Kati ya madirisha sita ya teller wa NMB, manne TEMPORARILY CLOSED. Hii tabia inakera!

Kati ya madirisha sita ya teller wa NMB, manne TEMPORARILY CLOSED. Hii tabia inakera!

Kuna siku nilikuwa nina uhakika kabisa pesa niliyompa ni 1M ila akajifanya nimempa 980K.
Tokea hapo nikimpa teller hela ninakodoa macho ipasavyo.
Wezi sana hawa.
Leo kuna jamaa alinisimulia kwamba alimpa teller 3m kuhesabu anaambiwa 2,960,000/= jamaa akamwambia atapeleka taarifa kwa boss wake.Teller machozi yakamtoka jamaa akamsamehe.
 
Kwa NMB na benki nyingi
Mtu wa BULK (mzigo mkubwa) hawezi kaa foleni dirishani kwa teller

Wana mlango wao maalum huingia kuhudumiwa na kuna kiti unakaa unahudumiwa.
Mkuu bulk maanake si ni pesa ndefu,?
Leo kwa macho yangu jamaa anajichukulia wastan 50m kwa teller au 50 siyo bulk?
 
Kwa NMB na benki nyingi
Mtu wa BULK (mzigo mkubwa) hawezi kaa foleni dirishani kwa teller

Wana mlango wao maalum huingia kuhudumiwa na kuna kiti unakaa unahudumiwa.
Vipi kwa wanao withdraw? Mkuu NMB wanakera sana na kuhusu hao merchants siyo wote wanafloat/cash za kutosha. Hizo mob apps/simbanking zinalimit ndio maana watu huenda bank.
 
Vipi kwa wanao withdraw? Mkuu NMB wanakera sana na kuhusu hao merchants siyo wote wanafloat/cash za kutosha. Hizo mob apps/simbanking zinalimit ndio maana watu huenda bank.
Mkuu umeongea ukweli ila jamaa anajifanya haelewi!

Tufanye hilo ameshinda atuletee viti basi au napo wateja wanahudumiwa mtaani?
 
Mkuu bulk maanake si ni pesa ndefu,?
Leo kwa macho yangu jamaa anajichukulia wastan 50m kwa teller au 50 siyo bulk?
Mkuu hata bulk kuna foleni. Hao wanaotetea hawaelewi kitu. Na huko ndio chanzo cha foleni za wateja wa bank. Mtu anaedeposit kupitia muhudum wa bulk anakula muda balaa. Maana hela zinapangwa then wanaanza kusort ndio zinahesabiwa. Kusort kunachukua muda balaa
 
Kuna muda unakuta umefika pale kwa ma ''teller" nakuambulia kuambiwa 'mimi hiyo kazi siiwezi, muulize huyo kaka hapo'
 
Kuna siku nilikuwa nina uhakika kabisa pesa niliyompa ni 1M ila akajifanya nimempa 980K.
Tokea hapo nikimpa teller hela ninakodoa macho ipasavyo.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hajui kitu. Utakuta yupo PT(Field) pale NMB. So anajidai mjuaji kumbe hajui kitu.
msichokielewa kwake ni nini?kuhusu bulk desk?mbona hiyo ipo hivyo iwe kuchukua au kuweka? ukiona mtu anachukua pesa ndefu kwa teller ni kujitakia tu,dirisha lipo!
Mf. mimi juzi kati nimeend kuchukua 20m kwa teller wakati najua kuna bulk desk,lakini nilikuwa nafukuzia namba ya teller tu
 
Vipi kwa wanao withdraw? Mkuu NMB wanakera sana na kuhusu hao merchants siyo wote wanafloat/cash za kutosha. Hizo mob apps/simbanking zinalimit ndio maana watu huenda bank.
Mkuu umeongea ukweli ila jamaa anajifanya haelewi!

Tufanye hilo ameshinda atuletee viti basi au napo wateja wanahudumiwa mtaani?
kwa nini usilipe kwenye simu au wakala?
Mkuu hii njia ya wakala kwangu ni second option.
 
Mambo vp wakuu,
Nmb acheni ushamba na uzee!!!
1.Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma?Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa mda mrefu.

2.Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?
Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi??? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndo utaratibu wenu.

Acheni hizi tabia mnaboa mno!
Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.
NMB Buzuruga wana huo mtindo, unakuta teller mmoja tu ndio anahudumia lakini madirisha mengine yote yamefungwa.
 
Huduma za kibenki zimehamia mtandaoni na mitaani.

Mawakala kila Kona, Unaweza kuhamisha miamala Kwenye simu,Unaweza kufanya direct transfer bank to bank mwenyewe.

Kwayo
Haina haja ya kua na utitiri wa TELLER ndani ya benki
Ni sawa. Lakini tozo ndilo lililotukimbiza toka huko tukarudi tena kujipanga mistarini ili walau tupate tuela twingi twa mboga.
 
msichokielewa kwake ni nini?kuhusu bulk desk?mbona hiyo ipo hivyo iwe kuchukua au kuweka? ukiona mtu anachukua pesa ndefu kwa teller ni kujitakia tu,dirisha lipo!
Mf. mimi juzi kati nimeend kuchukua 20m kwa teller wakati najua kuna bulk desk,lakini nilikuwa nafukuzia namba ya teller tu
Ulipata namba mkuu. Nipatie namba mbili za mwisho.
 
Inawezekana unachozungumza ni kweli ila tambua kwamba hizo huduma kupitia simu ni wachache wanaozitumia.

Tembelea hizo bank ujionee mwenyewe zaidi ya hapo kama mtu anataka kudeposit 200m ataenda kwa wakala au ataenda bank?
M200 huwezi wekwa kwenye mstari mna sehemu zenu maalumu
 
Back
Top Bottom