Kati ya mume na mke nani anauma zaidi akiibwa?

Kati ya mume na mke nani anauma zaidi akiibwa?

Labda tuanzie hapa, lipi ni afadhali ukisikia
1. Mzee wako alikua kumgonga Fulani Jana au
2.Mama yako kagongwa Jana na Fulani.
Ipi ni aibu kubwa sana kuisikia?
 
Sisi wanaume ni kama madume ya Simba.

Mwanamke anabaki kua mwanamke tu siku zote kwao kua Mke wa pili au wa tatu sio tatizo.


Hivo, Mchepuko wako tu ukijua siku kagongwa na Jamaa mwingine, lazima uumie.

Kwann? Kwa sababu ya Usimba tuliono.

Kuchapiwa kunauma.
Kuchapiwa ni siri ya ndani
 
Mi naona kama mke ndo anauma zaidi.

Au wakuu nyie mnasemaje?

View attachment 3195141
Baraza la kwanza la mawaziri la serikali ya Tanganyika halikujumuisha wabunge kutoka Niger kwa kua serikali ya kikaburu ya Afrika Kusini bado ilikua ikiikalia kimabavu serikali ya kizalendo ya Frelimo nchini Mumbiji
 
Hajahalalisha wizi ila katoa solution ya ubahili kwenye ndoa shem
Shem, wizi ni wizi tu, iwe unaiba kwa mjomba, kwa mke, kwa mume, kwa baba, kwa mama etc..!! Hakuna sababu zinazohalalisha wizi. Halafu shemela, kuna swali hujalijibu, hicho kilichopita kiasi ndo shilingi ngapi??
 
Swali lako linaweza kujibiwa vizuri na Mtu mwenye wote, yaani Mume na mke...

Ngoja tuwasubiri..
Akili nyingi sana, Au ambae amewahi kuwa mke na akawahi kuwa mume.

Otherwise kila mtu atanyoosha mkono kwa jinsia jirani.
 
Shem, wizi ni wizi tu, iwe unaiba kwa mjomba, kwa mke, kwa mume, kwa baba, kwa mama etc..!! Hakuna sababu zinazohalalisha wizi. Halafu shemela, kuna swali hujalijibu, hicho kilichopita kiasi ndo shilingi ngapi??
Namie nasubiria shekhe anijibu, nimemuwasapu
 
Baraza la kwanza la mawaziri la serikali ya Tanganyika halikujumuisha wabunge kutoka Niger kwa kua serikali ya kikaburu ya Afrika Kusini bado ilikua ikiikalia kimabavu serikali ya kizalendo ya Frelimo nchini Mumbiji
doh
 
Sisi wanaume ni kama madume ya Simba.

Mwanamke anabaki kua mwanamke tu siku zote kwao kua Mke wa pili au wa tatu sio tatizo.


Hivo, Mchepuko wako tu ukijua siku kagongwa na Jamaa mwingine, lazima uumie.

Kwann? Kwa sababu ya Usimba tuliono.

Kuchapiwa kunauma.
Hakika mkuu yaani ni hatari saana
 
Back
Top Bottom