OK hapo nimekuelewa ndio maana nikasema bank ikishapata notes kutoka mahakamani ikiwadai watoe pesa za mirathi huwa haichukui mda mwingi pesa hizo hutolewa.Hatua iliyofikia ni kusubiri akaunti ya mahakama kuweka pesa kwenye akaunti za warithi
Aisee mbona mambo ni mengi namna hii! Kah!Utaratibu ni kwamba mkishakaa kikao cha familia na kupendekeza msimamizi anakwenda Mahakani kufungua shauri la mirathi, Mahakama ikijiridhisha kuwa anafaa inamteua na inampa form ya uteuzi inaitwa form Na Iv ambayo inakuwa na picha ya mtu huyo baada ya hapo Sasa.
1. Kama marehemu alikuwa na Akaunti Banki, then, kadi za benki zinapelekwa Mahakamani na Mahakama inaandika bafua kwenda Benki huska ikiambatanisha na kadi hizo na kuitaka funge akaunti hiyo na kupeleka fedha zilizom kwenye Akaunti ya Mirathi ya Mkoa huska iliyoko B.O.T.
Wakishafunga akaunti Benki wanatuma Benki statement Mahakani na kuonyesha kiasi kilichomo wakati wa kufunga akaunti hiyo na kuthibitisha kuwa wameituma kwenye Akaunti hiyo ya hazina. Baada ya hapo Mahakama inamtarifu msimamizi na kumueleza akaunti imefungwa na ina fedha au laa, Kama inafedha masimamizi atatakiwa kukaa kikao na warithi na kukubaliana namna ya kugawana fedha hizo na kupeleka muhtasari na mchanganuo Mahakamani. Then wanajaza form Na VI ambayo itaambana na viambatanisho vya kila mrithi ambavyo ni Na. Ya Akaunti, vyeti vya kuzaliwa, vendor form ya benk huska, nakala za kadi za benki, N.k. vikishapelekwa huko hazina kwenye mkoa huska, na kama havina kasoro, fedha inaingizwa moja kwa moja kwenye Akaunti.( Mara nyingi kuchelewa kulipwa husababishwa na warithi Kama nyaraka zao zinazotakiwa kuambatanishwa hazijatimia au haziko sahihi). Lakini njia nyepesi mara nyingi kuondoa ususmbufu hasa kama fedha siyo nyingi ni bora kumchagua mmoja na kukubaliana fedha yote iingie kwake, so viambatanisho vinakuwa vya mtu Mmoja na akaunti inakuwa moja.
2. Kama Marehemu alikuwa mtumishi, hapa Mahakama inahuska
(A) kwenye uteuzi wa msimamizi ambaye atawajibika kwenda kwenye mfuko huska akiwa na hati ya uteuzi na huko atapewa form ambazo kila mrithi atajaza na ataambatanisha Na. ya Akaunti kadi yake ya Benki na vendor form ya Benki yake, pia atalazimika kupitia kwa mwajiri wa Marehemu kuna Sehemu anajaza na Kuna Sehemu Mahakama inajaza na hiyo form inakuwa na paspoti karibia tatu ambazo lazima zigongwe mhuri wa Mahakama na kusainiwa na hakimu na inaambatanishwa form na VI ambayo itakuwa inaonyesha mgao kwa Kila mrithi na Mara nyingi mgao unakuwa kwa % kwakuwa fedha inayokuwa kwenye mfuko Mara nyingi inakuwa haifahamiki na viambatanisho vingine ikiwemo vyeti vya kuzaliwa vya kila mmoja(Hapa kila mrithi lazima aweke akaunti Na yake hata Kama ni mtoto mdogo lazima afunguliwe akaunti na hata warithi wakubaliane vipi fedha hii mifuko ya jamii haikubali kuingiza kwenye Akaunti ya mtu mmoja), viambatanisho vyote mhimu ikiwemo vyeti vya kuzaliwa vya kila mrithi( Na hapa ndipo Mara nyingi kunakuwa na tatizo na kusababisha warithi kuchelewa kulipwa kutokana na kushindwa kutimiza au kuwa na baadhi ya nyaraka). Kama nyaraka zimekamilika fedha inalipwa moja kwa moja kwenye Akaunti husika ya kila mmoja.
