Pre GE2025 Kati ya mkutano wa Lissu, Lema na Kigaila upi ndiyo msimamo wa CHADEMA?

Pre GE2025 Kati ya mkutano wa Lissu, Lema na Kigaila upi ndiyo msimamo wa CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Au tusubiri na press conference ya Mwenyekiti wa CHADEMA taifa ili kuthibitisha kwamba CHADEMA imegawanyika vipande au makundi matatu yanayojitegemea?

Nakumbuka niliwahi kukomenti mahali kwenye platform hii kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA taifa akifanya press conference mathalani leo, haziwezi kuzidi siku 5, na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa pia atafanya press conference and vise versa is true.

Na kama sio wao watafanya hivyo wafuasi wao kwa niaba yao. Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye maskio na askie. CHADEMA panafukuta na panafuka moshi.

Kupata mijadala ya Uchaguzi Serikali za Mitaa kwa kila Mkoa angalia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Je, hali hiyo ni kupimana ubavu na nguvu ya ushawishi, hujuma au kuhujumiana kwa makusudi, kwamba hakuna anaependelea mwingine kutrend viral zaid ya mwingine in public domain, right?

Okay fine, wote ni viongozi waandamizi wa CHADEMA, inamaana hawawasiliani kabisa? kwanini?

Je, wana CHADEMA wazingatie maelezo na maelekezo ya nani kati ya yale ya Lissu au yale ya Lema na Kigaila?

Hili timbwili linalofuka moshi mweusi ndani ya CHADEMA, linaweza kuzimika bila political casualties kwa baadhi yao mpaka kufikia January 2025 kweli?

Hivi ni muandamizi gani wa CHADEMA aliesema kwamba, chadema haikujiandaa na uchaguzi wa Serikali za mitaa wa tar. 27?

Pia soma: LGE2024 - Benson Kigaila: Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi anafanya kazi ya CCM

Na kwanini kudhalilishana na kufedheheshana hadharini kiasi kwamba sasa kiongozi wa CHADEMA akisema ukweli tu, basi anakua painted kama mtu alierubuniwa kwa vipande vya fedha, vyeo au mali na CCM?

Nadhani hii ngoma na sebene lake iko karibu sana kupasuka, ni suala la muda tu na who is to break the line moto uwake 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Ili chadema ikae sawa na irudi akilini mwa watanzania ni lazima ifanye mambo yafuatayo.
1. Wakubali kuwafukuza baadhi ya viongozi wao wa ngazi ya juu bila kujali ushawishi wao maana mda mwingi wanazungumzia mambo yao binafsi na kufanya kuwa agenda ya chama badala ya kuzungumzia chama na mustakabali wa nchi chini ya chadema endapo watapewa ridhaa. Mfano chuki dhidi ya JPM inatokana na mambo binafsi ya viongozi na sio msimamo wa chama kwani JPM hakuchukia chadema bali alichukia wabababishaji haijalishi wapo ccm ama chadema na ndio maana walio bora kutoka chadema aliwachukua kwenye serikali yake.

2. Kuwatambua na kuwarudisha chamani wale wabunge wa viti maalum wote. Kuendelea kuwasusia ni kama kuwaonea wivu na hii ina athari kubwa kwa chama kuliko faida maana chama hakijengwi na mtu mmoja.

3. Kukiri hadharani kuwa JPM alikuwa ni moja kiongozi bora kuwahi kutokea hapa nchini pamoja na kuwa alikuwa na mapungufu yake ila mazuri yake ni mengi na wao kama chadema wako tayari kuyaenzi endapo wananchi watawapa ridhaa na wawe tayari kusimamisha mgombea mwenye karba ya JPM 2025 hajalishi atatokea wapi. Hii italeta hamsha hamsha maana waliopo chadema kwa sasa wengi hawana ushawishi na karba ya JPM hivyo wabanchi wanaweza kuwapuuza.

4. Waache tabia ya kuchukia na kuwapiga vita viongozi wazuri walipo ccm maana haiingii aki kiongozi ambaye wananchi wanampenda unakuta anapigwa vita na watu fulani fulani huko ccm unakuta na chadema nao wanampiga vita hii inatoa taswira ya kuwa chadema hawapo na wananchi walio wengi bali wapo na watu wachache wanaofaidika na madudu madudu haijalishi wapo ccm au hawana chama.
 
