi ni kwa gari ambazo hazina wide available turbo kits, na sana USA kwenye magari yao ndio wanapendelea.kwanini supercharger ni ngumu kupatikana?
Umeona imeandikwa rear wheel drive? Kama ni hivo maanake nguvu ya engine inapelekwa maringi ya nyuma ambayo ndio yanasukuma gari.una maoni gani kuhusu Supra.hii nimeona engine code wameweka ni 2JZ nadhani ndo ile ile 2JZ GE.(nirekebishe kama nimekosea hapo).cc ni 2990 ila wheel drive wameweka dash sijaelewa wamemaanisha nini.cheki hapo chiniView attachment 1523175View attachment 1523176View attachment 1523177View attachment 1523178View attachment 1523180View attachment 1523182