Unataka kukamatia mirathi? Hatua ya kwanza baada ya mazishi ya mwendazake hufanyika kikao cha ukoo cha huteua msimamizi wa mirathi. Msimamizi hufungua shauri la mirathi mahakamani. Mpaka hapo tambua mahakama ndo husimamia haki ya kila mhusika, inaweza kuiagiza bank husika iandae malipo kwa mchanganuo utakaoelekezwa na mahakama. Nimalize kwa kusema; NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.Ikiwa marehemu kaacha pesa kwenye Akaunti ya bank au simu!
Je, ni wapi ambapo msimamizi wa mirathi atatakiwa kwenda kuchukua hizo pesa za marehemu?
Ni Benki au ni mahakamani?
Je, usahihi wa taarifa ukoje?
Umeeleza vizuri ndio utaratibu ulivyoMahakama inasimamia pesa za marehemu zinamfikia mrithi. Endapo utafariki, familia itakaa kikao itateua msimamizi wa mirathi ambaye ataenda mahakamani kufungua shauri la mirathi.
Mara baada ya kufungua shauri hilo Mahakama itamuidhinisha, then atapewa barua maalumu kwenda kwa bank. Barua hii itasainiwa na Hakimu ambapo bank husika itatakiwa kutaja kiasi cha pesa kilichopo kwenye akaunti za marehemu.
Kiasi hiko cha pesa kitatumwa kwenda akaunti ya mirathi ya mahakama katika mkoa husika ulikofungulia mirathi.
Jukumu la msimamizi wa mirathi kupeleka mchangao wa mgao wa pesa hizo kulingana na idadi ya warithi. Then malipo yanafanyika ikiwa yamepitishwa na hakimu husika.
Inategemea kama mkopo ulikuwa na bima. Kama haukuwa na bima bank wanapaswa kufyekelea mbali mkopo ili nao wapate stahili yao. Mikopo ya bank inalindwa na sheria pia.Narudia tena haiwezekani... kama marehemu alikopa pesa bank...atalipiwa deni lake na bima ya mkopo
Mkuu asante kwa ufafanuzi makini.Mahakama inasimamia pesa za marehemu zinamfikia mrithi. Endapo utafariki, familia itakaa kikao itateua msimamizi wa mirathi ambaye ataenda mahakamani kufungua shauri la mirathi.
Mara baada ya kufungua shauri hilo Mahakama itamuidhinisha, then atapewa barua maalumu kwenda kwa bank. Barua hii itasainiwa na Hakimu ambapo bank husika itatakiwa kutaja kiasi cha pesa kilichopo kwenye akaunti za marehemu.
Kiasi hiko cha pesa kitatumwa kwenda akaunti ya mirathi ya mahakama katika mkoa husika ulikofungulia mirathi.
Jukumu la msimamizi wa mirathi kupeleka mchangao wa mgao wa pesa hizo kulingana na idadi ya warithi. Then malipo yanafanyika ikiwa yamepitishwa na hakimu husika.
Pole sana mkuu. Nayahisi magumu unayopitia. Tafuta mtu wa sheria akushauri haya mambo yamekaa kisheria huenda kuna vitu au nyaraka zina-miss.Mdau kaomba ushauri, toa uzoefu wako, mi nimetoa ushauri kulingana na experience yangu kwani ni mhanga na msimamizi wa mirathi na mpaka Sasa bado nasubiria Sasa unaponiambia 6 week, ebu piga mahesabu toka August 2020 mpaka leo wiki 6 tayari au bado?
Ahsante mkuu kwa ufafanuzi.Utaratibu ni kwamba mkishakaa kikao cha familia na kupendekeza msimamizi anakwenda Mahakani kufungua shauri la mirathi, Mahakama ikijiridhisha kuwa anafaa inamteua na inampa form ya uteuzi inaitwa form Na Iv ambayo inakuwa na picha ya mtu huyo baada ya hapo Sasa.
1. Kama marehemu alikuwa na Akaunti Banki, then, kadi za benki zinapelekwa Mahakamani na Mahakama inaandika bafua kwenda Benki huska ikiambatanisha na kadi hizo na kuitaka funge akaunti hiyo na kupeleka fedha zilizom kwenye Akaunti ya Mirathi ya Mkoa huska iliyoko B.O.T.
