Yani kushindana na mtu ambae hatuwezi kushea utamu huwa ni uzwazwa, mi naona ndg na rafiki wanawaweza niweka roho juu ila so mama mkwe na mawifiKwangu ni kitu kidogo Sanaa,akae mbele apendavyo huyo mama,shida Moja wanawake tunapenda sometimes kushindana na mama wakwe Kwa vitu vidogo Sanaa..yaani Mimi mama mkwe honestly hanipi shida!!
Ni ujinga kushindana kukaa mbele kwenyw gari,we km mke jiongeze tu mpishe tu akae kwani kwanza mama hakai mda mrefu ataondoka ni WA kupita kushindana na mtu wa kupita ni ujinga tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwanza unipe tafsiri ya maana ya familia.
Sisi wengine extended.
Nafasi ya mke ni mkamwana tu.
Na sisi wenye bodaboda mshikaki nani atangulie[emoji16]
Kwangu ni kitu kidogo Sanaa,akae mbele apendavyo huyo mama,shida Moja wanawake tunapenda sometimes kushindana na mama wakwe Kwa vitu vidogo Sanaa..yaani Mimi mama mkwe honestly hanipi shida!!
Ni ujinga kushindana kukaa mbele kwenyw gari,we km mke jiongeze tu mpishe tu akae kwani kwanza mama hakai mda mrefu ataondoka ni WA kupita kushindana na mtu wa kupita ni ujinga tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Said it all.KATI YA MAMA NA MKE NANI ANAPASWA KUKAA SITI YA MBELE WAKATI UNAENDESHA GARI?
Anaandika, Robert Heriel
Rafiki yangu Hosea amenipigia simu akaniuliza hivi; Kati ya Mama yake na MKE wake Nani anastahili kukaa SITI ya MBELE ya GARI wakati yeye(Hosea) anaendesha Gari? Nikaona niilete mada Hii kwenu. Ili tujifunze wote.
Imekuwa ni kawaida ya Watu kutaka kuwalinganisha MAMA na MKE kuwa Nani zaidi ya mwenzake.
Nataka kusema kuwa ni makosa makubwa kulinganisha vitu au Watu wasiolingana. Mke ni daraja jingine na Mama ni Daraja jingine.
Pili, Kati ya MKE na Mama hakuna aliyebora zaidi ya mwenzake isipokuwa ubora wao utapimwa Kwa namna watakavyo au walivyotekeleza majukumu yao Kwa nafasi zao. Mama kuzaa pekee yake haimfanyi kuwa Bora isipokuwa yapo majukumu mengine kama malezi. Halikadhalika MKE kukuzalia Watoto pekeake haitoshi kumfanya awe Bora kwako isipokuwa majukumu yake Kwa Watoto pamoja na wewe kama mumewe.
Kama utapima uzito wa majukumu ya MKE na Mama bila kujali madaraja Yao basi utagundua MKE ni zaidi ya Mama, na hapo nazungumzia kimajukumu na kiwajibu. Hata hivyo hiyo haimfanyi MKE kuwa Bora zaidi ya Mama.
Asubuhi nilitoka kuelezea mada isemayo Watu Maskini na wajinga hupenda kuongozwa na Mitazamo na Maoni ya Watu zaidi kuliko Kanuni na sheria. Kama tungefuata Kanuni na sheria Hilo swali lisingekuwepo na haya mambo ya kulinganisha MKE na Mama yasingekuwepo. Kwa sababu Kanuni na sheria zipo wazi kabisa.
Rafiki yangu Hosea aliponiuliza swali hilo nilimjibu Kwa kumuuliza maswali yafuatayo;
1. Nikamuuliza; Kitandani mwako unalala na Nani?
Mbona haukuniuliza Kati ya MKE na Mama yako Nani ambaye utalala naye kitanda kimoja?
Akaguna, akasema hayo mambo ni tofauti na mambo ya SITI za magari.
2. Nikamuuliza, Kati ya Mama na MKE wako Nani anaitwa Mrs. Hosea? Akajibu MKE wangu.
3. Nikamuuliza, Wakati Mama yako anakaa SITI ya MBELE na wewe, je Mkeo atakaa nyuma na Baba yako(mkwewe)? Yaani Wakati Mama yako anang'ang'ania kukaa SITI ya mbele, Baba yako anakuwa yupo wapi au mumewe anakuwa yupo wapi?
4. Nikamuuliza, Watoto wako watakubali Mama Yao(Mkeo) umuweke Nyuma ilhali wewe ndiye mume wake(Baba Yao)? Huoni utajenga kitu kwa Watoto kuwa humpendi Mama Yao na umemuweka katika nafasi ya pili?
