Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
200M hupangi nayo foleni mkuu. Kama unafanya hivyo unajitesa. Ukiwa na 200M unaenda moja kwa moja kwenye premier section au kwa teller wa bulk cashInawezekana unachozungumza ni kweli ila tambua kwamba hizo huduma kupitia simu ni wachache wanaozitumia.
Tembelea hizo bank ujionee mwenyewe zaidi ya hapo kama mtu anataka kudeposit 200m ataenda kwa wakala au ataenda bank?
Wapuuzi tu, temporary closed kila siku! Madirisha 10, mawili tu ndio yana ma-teller, tena muda wote anaongea na mtu anaeingia mlango wa nyuma yake na kumpa vimemo vya kazi za kifanya, huku nyie mpo mmesimama kwenye line, pumbavu sanaHio ya temporary closed Ni bank zote tu nchini.Wapuuzi Sana.
Huko nilitoka 2015,Niko Standard Chartered kwa sa hivi.Karibu Equity bank.
Matatizo yao yanavumilika
Kweli mkuu na sijawahi kupata suluhisho la hili tatizo nchini.Bank nyingi au karibu zote tu madirisha ya tellers hua hayajai.Sasa sijui kwanini mabank hua hayatengenezi madirisha matatu/manne ya tellers kuliko kujaza mengi yasiyo na kazi.Wapuuzi tu, temporary closed kila siku! Madirisha 10, mawili tu ndio yana ma-teller, tena muda wote anaongea na mtu anaeingia mlango wa nyuma yake na kumpa vimemo vya kazi za kifanya, huku nyie mpo mmesimama kwenye line, pumbavu sana
Kuna siku nilikuwa nina uhakika kabisa pesa niliyompa ni 1M ila akajifanya nimempa 980K.3. Bank teller wao kuhesabu hela anachomoa hata 20 anakurudishia anasema haijatimia laki kuna elfu 80 kisa tu aibe
Last seen July 17.
Wengine ni watumishi wa serikali na wengine wanafanya biashara na serikali hivyo kuwa na account NMB ni muhimu.Hata wewe kuwa NMB ni ushamba. Benki imekaa kienyeji sana
Benk za maana hazihudumii watumishi wa serikali na wafanyabiashara?NMB ni benk ya hovyoWengine ni watumishi wa serikali na wengine wanafanya biashara na serikali hivyo kuwa na account NMB ni muhimu.
Unajifanya libishi, sijui ni lifanyakazi la NMB wewe?Kwa NMB na benki nyingi
Mtu wa BULK (mzigo mkubwa) hawezi kaa foleni dirishani kwa teller
Wana mlango wao maalum huingia kuhudumiwa na kuna kiti unakaa unahudumiwa.
Nilienda kulipia malipo ya serikali ni bank ambayo iko karibu namiHata wewe kuwa NMB ni ushamba. Benki imekaa kienyeji sana
Nahisi atakuwa mfanyakazi wa haka kabenk kakishamba.Unajifanya libishi, sijui ni lifanyakazi la NMB wewe?
Hawana weledi hawa.3. Bank teller wao kuhesabu hela anachomoa hata 20 anakurudishia anasema haijatimia laki kuna elfu 80 kisa tu aibe
Waanze na ushamba maana uzee ni asiliHawawezi kuacha vyote wachagulie waache kipi. Uzee au ushamba.
Hoja yangu ilikuwa kufahamisha kwamba miamala mingine huwezi kuifanya Yombo Dovya kwa wakala kwa maana unalazimika kwenda bank.200M hupangi nayo foleni mkuu. Kama unafanya hivyo unajitesa. Ukiwa na 200M unaenda moja kwa moja kwenye premier section au kwa teller wa bulk cash
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app