Wakishafunga akaunti Benki wanatuma Benki statement Mahakani na kuonyesha kiasi kilichomo wakati wa kufunga akaunti hiyo na kuthibitisha kuwa wameituma kwenye Akaunti hiyo ya hazina. Baada ya hapo Mahakama inamtarifu msimamizi na kumueleza akaunti imefungwa na ina fedha au laa, Kama inafedha masimamizi atatakiwa kukaa kikao na warithi na kukubaliana namna ya kugawana fedha hizo na kupeleka muhtasari na mchanganuo Mahakamani. Then wanajaza form Na VI ambayo itaambana na viambatanisho vya kila mrithi ambavyo ni Na. Ya Akaunti, vyeti vya kuzaliwa, vendor form ya benk huska, nakala za kadi za benki, N.k. vikishapelekwa huko hazina kwenye mkoa huska, na kama havina kasoro, fedha inaingizwa moja kwa moja kwenye Akaunti.( Mara nyingi kuchelewa kulipwa husababishwa na warithi Kama nyaraka zao zinazotakiwa kuambatanishwa hazijatimia au haziko sahihi). Lakini njia nyepesi mara nyingi kuondoa ususmbufu hasa kama fedha siyo nyingi ni bora kumchagua mmoja na kukubaliana fedha yote iingie kwake, so viambatanisho vinakuwa vya mtu Mmoja na akaunti inakuwa moja.
2. Kama Marehemu alikuwa mtumishi, hapa Mahakama inahuska
(A) kwenye uteuzi wa msimamizi ambaye atawajibika kwenda kwenye mfuko huska akiwa na hati ya uteuzi na huko atapewa form ambazo kila mrithi atajaza na ataambatanisha Na. ya Akaunti kadi yake ya Benki na vendor form ya Benki yake, pia atalazimika kupitia kwa mwajiri wa Marehemu kuna Sehemu anajaza na Kuna Sehemu Mahakama inajaza na hiyo form inakuwa na paspoti karibia tatu ambazo lazima zigongwe mhuri wa Mahakama na kusainiwa na hakimu na inaambatanishwa form na VI ambayo itakuwa inaonyesha mgao kwa Kila mrithi na Mara nyingi mgao unakuwa kwa % kwakuwa fedha inayokuwa kwenye mfuko Mara nyingi inakuwa haifahamiki na viambatanisho vingine ikiwemo vyeti vya kuzaliwa vya kila mmoja(Hapa kila mrithi lazima aweke akaunti Na yake hata Kama ni mtoto mdogo lazima afunguliwe akaunti na hata warithi wakubaliane vipi fedha hii mifuko ya jamii haikubali kuingiza kwenye Akaunti ya mtu mmoja), viambatanisho vyote mhimu ikiwemo vyeti vya kuzaliwa vya kila mrithi( Na hapa ndipo Mara nyingi kunakuwa na tatizo na kusababisha warithi kuchelewa kulipwa kutokana na kushindwa kutimiza au kuwa na baadhi ya nyaraka). Kama nyaraka zimekamilika fedha inalipwa moja kwa moja kwenye Akaunti husika ya kila mmoja.
Mahakama haigawi Mirathi mkuu na kama Kuna kosa Mahakama inaweza fanya ni hilo. Kazi ya Kugawana Mirathi ni ya Msimamizi. Msimamizi akishaleta orodha ya mali na mahesabu, kazi ya Mahakama ni kupokea na kama kuna mrithi anadhani hajatendewa haki ndo hapo anaweza leta pingamizi juu ya ugawaji huo.Ahsante mkuu kwa ufafanuzi.
Mimi nimefanya summary tu ya uloeleza kuanzia mahakamani.
Ila yote uloeleza uko sahihi, isipokuwa kwenye kugawana kama ni fedha.
Mara nyingi mahakama huangalia faili la marehemu linasemaje.
Ikiwa marehemu ametaja mke na watoto wake tu kama ni mmoja au wawili na zaidi, basi ni hao wanaotambuliwa kisheria kuwa ni warithi na mahakama itagwa kwa kuanzia mdogo kupata kiasi kikubwa na wengine kiasi sawa pamoja na mama yao.
Ndo maana kazini twaambiwa kuwa tuwe na next of kin.
Hii huwa ni straight forward kesi tofauti na ikiwa marehemu hakusema chochote katika wosia au faili lake na mahakama huamua kisheria kwa kuangalia mke na watoto wa ndoa kwa wale wakristo.
