Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
hii ipo sana tu3. Bank teller wao kuhesabu hela anachomoa hata 20 anakurudishia anasema haijatimia laki kuna elfu 80 kisa tu aibe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ipo sana tu3. Bank teller wao kuhesabu hela anachomoa hata 20 anakurudishia anasema haijatimia laki kuna elfu 80 kisa tu aibe
changamoto yake wanaomba sna hela😂😂😂😂😂😂😂yaishe Mkuu.Hata mimi ni mtuaji mzuri wa mbinu za medani katika mazingira hayo mkuu. Ila mimi huwa haifiki 20.Pamoja sana
Yaani ndugu yangu inakera sana, wengine hatuwezi kusimama muda mrefu kutokana na maumivu ya miguu lakini hakuna viti tena matawi yote ya NMB nchi nzima. Halafu karibu kila siku madirisha mawili ndio yako active, unafika mahali unajiuliza hivi viongozi wa hii benki wameenda shuke kweli ?kweli NMB badilikeni kabisa. Hali hii inatuumiza sana sisi wateja wenu.Mambo vp wakuu,
NMB acheni ushamba na uzee
1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu.
2. Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?
Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndio utaratibu wenu.
Acheni hizi tabia mnaboa mno!
Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.
Huduma za kibenki zimehamia mtandaoni na mitaani.
Mawakala kila Kona, Unaweza kuhamisha miamala Kwenye simu,Unaweza kufanya direct transfer bank to bank mwenyewe.
Kwayo
Haina haja ya kua na utitiri wa TELLER ndani ya benki
200M hupangi nayo foleni mkuu. Kama unafanya hivyo unajitesa. Ukiwa na 200M unaenda moja kwa moja kwenye premier section au kwa teller wa bulk cash
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Kwa ufupi hawa jamaa aidha wanapuuza au hawana watu wa kuweza kufahamu washindani wao wanafanya nini.Yaani ndugu yangu inakera sana, wengine hatuwezi kusimama muda mrefu kutokana na maumivu ya miguu lakini hakuna viti tena matawi yote ya NMB nchi nzima. Halafu karibu kila siku madirisha mawili ndio yako active, unafika mahali unajiuliza hivi viongozi wa hii benki wameenda shuke kweli ?kweli NMB badilikeni kabisa. Hali hii inatuumiza sana sisi wateja wenu.
We jamaa uko Kama Mimi Yaninikiendaga benki pale kwenye kadirisha nikimuona ni mdada/mwanamke
amani inanipotea kabisa naweza hata kugeuza nilipotoka
Mkiwa million 200 mpo wateja 10 kwa mara moja?200M hupangi nayo foleni mkuu. Kama unafanya hivyo unajitesa. Ukiwa na 200M unaenda moja kwa moja kwenye premier section au kwa teller wa bulk cash
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Ni sawa lakini gharama ni kubwa "wallet to bank"- makato ni makubwa sana hasa kipindi hiki cha TOZO, hivyo hivyo Bank to wallet unafanya mara mbili maana yake utoe bank kupeleka kwenye simu (kuna makato kutoa bank na inaingia kwenye simu, na ukitoa kwenye simu unakutana na makato). Na ukifanya bank to bank(TISS) bado makato labda kama una hela nyingi lakini hela hizi za watumishi wa kawaida ni bora kwenda bank.Huduma za kibenki zimehamia mtandaoni na mitaani.
Mawakala kila Kona, Unaweza kuhamisha miamala Kwenye simu,Unaweza kufanya direct transfer bank to bank mwenyewe.
Kwayo
Haina haja ya kua na utitiri wa TELLER ndani ya benki
Kwa ufupi hawa jamaa aidha wanapuuza au hawana watu wa kuweza kufahamu washindani wao wanafanya nini.Yaani ndugu yangu inakera sana, wengine hatuwezi kusimama muda mrefu kutokana na maumivu ya miguu lakini hakuna viti tena matawi yote ya NMB nchi nzima. Halafu karibu kila siku madirisha mawili ndio yako active, unafika mahali unajiuliza hivi viongozi wa hii benki wameenda shuke kweli ?kweli NMB badilikeni kabisa. Hali hii inatuumiza sana sisi wateja wenu.
Afadhali CRDB kuna pakukaaHata crdb wanakuaga hivyo uzuri wao kuna viti vya kukalia wateja
wakuda kinyama, sema unakuta huna namnaHio ya temporary closed ni bank zote tu nchini. Wapuuzi sana.
Mambo ni mengi sana,wateja ni wengi sana,muda wa kujibu vitu anakosaLast seen July 17.