Kati ya madirisha sita ya teller wa NMB, manne TEMPORARILY CLOSED. Hii tabia inakera!

Kati ya madirisha sita ya teller wa NMB, manne TEMPORARILY CLOSED. Hii tabia inakera!

Sio lazima ila ni muhimu rafiki, Serikali ikupe kazi yao halafu haubenk na benk yao, we unakuwa sio "nzalendo" If you know what i mean. So huwa tunajitahidi tuwe na account za bank zingine na NMB ikiwemo.
NMB siyo benki ya serikali, hiyo ni commercial bank, serikali ina benki moja tu ambayo ni BOT. Pia ina hisa zaidi ya 51% benki ya posta ndio maana tunaeeza sema postal bank ni ya serikali.
Umeelewa binti kiziwi ?
 
Umeongea ukweli mtupu mleta hoja, pia kero zaidi zipo kwenye ATM machines, unakuta zipo mashine 3 halafu inayotoa huduma ni moja, na wateja nje wapo zaidi ya 15, shame kabisa.

Huu upuuzi ndo unaonifanye muda sio mrefu nitahamisha account yangu ya mshahara kwenda bengi zinazojielewa.

NMB mna customer care ya hovyo sana, endeleeni hivyo mtapata mnachokitafuta.
 
Sio lazima ila ni muhimu rafiki, Serikali ikupe kazi yao halafu haubenk na benk yao, we unakuwa sio "nzalendo" If you know what i mean. So huwa tunajitahidi tuwe na account za bank zingine na NMB ikiwemo.
sometimes muwe mnapiga kimya kuficha ujinga.
 
Wapuuzi tu, temporary closed kila siku! Madirisha 10, mawili tu ndio yana ma-teller, tena muda wote anaongea na mtu anaeingia mlango wa nyuma yake na kumpa vimemo vya kazi za kifanya, huku nyie mpo mmesimama kwenye line, pumbavu sana
Mimi niko zangu standard chartered,
Kabisa siwezi kuvumilia ule ujinga wa hizi bank zetu
 
Hawa jamaa washenzi sana ili uende benki inahitaji uache kazi ili ukashinde bank nilikaa bank masaa mawili


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Umeongea ukweli mtupu mleta hoja, pia kero zaidi zipo kwenye ATM machines, unakuta zipo mashine 3 halafu inayotoa huduma ni moja, na wateja nje wapo zaidi ya 15, shame kabisa.

Huu upuuzi ndo unaonifanye muda sio mrefu nitahamisha account yangu ya mshahara kwenda bengi zinazojielewa.

NMB mna customer care ya hovyo sana, endeleeni hivyo mtapata mnachokitafuta.
Halafu kuna watu wanawatetea
 
Mambo vp wakuu,

NMB acheni ushamba na uzee

1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu.

2. Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?

Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndio utaratibu wenu.

Acheni hizi tabia mnaboa mno!

Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.

Banking sector wanadeal na captive markets/customers hio ndio jeuri yao, na zaidi customers hawajui wajibu wa mtoa huduma kwao. Dawati la wazi la malalamiko kwenye mabenki halipo.
 
Mhusika yupo ametulia, anakunywa chai na kuchezea simu, mwisho wa mwezi mshahara unaingia. Haya mambo JPM aliyapiga vita sana.
 
Mambo vp wakuu,

NMB acheni ushamba na uzee

1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu.

2. Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?

Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndio utaratibu wenu.

Acheni hizi tabia mnaboa mno!

Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.
kati ya viti 420 bungeni, viti 170 tu ndio huwa vinakaliwa; like father like son.
 
Back
Top Bottom