Yani nikiona mnatumia nguvu nyingi kiasi hiki naamini kabisa hicho chama kuna namna kinawafanya m weweseke gentleman 🐒
kwenye ukweli bayana kama huo gentleman unatumiaje nguvu kwa mfano 🤣

ikiwa ninayosema si sawa,
si ubainishe usahihi sasa, wanachadema wazingatie na kufuata maelezo na na maelekezo ya Lisu au Lema na Kigaila, au wasubiri press conference ya mwenyekiti Taifa?

mbona it's very simple but unababaiiika...

gentleman, what's wrong,
elezea wadau kinagaubaga 🐒
 
Ili chadema ikae sawa na irudi akilini mwa watanzania ni lazima ifanye mambo yafuatayo.
1. Wakubali kuwafukuza baadhi ya viongozi wao wa ngazi ya juu bila kujali ushawishi wao maana mda mwingi wanazungumzia mambo yao binafsi na kufanya kuwa agenda ya chama badala ya kuzungumzia chama na mustakabali wa nchi chini ya chadema endapo watapewa ridhaa. Mfano chuki dhidi ya JPM inatokana na mambo binafsi ya viongozi na sio msimamo wa chama kwani JPM hakuchukia chadema bali alichukia wabababishaji haijalishi wapo ccm ama chadema na ndio maana walio bora kutoka chadema aliwachukua kwenye serikali yake.
2. Kuwatambua na kuwarudisha chamani wale wabunge wa viti maalum wote. Kuendelea kuwasusia ni kama kuwaonea wivu na hii ina athari kubwa kwa chama kuliko faida maana chama hakijengwi na mtu mmoja.
3. Kukiri hadharani kuwa JPM alikuwa ni moja kiongozi bora kuwahi kutokea hapa nchini pamoja na kuwa alikuwa na mapungufu yake ila mazuri yake ni mengi na wao kama chadema wako tayari kuyaenzi endapo wananchi watawapa ridhaa na wawe tayari kusimamisha mgombea mwenye karba ya JPM 2025 hajalishi atatokea wapi. Hii italeta hamsha hamsha maana waliopo chadema kwa sasa wengi hawana ushawishi na karba ya JPM hivyo wabanchi wanaweza kuwapuuza.
4. Waache tabia ya kuchukia na kuwapiga vita viongozi wazuri walipo ccm maana haiingii aki kiongozi ambaye wananchi wanampenda unakuta anapigwa vita na watu fulani fulani huko ccm unakuta na chadema nao wanampiga vita hii inatoa taswira ya kuwa chadema hawapo na wanachi walio wengi bali wapo na wayu wache wanaofaidika na madudu madudu haijalishi wapo ccm au hawana chama.
Point namba 1,
I'm sure hiyo itafanyika soon, kwasabb kuna kila dalili za kutokea kwake, lakini pia hatua hiyo itaambatana na political casualties nyingi mno miongni mwao mpaka kuja kusettle na kujiorginise upya..

Point ya 2 na hizo nyinginezo,
itakua umewavuruga na kuwachanganya mno, sina haja kufafanua zaid kwasabb nawafahamu vizuri hawa wangwana 🐒
 
kwenye ukweli bayana kama huo gentleman unatumiaje nguvu kwa mfano 🤣

ikiwa ninayosema si sawa,
si ubainishe usahihi sasa, wanachadema wazingatie na kufuata maelezo na na maelekezo ya Lisu au Lema na Kigaila, au wasubiri press conference ya mwenyekiti Taifa?

mbona it's very simple but unababaiiika...

gentleman, what's wrong,
elezea wadau kinagaubaga 🐒
😅😅😅 mimi sina tatizo gentleman 🐒 hao ndio watu wanaowakosesha usingizi pelekeaneni tu moto mkuu hakuna matata.
 
..yote ni misimamo ya Chadema.

..Chadema wana mfumo wa KANDA.
kwahiyo waliokua wakifanya hizo press conference mbona walikua wakitoa takwimu na taarifa za kanda nyinginezo zisizowahusu?

na mbona wa huko kanda ya kati ambae sio kiongozi wa kanda, alidai chadema hawakujiandaa na uchaguzi huu wa Serikali za mitaa, halafu wale wa huko kaskazini ni kama vile walimjibu muungwana wa kanda ya kati kwamba huenda anafanya kazi kwa niaba ya chama Tawala, kwasabab chadema ilikua imejiandaa vizuri kwa uchaguzi huu?

hili unaizungumziaje gentleman?🐒
 
😅😅😅 mimi sina tatizo gentleman 🐒 hao ndio watu wanaowakosesha usingizi pelekeaneni tu moto mkuu hakuna matata.
yaan mtu asipate usingizi kwasabb ya mpiga maji mkuu mpaka anazimia wa pale chadema HQ, akiwa na mnyang'anyi mkuu wa malori ambae sasa hivi eti ni nabii?

kweli gentleman, yaani usilale usingizi kabisa dah!
hiyo si sawa hata kidogo🐒
 
Au tusubiri na press conference ya Mwenyekiti wa CHADEMA taifa ili kuthibitisha kwamba CHADEMA imegawanyika vipande au makundi matatu yanayojitegemea?

