Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo sana tu kaka..!!mkuu Ngalikihinja upo kiongozi? no see u apa jF kitambo sana.
Afu weweeee..!! UmetishaLabda tuanzie hapa, lipi ni afadhali ukisikia
1. Mzee wako alikua kumgonga Fulani Jana au
2.Mama yako kagongwa Jana na Fulani.
Ipi ni aibu kubwa sana kuisikia?
Kuchapiwa ni siri ya ndaniSisi wanaume ni kama madume ya Simba.
Mwanamke anabaki kua mwanamke tu siku zote kwao kua Mke wa pili au wa tatu sio tatizo.
Hivo, Mchepuko wako tu ukijua siku kagongwa na Jamaa mwingine, lazima uumie.
Kwann? Kwa sababu ya Usimba tuliono.
Kuchapiwa kunauma.
Pamoja kiongoziNipo sana tu kaka..!!
Hajahalalisha wizi ila katoa solution ya ubahili kwenye ndoa shemShemela, hicho kilichopita kiasi ndo shilingi ngapi?? Huyu naye asihalalishe wizi kwenye ndoa.
Baraza la kwanza la mawaziri la serikali ya Tanganyika halikujumuisha wabunge kutoka Niger kwa kua serikali ya kikaburu ya Afrika Kusini bado ilikua ikiikalia kimabavu serikali ya kizalendo ya Frelimo nchini Mumbiji
Shem, wizi ni wizi tu, iwe unaiba kwa mjomba, kwa mke, kwa mume, kwa baba, kwa mama etc..!! Hakuna sababu zinazohalalisha wizi. Halafu shemela, kuna swali hujalijibu, hicho kilichopita kiasi ndo shilingi ngapi??Hajahalalisha wizi ila katoa solution ya ubahili kwenye ndoa shem
Akili nyingi sana, Au ambae amewahi kuwa mke na akawahi kuwa mume.Swali lako linaweza kujibiwa vizuri na Mtu mwenye wote, yaani Mume na mke...
Ngoja tuwasubiri..
Namie nasubiria shekhe anijibu, nimemuwasapuShem, wizi ni wizi tu, iwe unaiba kwa mjomba, kwa mke, kwa mume, kwa baba, kwa mama etc..!! Hakuna sababu zinazohalalisha wizi. Halafu shemela, kuna swali hujalijibu, hicho kilichopita kiasi ndo shilingi ngapi??
Kwani ushawahi kuwa na mume?
Afu we Demi wewe..!!!Kwani ushawahi kuwa na mume?
dohBaraza la kwanza la mawaziri la serikali ya Tanganyika halikujumuisha wabunge kutoka Niger kwa kua serikali ya kikaburu ya Afrika Kusini bado ilikua ikiikalia kimabavu serikali ya kizalendo ya Frelimo nchini Mumbiji
Ndio ni kweli , mwanamme kama hawez kuoa na asioe mpaka apate mali.
Hakika mkuu yaani ni hatari saanaSisi wanaume ni kama madume ya Simba.
Mwanamke anabaki kua mwanamke tu siku zote kwao kua Mke wa pili au wa tatu sio tatizo.
Hivo, Mchepuko wako tu ukijua siku kagongwa na Jamaa mwingine, lazima uumie.
Kwann? Kwa sababu ya Usimba tuliono.
Kuchapiwa kunauma.
shuaHakika mkuu yaani ni hatari saana