Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
NMB siyo benki ya serikali, hiyo ni commercial bank, serikali ina benki moja tu ambayo ni BOT. Pia ina hisa zaidi ya 51% benki ya posta ndio maana tunaeeza sema postal bank ni ya serikali.Sio lazima ila ni muhimu rafiki, Serikali ikupe kazi yao halafu haubenk na benk yao, we unakuwa sio "nzalendo" If you know what i mean. So huwa tunajitahidi tuwe na account za bank zingine na NMB ikiwemo.
Umeelewa binti kiziwi ?