Huoni hiyo itakuathiri Huko baadaye Watoto wakikua?
Hata hivyo mtu yeyote anaweza kukaa SITI ya MBELE iwe Mama au MKE au mtoto itategemea Kwa maana hayo ni mambo madpfp ila kama kuna mazingira ya kuonyesha Nani anastahili kukaa MBELE basi MKE ndiye anayestahili. Maana kuna Wamama wengine wanachokochoko Sana. Kumzaa MTU hakukupi Haki ya kuvunja itifaki ya nature na kumfanya MTu uliyemzaa kuwa mtumwa. Nafasi lazima ziheshimiwe.
Kisheria na kikanuni, kwenye familia mama na Baba anashika nafasi ya tatu Huko kama sio ya nne. Kwa mtiririko huu.
1. Mume na MKE.
Hawa ndio nafasi ya Kwanza. Yaani MKE lazima Ampe mumewe nafasi ya Kwanza halikadhalika na Mwanaume/mume lazima Ampe Mkewe nafasi ya Kwanza katika familia.
2. Watoto
Hawa ndio wanashika nafasi ya Pili. mume na MKE huhangaika Kwa Ajili ya Watoto wao kuwalea mpaka wakikua.
3. Wazazi
Baba na Mama. Hawa ndio hushika nafasi ya tatu katika mahusiano ya familia. Baba na Mama yako ni familia nyingine yenye uhusiano wa karibu wa kidamu na ninyi. Ila haina maana wao ndio wawe namba moja.
4. Ndugu
Hawa ni wale mliozaliwa pamoja iwe Baba mmoja, Mama mmoja, mtoto wa Mama mkubwa au mdogo, wajomba, mashangazi n.k.
5. Jamaa
Hawa ni wale wenye undugu wa mbali, undugu wa Tochi.
6. Marafiki.
Hawa ni wale ambao hamna undugu lakini mnaukaribu na mahusiano mazuri.
Zingatia Watoto utakaowazaa wewe kwako ni namba mbili lakini wakishakua na kuanzisha familia wao watakuweka namba tatu. Na wajukuu watakuwa nafasi ya nne Huko, hivyo unakosa mamlaka ya kuingilia familia zao labda wakuombe ushauri.
Jukumu kubwa la mzazi ni kuwalea Watoto wake katika miaka yote ya uhai wake. Lakini sio kudai nafasi zisizo zako. Jukumu la mtoto ni kuwaheshimu wazazi wake, kwa kusikiliza mashauri Mema.
Kama Mama yako anakupenda Sana basi atapaswa aonyeshe upendo huo Kwa Baba yako mzazi. Yaani abaki kwenye nafasi yake. Nafasi ya mume wake asikupe wewe. Wala wewe usimpoke Baba yako nafasi yake Kwa Mama yako. Kila mmoja abaki kwenye nafasi yake.
Baba yako ndio anapaswa kumfanya Mama yako namba moja na sio wewe. Kumfanya Mama yako namba moja ni kutomheshimu Baba yako na kutokumpa heshima Mkeo.
Ni Sawa na Mkeo asikupe nafasi ya Kwanza kama mumewe, lazima ujihisi kudharaulika.
Hujawahi sikia Watu wakilalamika Wake zao hawawasikilizi ila wanasikiliza Wazazi wao.
Ukiona Mkeo hakusikilizi na hakupi nafasi ya Kwanza, fukuza mapema, Huko mbeleni sio salama. Ukiona Mumeo anajifanya anawapenda Ndugu au wazazi wake kuliko wewe kimbia, Achana naye huyo Hana Akili na hajitambui. Mwambie akalale na hao Ndugu zake. Wala usimuonee aibu wala usimfiche, mpe makavu.
Ni hatari kuoa au kuolewa na MTU asiyejua kutenganisha mipaka na makundi ya Watu.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kuna wanaume wema wengiFamilia ni Baba, Mama na watoto. Hiyo ndio maana halisi ya Familia.
Hizo zingine ni maana za ziada,
Mke ni mkamwana Kwa wazazi wako sio kwako au Kwa Watoto wako.
Baadaye wake zenu wakiwachukulia kama nanyi Watu wa ziada wakiwa na watoto mnaanza kuwaona Wanawake ni wabaya.
Kumbe ubaya umeanzia Kwa Mume.
Mama yako Hana mamlaka na ushawishi wowote Kwa Watoto wako utakaowazaa.
Hivyo kama utamu- undermine Mkeo sio ajabu baadaye Watoto wako nao wakaku- Undermine.
