Kati ya mume na mke nani anauma zaidi akiibwa?

Kati ya mume na mke nani anauma zaidi akiibwa?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Mi naona kama mke ndo anauma zaidi.

Au wakuu nyie mnasemaje?

Screenshot_20250102-213539_Instagram Lite.jpg
 
Ulishawah jiuliza kwann Wanawake wanaweza mshobokea mwanaume Malaya?.

Kwan mnadhan Baltazar uhuni wake umejulikana baada ya zile videos ? Hapana.

Wanawake wa huko walikua nao wanaambizana jamaa vile jamaa vile, basi Kila Mmoja akawa anajilengesha na hiyo ikamfanya jamaa asitumie nguvu kubwa.


Maana yangu ni kua, Mwanamke hajawahi umizwa na suala la mwanaume wake kula nje.


Mwanaume kule nje, kunamfanya mwanamke wako ashindane na mchepuko wako , naa kama ataamua nayeye kukusaliti, ni katika kutafuta tu ka Faraja yaan ajione yeye Hana maoungufu ndio maana Kuna wanaume wengine pia wanampenda.
 
Ulishawah jiuliza kwann Wanawake wanaweza mshobokea mwanaume Malaya?.

Kwan mnadhan Baltazar uhuni wake umejulikana baada ya zile videos ? Hapana.

Wanawake wa huko walikua nao wanaambizana jamaa vile jamaa vile, basi Kila Mmoja akawa anajilengesha na hiyo ikamfanya jamaa asitumie nguvu kubwa.


Maana yangu ni kua, Mwanamke hajawahi umizwa na suala la mwanaume wake kula nje.


Mwanaume kule nje, kunamfanya mwanamke wako ashindane na mchepuko wako , naa kama ataamua nayeye kukusaliti, ni katika kutafuta tu ka Faraja yaan ajione yeye Hana maoungufu ndio maana Kuna wanaume wengine pia wanampenda.
mulemule
🤝🤝
pamoja sana kiongozi
 
Back
Top Bottom