Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Mi naona kama mke ndo anauma zaidi.
Au wakuu nyie mnasemaje?
Au wakuu nyie mnasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu sina shaka itakuwa unakubaliana na mtoa mada kwa 100%nyie acheni, tu sikia kwa mwenzio!
🤣wew karipoti kwa mjumbe wa mtaani kwako haraka sana
mulemuleUlishawah jiuliza kwann Wanawake wanaweza mshobokea mwanaume Malaya?.
Kwan mnadhan Baltazar uhuni wake umejulikana baada ya zile videos ? Hapana.
Wanawake wa huko walikua nao wanaambizana jamaa vile jamaa vile, basi Kila Mmoja akawa anajilengesha na hiyo ikamfanya jamaa asitumie nguvu kubwa.
Maana yangu ni kua, Mwanamke hajawahi umizwa na suala la mwanaume wake kula nje.
Mwanaume kule nje, kunamfanya mwanamke wako ashindane na mchepuko wako , naa kama ataamua nayeye kukusaliti, ni katika kutafuta tu ka Faraja yaan ajione yeye Hana maoungufu ndio maana Kuna wanaume wengine pia wanampenda.
Asante kiongoziNinavyosikia Kuchapiwa kunauma poleni kwa wanaume mliooa
Tushapata majibu mkuu afadhali aibiwe mme na sio mkeAkiibiwa nini?
kwani kila mwanamke ni mke🤔?Hao wanaoibwa ni wanawake sio wake (mke) au ni Wanaume sio (Mume)
Sijui unachoulizwa ila mke haibiwi kama uliibiwa hukua na mkekwani kila mwanamke ni mke🤔?
Hee🙄mke haibiwi
Ngoma droo: Wanawake wanasema mume anauma nasi wanaume tunasema mke anauma
mkuu si lazma kuwe na mtu wa kumshawishi/kumdanganya auWastage of time hata kumuwazia.
Anaibwaje kama siyo kajipeleka?
Kwanini adanganywe wakati ashaoa au kuolewa....mkuu si lazma kuwe na mtu wa kumshawishi/kumdanganya au