Siku hizi kuna wanawake wanaambatana na wazazi wao kuliko hata waume zao.Mwanzo 2:24
"Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja."
Mama yangu naye aende akaambatane na mumewe(baba) na kama hayupo inapaswa aheshimu maana unapokuwa na mke mama inapaswa ajue ni muda wako na mke wako kuwa kitu kimoja,hivyo itabidi akae siti za nyuma.
Kuna wanaume wema wengi
Waliotenda mema kwa wake zao
Zaidi ya Siti karibu na usukani.
Ila Sasa uzeeni wanakufa peke Yao
Wanakufa kihayawani
Wanadhalilishwa na Wake zao
Ambao kwao waliwaona tunu
Wapo wanaume waliowatweza Wazazi
Wakapapalikia Mke, Wakwe
Ila walipopata maswahibu wakabaki na
Wakwao.
Wapo wanaume walioona walio wekeza
Kubwa kwa watoto
Nao wakajisahau maendeleo yao
Nao mbunga likapita,
Wakajikuta wanyonge, wakiwa wakati Wana wao wakitumbua maisha.
Hawa silika hii ya wanawake kizazi hiki
Mwana akiwa mdogo ni wako
Utasikia Mtoto wako
Mimba yako
Baba naniiii
Hii silika ya Wanawake mtoto akikua
Anakuwa kashapandikiza sumu
Mtoto ni wake
Na jamii yake
Mabaya yako yatatangazwa
Hata ikiwa ni urongo
Usimwone Mkeo ni wa tofauti
Fuata haki
Na subiri
Asili iongee
Ila huna uhakika kama watakuwa nawe uzeeni kwako Wala huo upendo
Ila wazazi wako unajua washajitoa kwa mangapi?
N.B Wanaume tutakaa mbele
Kila mtu ana umuhimu wake
Ila mpe mzazi kile roho inapenda.
View attachment 2448457
Siku hizi kuna wanawake wanaambatana na wazazi wao kuliko hata waume zao.
Wote wakae nyuma!
Ila kama ni mama mwenye busara hawezi kukaa mbele atakuambia kaa mbele na mwenzako.
Kabisaaa yaani Mimi akae mbele aendeshe whatever yeye itampa faraja afanye,Mimi mama mkwe alikua anaingia chumbaniii kabisa kwetu asubuhi na Wala sijawahi kuchukia niliona tu Hana mwiko na hawana maadili ya kwetu baasii...Yani kushindana na mtu ambae hatuwezi kushea utamu huwa ni uzwazwa, mi naona ndg na rafiki wanawaweza niweka roho juu ila so mama mkwe na mawifi
Ngoja nikuulize kitu,hivi Kuna tofauti kati ya mama mzazi na mama mkwe?Umeongea ukweli kabisa.
Ila wapo Wamama wanawachokoza Wakamwana wao Kwa kutaka kujionyesha kuwa wao ndio wananafasi kubwa katika Maisha ya kijana.
Wadada wengi wanawaheshimu Mama Wakwe hasa wakiwa wanapendwa na Waume zao na kuheshimiwa na Wakwe zao.
Lakini kuna Mama Wakwe hutoa maneno ya kashfa Kwa Wakamwana wao huku wakiwanyanyasa, unategemea MKE atafanyaje?
Mimi huwaga napenda Haki, hata kama ni Mama yangu, akitaka apewe Heshima sharti naye atoe Heshima.
Masuala ya kusema sijui yeye ni Mama au Baba au Mkwe haina maana asitende Haki.
Mwanaume lazima Watu wakujue kuwa wewe ni MTU wa Haki Hii itakusaidia kutatua mambo mengi.
Mke afanye sehemu yake, katika utawala wake, akiwa nyumbani kwake.
Sitokubali MKE wangu asitende Haki alafu nimuache kisa ATI ni MKE wangu tumefunga ndoa sijui ya kifungo cha Maisha.
Wala sitokubali Mama yangu akiwa katika utawala wangu akitenda kinyume cha Haki Kwa kisingizio cha kunizaa. Hiyo haipo.
Ishu ya wakukaa SITI ya MBELE ni ishu ndogo mno. Wala haiwezi kufikiriwa na watu wenye Akili na waungwana.
Mama Mwema hawezi kugombea SITI halikadhalika na MKE Mwema.
Upendo ukitawala yeyote anaweza kukaa MBELE. Lakini kama ubinafsi ulianza kujitokeza basi sheria na Kanuni zitafuatwa
Huna akili, kwa hiyo mama yako ndo utakuwa unamtomba?Kma mke wako ndio amekuzaa basi mweke mbele