Nakumbuka niliwahi kukomenti mahali kwenye platform hii kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA taifa akifanya press conference mathalani leo, haziwezi kuzidi siku 5, na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa pia atafanya press conference and vise versa is true.

Na kama sio wao watafanya hivyo wafuasi wao kwa niaba yao. Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye maskio na askie. CHADEMA panafukuta na panafuka moshi.

Kupata mijadala ya Uchaguzi Serikali za Mitaa kwa kila Mkoa angalia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Je, hali hiyo ni kupimana ubavu na nguvu ya ushawishi, hujuma au kuhujumiana kwa makusudi, kwamba hakuna anaependelea mwingine kutrend viral zaid ya mwingine in public domain, right?

Okay fine, wote ni viongozi waandamizi wa CHADEMA, inamaana hawawasiliani kabisa? kwanini?

Je, wana CHADEMA wazingatie maelezo na maelekezo ya nani kati ya yale ya Lissu au yale ya Lema na Kigaila?

Hili timbwili linalofuka moshi mweusi ndani ya CHADEMA, linaweza kuzimika bila political casualties kwa baadhi yao mpaka kufikia January 2015 kweli?

Hivi ni muandamizi gani wa CHADEMA aliesema kwamba, chadema haikujiandaa na uchaguzi wa Serikali za mitaa wa tar. 27?

Pia soma: LGE2024 - Benson Kigaila: Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi anafanya kazi ya CCM

Na kwanini kudhalilishana na kufedheheshana hadharini kiasi kwamba sasa kiongozi wa CHADEMA akisema ukweli tu, basi anakua painted kama mtu alierubuniwa kwa vipande vya fedha, vyeo au mali na CCM?

Nadhani hii ngoma na sebene lake iko karibu sana kupasuka, ni suala la muda tu na who is to break the line moto uwake 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Dogo ukiona kukinzana kwa mitazamo na mawazo ujue Kuna jambo kubwa litazaliwa, ni afya kwa ustawi wa nchi

Tofauti na kule kwenu ccm ni zidumu fikra za mama,
akiuza bandari sawa,

akiuza mbuga sawa,

akilangua vibali vya sukaribsawa!

Ccm mko kama maiti tu labda mwenyekiti ndo Yuko ICU

Tofauti za ndani ya CDK zinaenda kuzaa strong, robust and bitter politics kwa ccm jiandae
 
Wewe kazikwe karibu yake kule chato, muuaji yule si hata wa kukumbukwa kwa madhila aliyoyaasisi kwenye nyanja ya demokrasia
ni press conference ipi ndiyo hasa msimamo wa chadema kati ya iliyofanyika juzi na ile ya jana?

au tusubiri ya chairman?🐒
 
yaan mtu asipate usingizi kwasabb ya mpiga maji mkuu mpaka anazimia wa pale chadema HQ, akiwa na mnyang'anyi mkuu wa malori ambae sasa hivi eti ni nabii?

kweli gentleman, yaani usilale usingizi kabisa dah!
hiyo si sawa hata kidogo🐒
😂😂😂Tukisikia kelele nyingi huwa waungwana tunajua kuna namna mnafikishwa gentleman 🐒
 
Hiki CHADEMA kinaendeshwa kihuni huni sana.viongozi wake wenyewe hawajitambui kabisa hata kidogo zaidi ya usaka Tonge na uchumia tumbo tu.
 
Watu huru kifkra lazima watotautiane mtazamo. Lakini mwishowe wakubaliane kutokukubaliana huku wengi wape wakidumisha umoja na mshikamano

Sasa nyie maCcm tunamsikiaga luhanga mpina tu wengine wote maiti na tunasikia mama yenu naye Yuko ICU Havana Cuba
 
Dogo ukiona kukinzana kwa mitazamo na mawazo ujue Kuna jambo kubwa litazaliwa, ni afya kwabustawi wa nchi

Tofauti na kule kwenu ccm ni zidumu fikra za mama, akiuza bandari sawa, akiuza mbuga sawa, akilangua vibali vya sukaribsawa!

Ccm mkono kama maiti tu labda mwenyekiti ndo Yuko ICU

Tofauti ndani ya CDM xinaenda kuzaa strong, robust and bitter politics kwa ccm jiandae
so, gentleman,
tujiweke tayari kwa press conference nyingine ya kiongozi mwingine yenye content na uelekeo tofauti kabisa na press conference ya jana na juzi right?🐒
 
Back
Top Bottom