Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,130
- 3,599
NMB siyo benki ya serikali, hiyo ni commercial bank, serikali ina benki moja tu ambayo ni BOT. Pia ina hisa zaidi ya 51% benki ya posta ndio maana tunaeeza sema postal bank ni ya serikali.Sio lazima ila ni muhimu rafiki, Serikali ikupe kazi yao halafu haubenk na benk yao, we unakuwa sio "nzalendo" If you know what i mean. So huwa tunajitahidi tuwe na account za bank zingine na NMB ikiwemo.
Namba nilipata ila teller anataka kutongozwa wkati mimi nataka kula kimasiharaUlipata namba mkuu. Nipatie namba mbili za mwisho.
sometimes muwe mnapiga kimya kuficha ujinga.Sio lazima ila ni muhimu rafiki, Serikali ikupe kazi yao halafu haubenk na benk yao, we unakuwa sio "nzalendo" If you know what i mean. So huwa tunajitahidi tuwe na account za bank zingine na NMB ikiwemo.
Nenda naye mdogo mdogo utakula mkuu.Namba nilipata ila teller anataka kutongozwa wkati mimi nataka kula kimasihara
Mimi niko zangu standard chartered,Wapuuzi tu, temporary closed kila siku! Madirisha 10, mawili tu ndio yana ma-teller, tena muda wote anaongea na mtu anaeingia mlango wa nyuma yake na kumpa vimemo vya kazi za kifanya, huku nyie mpo mmesimama kwenye line, pumbavu sana
Bank nyingine wahudumu wao hadi unaweza kufikiri anakupenda kumbe ni customer care tu.nikiendaga benki pale kwenye kadirisha nikimuona ni mdada/mwanamke
amani inanipotea kabisa naweza hata kugeuza nilipotoka
Duh! Haya mkuu.sometimes muwe mnapiga kimya kuficha ujinga.
Halafu kuna watu wanawateteaUmeongea ukweli mtupu mleta hoja, pia kero zaidi zipo kwenye ATM machines, unakuta zipo mashine 3 halafu inayotoa huduma ni moja, na wateja nje wapo zaidi ya 15, shame kabisa.
Huu upuuzi ndo unaonifanye muda sio mrefu nitahamisha account yangu ya mshahara kwenda bengi zinazojielewa.
NMB mna customer care ya hovyo sana, endeleeni hivyo mtapata mnachokitafuta.
ujinga sio tusi,bali ni kukosa ufahamu juu ya jambo fulani. ignoranceDuh! Haya mkuu.
Mkuu naona kama hata wewe inabidi uache ujinga. Yaani kupata namba ya teller hadi ukaoneshe mil 20 kweli?Dahujinga sio tusi,bali ni kukosa ufahamu juu ya jambo fulani. ignorance
Mambo vp wakuu,
NMB acheni ushamba na uzee
1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu.
2. Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?
Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndio utaratibu wenu.
Acheni hizi tabia mnaboa mno!
Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.
Ila hata enzi ya JPM foleni za NMB zilikuwepo.Mhusika yupo ametulia, anakunywa chai na kuchezea simu, mwisho wa mwezi mshahara unaingia. Haya mambo JPM aliyapiga vita sana.
sikuenda kuonyesha. nilienda kuweka na kumkaribia ili nipate number. usinunue kesji mkuuMkuu naona kama hata wewe inabidi uache ujinga. Yaani kupata namba ya teller hadi ukaoneshe mil 20 kweli?Dah
πππππππyaishe Mkuu.Hata mimi ni mtuaji mzuri wa mbinu za medani katika mazingira hayo mkuu. Ila mimi huwa haifiki 20.Pamoja sanasikuenda kuonyesha. nilienda kuweka na kumkaribia ili nipate number. usinunue kesji mkuu
kati ya viti 420 bungeni, viti 170 tu ndio huwa vinakaliwa; like father like son.Mambo vp wakuu,
NMB acheni ushamba na uzee
1. Hivi kwa dunia ya leo yenye furniture za bei chee mnashindwa hata kuweka utaratibu wa wateja wenu kuketi kwenye viti wakiwa wanasubiri huduma? Hebu jifunzeni kwa wenzenu na mtambue kuna baadhi ya wateja hawawezi kusimama kwa muda mrefu.
2. Huu utaratibu wenu wa "TEMPORARY CLOSED" kwa bank teller wenu ni fasheni au ndo kwa kuwa mna wateja wa kutosha?
Yaani madirisha 6 ya teller manne TEMPORARY CLOSED mawili tu yanafanya kazi? Na hili siyo mara moja labda tuseme dharura lakini ndio utaratibu wenu.
Acheni hizi tabia mnaboa mno!
Povu ruksa hata hivyo nitakuja kuongezea makandokando yenu mengine.
ππ watu wa kutoka kolomije wanadhani kufanya hivyo ndio ujanja mzee.Mkuu naona kama hata wewe inabidi uache ujinga. Yaani kupata namba ya teller hadi ukaoneshe mil 20 kweli?Dah