Kati ya Mama na Mke Nani anapaswa kukaa Siti ya mbele wakati unaendesha Gari?

Wote Wakae Hapo Mbele Iwapo Busara Imeshindwa Kutumika Kwenye Jambo Dogo
 
Huwa tuna wadharau wake zetu wakati wao ndo hutuzalia watoto. Wanawake huambukiza upumbavu kwa watoto hivyo hutathaminiwa.

Tutafute hela

Wazazi watafute hela
 
Zamani mama mkwe alikuwa anajileta mbele mi kimya silalamiki..
Now kapata akili anakaaa zake nyuma hata ukimwambia akae mbele hataki.
 
Mke wako
 
Mama anakaa mbele maana sipo naye siku zote ila mke niko nae mda Mwingi. Simple
 
ina jibu hata kama hana mme akae nyuma na wajukuu zake,binafsi siwezagi kushindana na mtu ata akitaka aendeshe yeye gari namuacha,
wamama wetu wa vijijini hawana hizo habari za ujuaji
 
Maisha ya kimaskini ndo tunawaza hayo mara siti sijui Nini bla bla kibao lakin ukweli wapemba au waarabu wanaishi na wazazi wao Mwanzo mwisho Mama au Mtu yoyote anakaa popote anapojisikia ndo maana ngozi nyeusi tupo nyuma Sana kwa ajili ya ujinga ujinga kama uo
 
Miaka 5 nyuma ilitokea scenario kama hiyo nikajiongeza kukaa nyuma mama mkwe akaniondoa akaniambai siti yako huko mbele na mume wako yeye akakaa nyuma. Fast foward mwaka huu nikiwa na binti tayari mama mkwe alimfungulia binti mlango akae mbele na baba yake mimi na yeye tukakaa siti ya nyuma. ( ingawa sipo na mwanae tena). So mke anatakiwa akae mbele na ubavu wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena vyema sana
Kongole na Mumeo huko
Alipo kapata Mke.

Huyo jamaa anakwambia familia
Ni baba, Mama na Watoto
Bibi na Babu haiwahusu
Mpaka hapo nikamchukulia hamnazo

Hakuna mnachoshindania
Wanawake aina yako
Ndio tunaowatafutaga

Tambua nafasi yako
Mama hawezi kumreplace Mke
Na Mke hawezi kuwa Mama

Mwache afurahi akuachie baraka ya wewe na Ndoa yako.
Na kizazi chako
Wengine hurithishwa mpaka Mali
Hupewa vya Uvunguni na vya ukoo

Kama ambavyo wake humfurahisha baba mkwe
Basi wafanye pia kwa mama Wakwe.

Hii Dunia tu, nasi ni wapitaji[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Huna akili, kwa hiyo mama yako ndo utakuwa unamtomba?

Watu wengine hamna akili

Mama yako ni mke wa mtu
Ulizaliwa mara moja tu.
Kwani utatomba mara moja tu
Utamtomba huyo huyo tu
Daraja la Mama si la Mke
 
Mama huwa ni moja tu huku Duniani.

Mama ndiye anayeweza kukupenda bila masharti yoyote.

Nasema anaweza sababu sio mama wote wanawapenda watoto wao , wengine ni ilimradi na Kama akiwa mchawi akiamua anakuua tu ni swala la muda!

Mke hutegemea kukupenda hutegemea na mwandamo wa mwezi.

Ni wachache sana atakupenda bila masharti.

Matharani :

Kosa kuwa na kazi uwe huna hata shilingi 100 uone kama huyo mkeo ataendelea kukupenda na kukustahamilia kwa miaka mingi.

Lakini mama yako hata ukiwa dhoofulhali lofa wa kutupa atakupenda tu na kukuombea. (Ingawa sio mama wote wanapenda watoto wao wengine ni ilimradi tu kajikuta amekuzaa basi ).
 
Ulizaliwa mara moja tu.
Kwani utatomba mara moja tu
Utamtomba huyo huyo tu
Daraja la Mama si la Mke
Hawajui thamani ya mama haswa wangejua wasingesema Lau kama viongozi wa dini wangempa mama nafasi yake,asingetokea mwanadamu kucheza na nafasi ya mama yake!
Mama ana daraja la juu kabisa kwa Mungu...!!na mwanamke akikupenda atampenda mzazi wako na kumheshimu tu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…