Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #21
sio ivo mkuu unechanganyaNgoma droo: Wanawake wanasema mume anauma nasi wanaume tunasema mke anauma
wengi wamesema kuibwa mke ndo inauma zaidi
soma vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio ivo mkuu unechanganyaNgoma droo: Wanawake wanasema mume anauma nasi wanaume tunasema mke anauma
Uibe kidogo sasa...
kidogo ndio pesangapi?Uibe kidogo sasa...
Itategemea na kitakachokuwepo kwenye Wallet...😂😂😂kidogo ndio pesangapi?
Narudia, wanawake wanasema mume anaumasio ivo mkuu unechanganya
wengi wamesema kuibwa mke ndo inauma zaidi
soma vizuri
Man Engonga [emoji91][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulishawah jiuliza kwann Wanawake wanaweza mshobokea mwanaume Malaya?.
Kwan mnadhan Baltazar uhuni wake umejulikana baada ya zile videos ? Hapana.
Wanawake wa huko walikua nao wanaambizana jamaa vile jamaa vile, basi Kila Mmoja akawa anajilengesha na hiyo ikamfanya jamaa asitumie nguvu kubwa.
Maana yangu ni kua, Mwanamke hajawahi umizwa na suala la mwanaume wake kula nje.
Mwanaume kule nje, kunamfanya mwanamke wako ashindane na mchepuko wako , naa kama ataamua nayeye kukusaliti, ni katika kutafuta tu ka Faraja yaan ajione yeye Hana maoungufu ndio maana Kuna wanaume wengine pia wanampenda.
Itauma kama umependa sana, lakini ukipenda kwa wastani inauma kidogo.
kumbe kuna kupenda kwa wastani halaf hamsemiItauma kama umependa sana, lakini ukipenda kwa wastani inauma kidogo.
🤣🤣🤣Man Engonga [emoji91][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulikua hujui 😅😅kumbe kuna kupenda kwa wastani halaf hamsemi
kwaiyo kiongozi unamaanisha tujifunze kusamehe 7×70 maisha mengine yaendelee au sioMaumivu ni tafsiri hakuna maumivu pasipo tafsiri, kinachoumiza sio kitendo cha kuchapiwa bali tafsiri yako juu kitendo cha kuchapiwa, hivyo hakuna mtu aliyewahi kuumia sababu kitendo cha kuchapiwa bali tafsiri yako juu ya kitendo cha kuchapiwa, na ndo maana unaweza kuta wanaume wawili wamechapiwa mmoja akavuka kirahisi huu mtihani kwa kuangalia hakuna mkamilifu akasamehe kulingana na tafsiri yake kuwa hakuna mkamilifu, mwingine akatafsiri kuwa kuchapiwa NI kitendo kibaya sana atawaza mengi sana huyu tafsiri yake ndo gereza lake la maumivu, hivyo maumivu ni hiari ya mtu iliyopo kwenye FIKRA zako uyakaribishe au huyakatalie kuingia narudia maumivu ni hiari.
kwaiyo kiongozi unamaanisha tujifunze kusamehe 7×70 maisha mengine yaendelee au sioMaumivu ni tafsiri hakuna maumivu pasipo tafsiri, kinachoumiza sio kitendo cha kuchapiwa bali tafsiri yako juu kitendo cha kuchapiwa, hivyo hakuna mtu aliyewahi kuumia sababu kitendo cha kuchapiwa bali tafsiri yako juu ya kitendo cha kuchapiwa, na ndo maana unaweza kuta wanaume wawili wamechapiwa mmoja akavuka kirahisi huu mtihani kwa kuangalia hakuna mkamilifu akasamehe kulingana na tafsiri yake kuwa hakuna mkamilifu, mwingine akatafsiri kuwa kuchapiwa NI kitendo kibaya sana atawaza mengi sana huyu tafsiri yake ndo gereza lake la maumivu, hivyo maumivu ni hiari ya mtu iliyopo kwenye FIKRA zako uyakaribishe au huyakatalie kuingia narudia maumivu ni hiari.
Kuumia kunategemea jinsia yako..!! Kama wewe ni mwanaume, mke kuibwa anauma na kama wewe ni mwanamke, mume kuibwa anauma..!!! Hivyo wote wanauma, inategemea tu jinsia yako.
Shemela, hicho kilichopita kiasi ndo shilingi ngapi?? Huyu naye asihalalishe wizi kwenye ndoa.
Unazungumzia shoga mwenye mke na msagaji mwenye mume?Swali lako linaweza kujibiwa vizuri na Mtu mwenye wote, yaani Mume na mke...
Ngoja tuwasubiri..