Kama marehemu ameacha mashamba, magari, nyumba na mali zingine basi ni jukumu la msimamizi na kikao cha familia kuamua nani apewe nini na nani asipewe na pia kuangalia kama kuna madeni yoyote.
Hata hivyo muuliza suali inabidi awe makini na ulichoeleza na kile nilichoongezea.
Mkuu, mimi nimepitia huo mchakato hivyo nazungumza kupitia "experience" na nakumbuka hundi ilitoka Mahakama Kuu hadi benki kupitia afisa masijala maana niliambiwa nitangulie benki..Mahakama haigawi Mirathi mkuu na kama Kuna kosa Mahakama inaweza fanya ni hilo. Kazi ya Kugawana Mirathi ni ya Msimamizi. Msimamizi akishaleta orodha ya mali na mahesabu, kazi ya Mahakama ni kupokea na kama kuna mrithi anadhani hajatendewa haki ndo hapo anaweza leta pingamizi juu ya ugawaji huo.
Ilikuwa mwaka gani mkuu. Siku hizi Hilo la hundi mkuu halipo. Kama Kuna kitu kinaweza fanya hata mtumishi wa Mahakama afukuzwe kazi mkuu ni kugawa mirathi. Narudia tena mwenye jukumu la kugawa mirathi ni Msimamizi, kazi ya Mahakama ni kupokea mgawanyo na kusubiri Kama Kuna pingamizi basi. Ni kosa na ni Msala kwa Mahakama kugawa au kushiriki kugawa mirathi mkuu!Mkuu, mimi nimepitia huo mchakato hivyo nazungumza kupitia "experience" na nakumbuka hundi ilitoka Mahakama Kuu hadi benki kupitia afisa masijala maana niliambiwa nitangulie benki..
Hundi niliyopewa iliambatanishwa na mgawanyo hivyo akaunti zilizokuwa zimefunguliwa kwa kila mtoto ziliingizwa pesa kutokana na mganwanyo huo.
Hiyo pesa ilikwishakatwa kodi juu kwa juu ikitokea hazina.
Hata hivyo nimezungumzia "straight forward" kesi ambayo marehemu amekwishataja kila kitu kwenye faili lake.
Yes ilikuwa kabla ya 2015.Ilikuwa mwaka gani mkuu. Siku hizi Hilo la hundi mkuu halipo. Kama Kuna kitu kinaweza fanya hata mtumishi wa Mahakama afukuzwe kazi mkuu ni kugawa mirathi. Narudia tena mwenye jukumu la kugawa mirathi ni Msimamizi, kazi ya Mahakama ni kupokea mgawanyo na kusubiri Kama Kuna pingamizi basi. Ni kosa na ni Msala kwa Mahakama kugawa au kushiriki kugawa mirathi mkuu!
Najua 2015 kurudi nyuma utaratibu ulikuwa huo, Hundi ilikuwa inakuja Mahakamani na kuna watu waliibiwa Sana mirathi kupitia huo utaratibu. Siku hizi hicho kitu hakipo mkuu.
Benki ni mtekelezaji wa maamuzi ya Mahakama.Ikiwa marehemu kaacha pesa kwenye Akaunti ya bank au simu!
Je, ni wapi ambapo msimamizi wa mirathi atatakiwa kwenda kuchukua hizo pesa za marehemu?
Ni Benki au ni mahakamani?
Je, usahihi wa taarifa ukoje?
Hapo uko sahihi mkuu. Siku hizi Nyaraka zikishapelekwa hazina, fedha inalipwa moja kwa moja toka huko kwenda kwenye Akaunti kiasi kwamba hata Mahakama shauri liliposikilizwa siyo rahisi kujua kama mirathi imelipwa.Yes ilikuwa kabla ya 2015.
Ila si kwamba mahakama ndo waligawa mirathi bali walifuata msimamizi anasemaje, labda hapo ndo hatujaelewana.
Ila bado nasisitiza kuwa utaratibu badi ni uleule pale ambapo kesi ni straight forward.
SawaMahakama itatoa barua ya kuelekeza Bank impe msimamizi wa mirathi pesa hizo.
Huu utaratibu umeanza lini?. Maana utaratibu unaotumika mpaka sasa ni kuhamisha hela na kupeleka akaunti ya mahakama iliyoko BoT.Ooh kwahiyo sahivi wameboresha au?