Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Who cares Sasa?hapendi kukusumbua au hakupendi🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who cares Sasa?hapendi kukusumbua au hakupendi🏃
Tumewasikia na tutalifanyia kazi😂😂Tusumbueni jamani
We utakufa kizuri 😂Utakufa kifo kibaya sana 🤣🤣
Dada yangu niambie tu. Kwani yule jamaa yuko jukwaani ama?Tulia wewe🤒🤒
Ni kweli na inavunja moyo kila siku wewe ndiye unamtafuta usipomcheki ndiyo basi tena, inaboaKabisa ni muhimu wote kutafutana.
Mahusiano ya namna hii yanadumu na yanaweza leta mpaka ndoa zenye nguvu sana.
Kutafuta pesa ni muhimu ila uliloeleza ni muhimu pia. Haya hapa chukua tena 🌷🌹Nashukuru kwa maua nimeyapokea🥰, fedha bila upendo mmh utakua unajilazimisha sana kwenye hayo mahusiano. Ila pia pesa ni muhimu so tuendelee kupambana kutafuta
Ona sasa unavyonishikia bango😃😃Dada yangu niambie tu. Kwani yule jamaa yuko jukwaani ama?
Nashukuru tena Mr. HalfKutafuta pesa ni muhimu ila uliloeleza ni muhimu pia. Haya hapa chukua tena 🌷🌹
Viburi sio kwamba hawajui.Kabisa tatizo wanawake wengi hawajui tu .
Sasa we fanya hivi.Hakunifanyia kosa lolote mtoto wa watu...ila sasa lawama za kila mda zile kwamba simtafuti, mara simpendi mara nini nini ndo alikua ananichosha na ukizingatia ni distance relationship sijui alikua anawaza anacheatiwa😃😃🤔
Ahsante kwa kushukuru MrsNashukuru tena Mr. Half
Basi nimekaa kimya dada.Ona sasa unavyonishikia bango😃😃
Hata Mimi naona hivyo.Viburi sio kwamba hawajui.
😂😂😂 maumivu yakizidi muone daktariBlue tick Watu isikieni tu, ile ya mwana tu una mind je ya Mpenzi sasa😭
MfyuuuuMi naona mwenye hela ndio atafutwe.....
Huko si kurudi nyuma sasa🤒,,tufanye tu yeye tulishindwana ila nitakayempata tena nitamfanyia haya yote...ila naomba Mungu nimpate wa kuendana na mimi nilivyo😊🤗Sasa we fanya hivi.
Tafuta siku ambayo wote mtakuwa free, then mchane tu au msikilizie tu anawaza nini, umuulize maswali ya kimtego , ataingia tu kwenye laini labda anawaza uko na mwanaume mwingine, humpi ushirikiano.
Ngoja kwanzaLove ni two way traffic!ukiona mmoja ndio unapambania sana penzi kuliko mwenzio piga chini.sio wako
Hamna hizo movie nilikuwa nacheck kitambo sana enzi za utoto hunitoi, na cartoon za Tom & Jerry CTN na ile ya Scooby-Doo ilikuwa inaonyeshwa ITV kipindi cha watoto wetu 😂😂😂 we kweli unapenda muvi za kwenye mabasi ya mikoani 😂😂